Kama atapita subiria next yrs uone mchomozo wa Makundi,Aliyeshika usukani hapendwi ndani na nje ya chama chake. Ndani ya chama timu Kinana, timu Kikwete, timu Makamba, timu Nape wote hawa wanampa tabasamu la kinafiki tu. Subiri uone atakavyo dondoka.
Thus aliprint fomu moja kuogopa wajumbeAliyeshika usukani hapendwi ndani na nje ya chama chake. Ndani ya chama timu Kinana, timu Kikwete, timu Makamba, timu Nape wote hawa wanampa tabasamu la kinafiki tu. Subiri uone atakavyo dondoka.
Leo Mkapa hayupo sijui watamtegemea Nani,ccm anga limeshawakataaUnashauri aseme akiibiwa kura amwachie Mungu?Zanzibar 2015 Maalim Seif alikosea Sana baada ya kupokwa ushindi, hilo ni funzo tosha!Ifike mahali mtambue mkicheza na sanduku lá kura kuna kuwajibika! Sanduku la kura na maamuzi ya wapiga kura viheshimiwe,hilo ndio lá msingi kama tunataka kuendelea kuwa taifa lenye amani na utulivu!
Jiwe kapatikana Safari hii,hapa amekosekana tu Mtikila Mungu amrehemu hakika watz tusingeonewa na Hawa majahili madhalimuKama unadhani siasa za Lissu zimepitwa na wakati basi elewa kuanzia sasa, kuna mtu siasa zake kama ni ubaya basi ni mara sita ya Lissu, lakini siasa zake hizo ndiyo zimemfikisha hapo alipo na zinamhakikishia kuendelea kuwepo.
Usilalamike Jiwe kukutana na Chuma
Siasa za Lissu za sasa ni zile zilizopitwa na wakati ambazo akina Maalim Seif walizitumia sana kule Zanzibar zilikuwa zikiitwa siasa za ngangari Hadi kieleweke. Hadi wakaagiza visu na kufanya vitendo vya kigaidi .Mwisho was siku wakaja kugundua kuwa haziwapeleki popote wakaziacha
Sasa Lissu kaziokota kwenye jalala la historia anajiona yeye ndie kamanda. Mkuu wa ngangari aliyeshushwa na Allah kuwangungurisha watanzania!! Ana Messianic lunatism!!
Lissu asome historia ya hiyo mbinu ya ngangari kwanini haokufanikiwa
Pia ajiulize kwanini maandamano ya Mange Kimambi aliyoaitisha na yeye Lisu akasema ataongoza kwa Nini hayakufanikiwa? Kwa Nini wali change direction
Je, anadhani ngangari yake itafanikiwa? Kwa nini Kuna tofauti na ngangari za akina Seif Sharrif Hammad ambako watu walikuwa tayari hata kujitoa muhanga
Ninachokiona Lisu anadhani kugundua kitu kipya ambacho serikali haijawahi kukutana nacho kuwa Ni Mara ya kwanza kutokea!!!
Anyway anajaribu kucopy Let us mwishowe itakuwaje lakini sidhani Kama hata hiyo strategy anatumia Kama aliifanyia analyisis akiwa nawatu waliobobea kwenye political science Kama akina professier Baregu Ange m consult amsaidie
It is just a reminder ythat there is nothing new under the sun
Hapa sio mbinu ilisha tumika Jambo ni haki itendeke ama ionekane inatendeka sii kwa upande lfulani Bali kwa washiriki wote kwa usawa kulingana na kaninu sii tuu zile zilizolenga upande Fulani Bali kwa mujibu wa katiba .Hivi unadhan mpaka kupatikana SUK chama chakavu walilipenda?endeleen kuweweseka chuma kinarindima
Mfano kweli akadondoka,hizo team Kinana,Nape,Makamba watafaidi nini nchi ikashikwa na wapinzani wao?,fikiria nje ya box utaliona hili,wao kwa wao watagombani ndani,lakini wakitoka nje wanakua wamoja,mark hii commentAliyeshika usukani hapendwi ndani na nje ya chama chake. Ndani ya chama timu Kinana, timu Kikwete, timu Makamba, timu Nape wote hawa wanampa tabasamu la kinafiki tu. Subiri uone atakavyo dondoka.
Siyo kweli mkuu. Unakumbuka Nape alishikiwa bastola hadharani?ndani,lakini wakitoka nje wanakua wamoja,