Lissu hana uwezo wa kuiongoza CHADEMA hata kwa mwezi mmoja tu. Ataipasua na kuigawa kwa mdomo wake usio na breki

Kumharibia Mbowe ni dhamira yenu au imetokana na uwezo wenu wa kufikia mwisho wa kufikiri?
Lissu, awe hafai, au awe anafaa, amejengwa sana na maneno yenu, ambayo mnafikiri yanambomoa, kumbe ni kinyume chake.
Mmemdhalilisha sana Freeman Mbowe
 
Kumharibia Mbowe ni dhamira yenu au imetokana na uwezo wenu wa kufikia mwisho wa kufikiri?
Lissu, awe hafai, au awe anafaa, amejengwa sana na maneno yenu, ambayo mnafikiri yanambomoa, kumbe ni kinyume chake.
Mmemdhalilisha sana Freeman Mbowe
Lissu hawezi kamwe na katu kuwa mwenyekiti wa CHADEMA.hata yeye mwenyewe analijua hilo.
 
Mbona wewe huwezi kuongoza hata mtaa wa nyumba 10.
 
Wewe na Lissu tu.Haya,sasa shika jembe ukapalilie.
 
Ccm kwanini mnamuogopa Lissu? chadema ikifa kwa mdomo wa Lissu wewe si ndio furaha yako ?kutakuwa hakuna haja ya kuiba kura tena
πŸŒ€οΈπŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸŽ―πŸ‘πŸ‘πŸ™
 
Akiamua kuchukua Hongo za CCM kama afanyavyo mwenyekiti Nguli FAM basi chama kitaendelea kuwepo tu.
 
Acha mihemko ndugu yangu.... Kwan kabla ya apo hakuna kiongozii ..na kama hawezi wange muamin kumpa nafasi ya kugombea uraisi ... think before you talk
 
Embu acha ukichaa hapa. huyo lissu si aligombea Urais? Si alikataliwa na watanzania? Ni kipi anachoweza zaidi ya Uropokaji na ukurupukaji wake.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sasa unategemea nini ukiweka fenesi na Ndafu ya mbuzi watu wachague fenesi? Haipo hiyo. Hakuna mjinga wa kuacha ndafu achague dawa ya kuharisha.

Round hii tunaletewa Baskeli ya miti vs. Honda CBR ili tuone kama kuna mjinga wa kuchagua baskeli ya mti aache super bike
 
Kila mwana CHADEMA mwenye akili Timamu na anayejitambua anatambua ya kuwa ni Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Mbowe ndiye mwenye uwezo wa kuiongoza CHADEMA kwa sasa akisaidiwa kwa karibu na Mheshimiwa Wenje.
Ushaanza uchawa wa Upande wa Pili🀣, mwaka huu mtakufa vifo mikundu ikielekea mawinguni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…