Pre GE2025 Lissu hana sera mpya, hatafanikiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ingawa maisha ya watz ni mazuri lkn chadema ya Lissu wala hawajui na hawasemi wafanye nini kuondosha umaskini huo
Uko busy Sana na LISSU kuliko hata ulivyo busy na maisha yako! Hebu jipende kidogo, jitoe out, Acha kufuatilia maisha ya Watu, tulia kidogo! Yeah utajua ulimwengu Una Mambo mengine MENGi
 
Kweli Mh. Mbowe siyo mwanademokrasia amemtuma Malaria 2 kuanzisha nyuzi za kumshambulia Lissu na uongozi wake kila baada ya nusu saa anaanzisha mada moja baada ya nyingine.
 
Lissu tuliambiwa atawalaza ccm na viatu. Kikubwa nilichoona mimi hadi sasa
Mimi naona kubwa neno reform no election hakuna zaidi ya hapo. Nano hili linafafanuliwa kila wakati na kwa tafsiri tofauti ya zaidi ya 10.
1. Mwanachama wapya walioahidi wanaharakati kwamba chadema itawapata - 0
2. Chadema itakuwa tishio kwa ccm - 0
3. Chadema itakuwa mchaka mchaka - 0
4. Chadema haitakubali kuonewa- katibu wao kapotea kwa Pendo
Mimi naona bora mbowe kuliko Lissu
 
Jumatano ya majivu ni lini Meku? 🐼
 
Lisu ni mwanaharakati na sio mwanasiasa,mwacheni ashibe kwanza na yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…