Lissu hamtendei haki Aidan

Lissu hamtendei haki Aidan

Fundi Mchundo

Platinum Member
Joined
Nov 9, 2007
Posts
10,448
Reaction score
8,705
Akiwa Mgeni wa Heshima katika sherehe za Bawacha jana, Lissu hakuweza kujizuia kumtaja Aida. Alirudia tena madai yake kuwa Aida alipewa ubunge na CCM. Huo ni upotoshaji mkubwa kwa sababu una maanisha kuwa Aida hakushinda uchaguzi bali CCM walifanya figisu figisu na kumpa kura za ushindi.

Anashindwa kukubali kuwa Aida alishinda kihalali na akatangazwa. Swali analoweza kuuliza ni kwa nini CCM walimtangaza yeye tu? Inawezekana Aida alijipanga vizuri yeye na wapiga kura wake kiasi cha CCM kushindwa kudhulumu.

Inawezekana CCM waliisha mchoka mshindani wake na kuona bora aondoke. Na Inawezekana msimamizi wa uchaguzi katika eneo lake alikuwa mtenda haki na nafsi yake ilimzuia kufanya dhulma. Badala ya kulirudia rudia, yeye na wenzake wangekaa nae na kumuomba awaeleze alifanikiwa vipi. Huyu dada ni mpiganaji na ni mfano wa kuigwa.

Lissu pia alisema kuwa huo msimamo wake haukueleweka vizuri ndio maana watu wakamrushia madongo. Alisema haukuwa personal bali ukweli unabidi kusemwa. Hapo tena amejaribu kujikosha. Watu walimrushia madongo kwa kikubwa kutokana na yeye kudai kuwa Aida hachangii lolote. Hilo ndio liliwakera watu maana mchango wa Aida wote tuna uona. Na wenzake wanaouona ndio maana wakampa ngao.
Lissu anapaswa kukiri kuwa alikosea na amuombe radhi.

Amandla...
 
Akiwa Mgeni wa Heshima katika sherehe za Bawacha jana, Lissu hakuweza kujizuia kumtaja Aida. Alirudia tena madai yake kuwa Aida alipewa ubunge na CCM. Huo ni upotoshaji mkubwa kwa sababu una maanisha kuwa Aida hakushinda uchaguzi bali CCM walifanya figisu figisu na kumpa kura za ushindi.

Anashindwa kukubali kuwa Aida alishinda kihalali na akatangazwa. Swali analoweza kuuliza ni kwa nini CCM walimtangaza yeye tu? Inawezekana Aida alijipanga vizuri yeye na wapiga kura wake kiasi cha CCM kushindwa kudhulumu.

Inawezekana CCM waliisha mchoka mshindani wake na kuona bora aondoke. Na Inawezekana msimamizi wa uchaguzi katika eneo lake alikuwa mtenda haki na nafsi yake ilimzuia kufanya dhulma. Badala ya kulirudia rudia, yeye na wenzake wangekaa nae na kumuomba awaeleze alifanikiwa vipi. Huyu dada ni mpiganaji na ni mfano wa kuigwa.

Lissu pia alisema kuwa huo msimamo wake haukueleweka vizuri ndio maana watu wakamrushia madongo. Alisema haukuwa personal bali ukweli unabidi kusemwa. Hapo tena amejaribu kujikosha. Watu walimrushia madongo kwa kikubwa kutokana na yeye kudai kuwa Aida hachangii lolote. Hilo ndio liliwakera watu maana mchango wa Aida wote tuna uona. Na wenzake wanaouona ndio maana wakampa ngao.
Lissu anapaswa kukiri kuwa alikosea na amuombe radhi.

Amandla...
Labda anamaanisha kuwa, ikiwa CCM wanaweza kuwakata washindi wote, wakambakisha Aidan tu, inawezekana kuwa, licha ya Aidan kushinda, alipitishwa na CCM pia.

Maana, kama wangetaka kumkata na yeye, wangemkata tu.
 
Lisu anq matatizo makubwa,ila yanafichwa na ujasiri na elimu,pia sioni shida kusema ana wivu na ubingwa wa malalamiko.Ushahidi ni zaidi ya maneno elifu moja,alisema Mbowe alipewa magari na Chama dume,kumbe kanunua kwa mabalozi.Hela za mama Abdul alizozusha ziko wapi au walizikamata baada ya uchaguzi.Huyu ndugu iko shida!!
 
