Lissu jiandae, jamaa maji ya shingo na anataka kukufukuza

Lissu jiandae, jamaa maji ya shingo na anataka kukufukuza

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
"....vikao vya Kamati kuu vinavyotarajia kukaa hivi karibuni kwa minajili ya kuteua Wagombea pamoja na mambo mengine M/kiti anataka kupendekeza Tundu afukuzwe."

"...hivi ninavyozungumza, mwamba hamwamini hata Katibu Mkuu wake akihofu huenda ni timu Tundu."

Duru.
 
"....vikao vya Kamati kuu vinavyotarajia kukaa hivi karibuni kwa minajili ya kuteua Wagombea pamoja na mambo mengine M/kiti anataka kupendekeza Tundu afukuzwe."

"...hivi ninavyozungumza, mwamba hamwamini hata Katibu Mkuu wake akihofu huenda ni timu Tundu."

Duru.
Itajupikana tu
 
Screenshot_20250101-120119.jpg
 
"....vikao vya Kamati kuu vinavyotarajia kukaa hivi karibuni kwa minajili ya kuteua Wagombea pamoja na mambo mengine M/kiti anataka kupendekeza Tundu afukuzwe."

"...hivi ninavyozungumza, mwamba hamwamini hata Katibu Mkuu wake akihofu huenda ni timu Tundu."

Duru.
Hivi wote si washatia nia, cheo cha mwenyekiti na makamu bado vipo hai mpaka leo?

Navyoelewa kiongozi wa chama kwa muda huu ni katibu mkuu hadi hapo uchaguzi utakapofanyika.
Sasa ukuu unatoka wapi kabla ya uchaguzi?
 
"....vikao vya Kamati kuu vinavyotarajia kukaa hivi karibuni kwa minajili ya kuteua Wagombea pamoja na mambo mengine M/kiti anataka kupendekeza Tundu afukuzwe."

"...hivi ninavyozungumza, mwamba hamwamini hata Katibu Mkuu wake akihofu huenda ni timu Tundu."

Duru.
Wapumbavu wa CCM katika ubora wao
 
"....vikao vya Kamati kuu vinavyotarajia kukaa hivi karibuni kwa minajili ya kuteua Wagombea pamoja na mambo mengine M/kiti anataka kupendekeza Tundu afukuzwe."

"...hivi ninavyozungumza, mwamba hamwamini hata Katibu Mkuu wake akihofu huenda ni timu Tundu."

Duru.
Awamu hii tuta mtimua Mbowe bila huruma kwa box. Mbowe na m7 wote wajinga wana mawazo sawa
 
Mwenyekiti aliyeenda gerezani ni tofauti na Mwenyekiti aliyetoka gerezani ~ TAL
 
Kwa katiba ya Tanzania rais aliye madarakani akigombea anakuwa na mamlaka yake ya urais, na ndiye anayemua matokeo ya uchaguzi yaweje.
Moja ya flaw mbaya sana kwenye katiba yetu
 
Back
Top Bottom