Uchaguzi 2020 Lissu hana uchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili

Tatizo la hawa jamaa bure kabisa!

Hapo Mleta Mada mpe changamoto aseme kwa undani Tundu Lissu alisema nini kuhusu sakata la makinikia, katu hawezi kukuambia kwa sababu majority kama sio wote wamekariri mstari unaosema "...wawekezaji wakileta mali zao kwako, halafu ukazichukua utapelekwa MIGA ukashughulikiwe.."

Yaani hawa jamaa kutokana na vichwa vyao kuwa na memory ndogo, wamekariri hiyo sehemu peke yake na alichosema TL baada ya hiyo sentensi, wameshakisahau!!!
 
Mkuu umejitoa ufahamu au?
Kwahiyo unataka kusema awamu ya tano haikopi ama?
 
TUM TUMENYOLEWA BILA MAJIII BAADA YA MAGUFULI KULINDA MADINI YETU KUTOKA KWA MABEBERU??
HALAFU ALIYEWATETEA MABEBERU WATUIBIE MADINI YETU, HATA AIBU HANA ETI ANATAKA APEWE URAISI
 
TUM
TUMENYOLEWA BILA MAJIII BAADA YA MAGUFULI KULINDA MADINI YETU KUTOKA KWA MABEBERU??
HALAFU ALIYEWATETEA MABEBERU WATUIBIE MADINI YETU, HATA AIBU HANA ETI ANATAKA APEWE URAISI
Angalia ulivyo lofa!! Huyo Magufuli si ndo aliwaambia mnadai Trillion 425?! Hadi sasa mmelipwa ngapi?! Si akawadanganya kwamba hatimae smelter watajenga... hiyo smelter imejengwa wapi?!

Endeleeni kushangilia upumbavu kwa sababu uwezo wenu wa kufikiri ndo umeishia hapo!
 
Dogo kajifunze kwanza kuandika na matamshi sahihi ya maneno

Halafu nazi za wapi huko ambazo nje zina rangi nyeusi.
 
Ninakushukuru kwa haya;
1. Umekiri kuwa ni rais ajaye kwa hili japo umesema kiunafiki lakini litatimia

2. Wewe ni muongo awamu hii imekopa kuliko awanu zote.
Leta evidence mkuu.
 
Kumbu hukimsifia Lissu unapewa Maksi hahahaha kwa kipi sasa alichowahi kuifanyia Tanzania Asimame Aseme Kama Matanzania Kaifanyia nini Nchi yake unpataje Maksi kwa kusema uwongo kueneza chukiii
Lisu Ni mtetezi wa wanyonge japo kuwa hataeleweka kwa Sasa lakini tutakuja kumbuka siku hiyo kwamba mfariji wa kweli alikuwa lisu . Magufuli siyo mtetezi Bali Ni tapeli na tumeona pesa za tetemeko na kivuko kule ukerewe
 
Magufuli hana uchungu kabisa na watu wa Nchi hii.
 
Hakunk SAWAAAAAA HATA ANGESEMA TUNADAI TIRIONO BILION MIA.

JEEE KANJANJA ALIPANUA MASHAVU NA KUTETEA MABEBERU, KWAMBA TUKIGUSIA MIKATABA YA MADINI TUTANYOLEWA BILA MAJI NA KUSHITAKIWA MAHAKAMA ZA KIMATAIFA. LEO HIIII USO WAKE AMEWEKA KWAPANIIII??
 
Hakunk
SAWAAAAAA HATA ANGESEMA TUNADAI TIRIONO BILION MIA.

JEEE KANJANJA ALIPANUA MASHAVU NA KUTETEA MABEBERU, KWAMBA TUKIGUSIA MIKATABA YA MADINI TUTANYOLEWA BILA MAJI NA KUSHITAKIWA MAHAKAMA ZA KIMATAIFA. LEO HIIII USO WAKE AMEWEKA KWAPANIIII??
You see, ndo maana nimesema nyie watu hakuna mnachojua, ndio maana kuna mtu hapo juu nilimwambia kwamba:- Nawe umeongea kile kile! Yaani wala hujui Tundu Lissu aliongea nini!!! Na watu aina yenu ndo mtaji mkubwa wa Jiwe kwa sababu hamna hata uwezo wa kutafuta ukweli!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtaweweseka sana mwaka huu. Na hiyo siyo photo mshamba wewe bali ni video.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] videoshop
 
Hana hoja ya maana !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…