Kuendesha chama cha siasa kwa kutegemea ruzuku ni kazi ngumu kwelikweli, Wacha tuone
 
Akiwa Mgeni wa Heshima katika sherehe za Bawacha jana, Lissu hakuweza kujizuia kumtaja Aida. Alirudia tena madai yake kuwa Aida alipewa ubunge na CCM. Huo ni upotoshaji mkubwa kwa sababu una maanisha kuwa Aida hakushinda uchaguzi bali CCM walifanya figisu figisu na kumpa kura za ushindi.

Anashindwa kukubali kuwa Aida alishinda kihalali na akatangazwa. Swali analoweza kuuliza ni kwa nini CCM walimtangaza yeye tu? Inawezekana Aida alijipanga vizuri yeye na wapiga kura wake kiasi cha CCM kushindwa kudhulumu.

Inawezekana CCM waliisha mchoka mshindani wake na kuona bora aondoke. Na Inawezekana msimamizi wa uchaguzi katika eneo lake alikuwa mtenda haki na nafsi yake ilimzuia kufanya dhulma. Badala ya kulirudia rudia, yeye na wenzake wangekaa nae na kumuomba awaeleze alifanikiwa vipi. Huyu dada ni mpiganaji na ni mfano wa kuigwa.

Lissu pia alisema kuwa huo msimamo wake haukueleweka vizuri ndio maana watu wakamrushia madongo. Alisema haukuwa personal bali ukweli unabidi kusemwa. Hapo tena amejaribu kujikosha. Watu walimrushia madongo kwa kikubwa kutokana na yeye kudai kuwa Aida hachangii lolote. Hilo ndio liliwakera watu maana mchango wa Aida wote tuna uona. Na wenzake wanaouona ndio maana wakampa ngao.
Lissu anapaswa kukiri kuwa alikosea na amuombe radhi.

Amandla...

Ni kwamba hujielewi, sio Aidan peke yake alishinda chadema, kwa mantiki hiyo kura didn’t matter , so alipewa?!
 
Ni kwamba hujielewi, sio Aidan peke yake alishinda chadema, kwa mantiki hiyo kura didn’t matter , so alipewa?!
Kama Aidan na wenzake walishinda utasemaje kuwa alipewa? Ungesema waliibiwa wote isipokuwa yeye?

Amandla...
 
CCM mmekosa akili sana yaaani. Yaani kazi yenu siku hizi sio kuzungumza sera zenu ni kutaka tu kupotosha hoja za Lissu.

Sasa kama CHADEMA walishinda majimbo 90 alafu hawakutangazwa kwenye majimbo 89 wakatangazwa kwenye jimbo 1 huko sio kupewa?

mtahangaika sana kupotosha ila ndo hivyo LISSU kabarikiwa na Mungu na watanzania tunamuelewa sana.
 
CCM mmekosa akili sana yaaani. Yaani kazi yenu siku hizi sio kuzungumza sera zenu ni kutaka tu kupotosha hoja za Lissu.

Sasa kama CHADEMA walishinda majimbo 90 alafu hawakutangazwa kwenye majimbo 89 wakatangazwa kwenye jimbo 1 huko sio kupewa?

mtahangaika sana kupotosha ila ndo hivyo LISSU kabarikiwa na Mungu na watanzania tunamuelewa sana.
Mbona unajichanganya? Unakiri kuwa Aida na wenzake walishinda halafu hapo hapo unasema alipewa! Utapewaje kitu ambacho ni cha kwako?

Lissu sio Mungu. Mnavyozidi kumpa uungu ndio mnakosea.

Amandla...
 
Akiwa Mgeni wa Heshima katika sherehe za Bawacha jana, Lissu hakuweza kujizuia kumtaja Aida. Alirudia tena madai yake kuwa Aida alipewa ubunge na CCM. Huo ni upotoshaji mkubwa kwa sababu una maanisha kuwa Aida hakushinda uchaguzi bali CCM walifanya figisu figisu na kumpa kura za ushindi.

Anashindwa kukubali kuwa Aida alishinda kihalali na akatangazwa. Swali analoweza kuuliza ni kwa nini CCM walimtangaza yeye tu? Inawezekana Aida alijipanga vizuri yeye na wapiga kura wake kiasi cha CCM kushindwa kudhulumu.

Inawezekana CCM waliisha mchoka mshindani wake na kuona bora aondoke. Na Inawezekana msimamizi wa uchaguzi katika eneo lake alikuwa mtenda haki na nafsi yake ilimzuia kufanya dhulma. Badala ya kulirudia rudia, yeye na wenzake wangekaa nae na kumuomba awaeleze alifanikiwa vipi. Huyu dada ni mpiganaji na ni mfano wa kuigwa.

