Lissu hana uwezo wa kuiongoza CHADEMA hata kwa mwezi mmoja tu. Ataipasua na kuigawa kwa mdomo wake usio na breki

Aisee chawa ni chawa tu aya za juu umesimamia kwenye mada na kueleza fresh kabisa.
Ila paragraphs za mwishoni sasa ukaamua kuudhihirisha ule uchawa wako.

Yaani mada hata haukuhusiana na Samia lakini hukukubali hadi umemchomeka, kizazi cha hovyo sana hiki.
 
Acha kujishtukia hakuna aliyesema CCM wanamuogopa Lissu au mnamuogopa kweli.
 
Acha wapasuane 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Rais Samia ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu.
 
Wewe muosha vyoo wa lumumba mambo ya chadema yanakuhusu nini mbona una kinyampwipwi
 
Awe Mwenyekiti wa kanda zote za Tanzania si Mchaga hatoki Kaskazini kama Mbowe.
Kwani Mwamba amekwambia atakuwa Mwenyekiti wa kanda moja? CHADEMA inamhitaji Mwamba kuiongoza kwa sababu anazo akili Timamu na anajitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…