Lissu pia alisema kuwa huo msimamo wake haukueleweka vizuri ndio maana watu wakamrushia madongo. Alisema haukuwa personal bali ukweli unabidi kusemwa. Hapo tena amejaribu kujikosha. Watu walimrushia madongo kwa kikubwa kutokana na yeye kudai kuwa Aida hachangii lolote. Hilo ndio liliwakera watu maana mchango wa Aida wote tuna uona. Na wenzake wanaouona ndio maana wakampa ngao.
Lissu anapaswa kukiri kuwa alikosea na amuombe radhi.

Amandla...

Kwa hili hata na mimi baona Lissu hamtendei haki Dada wa watu. Kitenfo cha kurudia rudia hiyo inaonyesha mapungufu ya Lisdu kiuongozi. Kwa hili inabidi ajaribu kujirekebidha.
 
Mbona unajichanganya? Unakiri kuwa Aida na wenzake walishinda halafu hapo hapo unasema alipewa! Utapewaje kitu ambacho ni cha kwako?

Lissu sio Mungu. Mnavyozidi kumpa uungu ndio mnakosea.

Amandla...
Ni kweli si vyema Lisu kuendelea kumsema Aida, lakini nilivyomuelewa mimi ni kuwa wapinzani wengi walishinda lakini hawakutangazwa. Ila Aida alitangazwa kwa hisani.
 
Ni kweli si vyema Lisu kuendelea kumsema Aida, lakini nilivyomuelewa mimi ni kuwa wapinzani wengi walishinda lakini hawakutangazwa. Ila Aida alitangazwa kwa hisani.
Hata hiyo haijakaa sawa. Hisani kwa nani? Kwa Aida au kwa CDM? Kama ni kwa Aida basi ni kwa sababu walitaka kumsaidia. Kama ni kwa CDM, kwa nini hailaumu CDM. Pale alipoongeza kuwa Aida hajafanya lolote toka aingie Bungeni ilionyesha kuwa hii ishu ni personal tofauti na anavyodai.

Aida alisimamia uchaguzi ambao mtu ambae hakumtaka alishinda. Na walipotaka kuleta uongo wa kuwa Suzan anataka kura zake apewe mtu aliyemtaka, Aida na Suzan wakauzima haraka sana. Hilo nadhani hajalisamehe. Hiyo inampelekea kutokuwa na imani na Bawacha. Na wao wakampa za uso kwa kumpongeza Mbowe na kumpa ngao Aida. Mnatakiwa mumshauri kuwa kushindana na Bawacha hakuna tija. Aachane na Aida na awaonyeshe wenzake kuwa anawathamini.

Amandla...
 
Akiwa Mgeni wa Heshima katika sherehe za Bawacha jana, Lissu hakuweza kujizuia kumtaja Aida. Alirudia tena madai yake kuwa Aida alipewa ubunge na CCM. Huo ni upotoshaji mkubwa kwa sababu una maanisha kuwa Aida hakushinda uchaguzi bali CCM walifanya figisu figisu na kumpa kura za ushindi.

Anashindwa kukubali kuwa Aida alishinda kihalali na akatangazwa. Swali analoweza kuuliza ni kwa nini CCM walimtangaza yeye tu? Inawezekana Aida alijipanga vizuri yeye na wapiga kura wake kiasi cha CCM kushindwa kudhulumu.

Inawezekana CCM waliisha mchoka mshindani wake na kuona bora aondoke. Na Inawezekana msimamizi wa uchaguzi katika eneo lake alikuwa mtenda haki na nafsi yake ilimzuia kufanya dhulma. Badala ya kulirudia rudia, yeye na wenzake wangekaa nae na kumuomba awaeleze alifanikiwa vipi. Huyu dada ni mpiganaji na ni mfano wa kuigwa.

Lissu pia alisema kuwa huo msimamo wake haukueleweka vizuri ndio maana watu wakamrushia madongo. Alisema haukuwa personal bali ukweli unabidi kusemwa. Hapo tena amejaribu kujikosha. Watu walimrushia madongo kwa kikubwa kutokana na yeye kudai kuwa Aida hachangii lolote. Hilo ndio liliwakera watu maana mchango wa Aida wote tuna uona. Na wenzake wanaouona ndio maana wakampa ngao.
Lissu anapaswa kukiri kuwa alikosea na amuombe radhi.

Amandla...
Acha porojo.
Kwamba yeye peke yake ndiye awe bora?

Tumia hata akili zako kidogo basi.
 
Back
Top Bottom