Lissu kama unataka urais, badilisha unyoaji wa nywele sasa

Lissu kama unataka urais, badilisha unyoaji wa nywele sasa

ROI
[emoji3][emoji2][emoji1][emoji38] Umesababisha mtoto wangu anichukie badala nimjibu anachouliza mie nimetingwa nacheka ,kwahiyo kasoro Kwa Lisu pamoja na yote ,unyoaji nao shida....bongo bolizozo
 
Hivi watu tuko serious kweli? Lissu awe rais tena rais wa nchi, acheni masihara nyie
Sio Lisu tu hata ww unaweza kuwa rais maana anaye jua kesho ni mungu tu,ww hujui hata dakika kumi mbele ni kipi kitakutokea kwa hivyo acha kejeri.

Hata makaburu hawakuwahi hata kuwaza kuwa siku moja watakuja kumpigia magoti mtu walio mfunga miaka 27 jera.
 
Lissu kamwe hawezi kuwa rais wa jmt labda rais wa waropokaji na wahuni !!!!,urais ni taasisi na sio nafasi ya kila mtanzania!!
Mungu ndo anajua kesho ya mwana damu na sio ww punguani.

Hivi mwaka 2020 kulikuwa na mtu ambaye alikuwa hata anawaza kuwa kufikia 2023 Jiwe atakuwa kaburini analiwa na funza na kuwaacha wafuasi wake wakitapatapa kama vifaranga vilivyo fiwa na mama yao?

Atakaye amuwa hatima ya maisha ya Lisu ni mungu tu na ndo anajua kesho yake na sio ww.
 
Mungu ndo anajua kesho ya mwana damu na sio ww punguani.

Hivi mwaka 2020 kulikuwa na mtu ambaye alikuwa hata anawaza kuwa kufikia 2023 Jiwe atakuwa kaburini analiwa na funza na kuwaacha wafuasi wake wakitapatapa kama vifaranga vilivyo fiwa na mama yao?

Atakaye amuwa hatima ya maisha ya Lisu ni mungu tu na ndo anajua kesho yake na sio ww.
Huyo hawezi kuwa rais, labda awe rais wa getto!!
 
Huyo hawezi kuwa rais, labda awe rais wa getto!!
Nimesha kwambia huna uwezo wa kujua lisu atakuwa nani siku za usoni kwa sababu hata ww mwenyewe hujui utakuwa wapi na katika mazingira gani siku za mbeleni.
Siasa za uchawa zinawafanya kuwa wapumbavu mpaka mnajipa umungu ,ww utaijuaje hatima ya lisu hali ya kuwa hatima yako mwenyewe hujui?

Anaye jua Lisu atakuwa rais au hawezi kuwa rais ni Mungu tu na si takataka kama ww.

Hata huyo mama yako uliye muweka kwenye avatar yako hakuwahi hata kuwaza kuwa rais lakini mungu kamfanya kuwa rais katika mazingira ya kushangaza.
 
Lisu labda awe rais wa ukoo wenu lakini sio wa Tanzania 🇹🇿
 
Nimesha kwambia huna uwezo wa kujua lisu atakuwa nani siku za usoni kwa sababu hata ww mwenyewe hujui utakuwa wapi na katika mazingira gani siku za mbeleni.
Siasa za uchawa zinawafanya kuwa wapumbavu mpaka mnajipa umungu ,ww utaijuaje hatima ya lisu hali ya kuwa hatima yako mwenyewe hujui?

Anaye jua Lisu atakuwa rais au hawezi kuwa rais ni Mungu tu na si takataka kama ww.

Hata huyo mama yako uliye muweka kwenye avatar yako hakuwahi hata kuwaza kuwa rais lakini mungu kamfanya kuwa rais katika mazingira ya kushangaza.
Lisu hata kwa utabiri tu HAWEZI KUWA RAIS NANI ATAMCHAGUA YULE LABDA WEWE NA WAJINGA WENZAKO
 
Lisu hata kwa utabiri tu HAWEZI KUWA RAIS NANI ATAMCHAGUA YULE LABDA WEWE NA WAJINGA WENZAKO
nimesha kwambia anaye jua hatima ya mtu ni mungu.
Ni upumbavu wa hali ya juu kujipa mamlaka ya kuamuwa na kujifanya mtabili wa maisha ya mtu mwingine hali yakuwa maisha yako mwenyewe huwezi kuyatabiri.

Anaweza asiingie kwa kula ila akaingia kwa njia nyingine ambayo ww hutegemei.

Au anaweza asiwe rais kupitia chadema kama ww unavyo fikiri akawa raisi kupitia hilo lichama lenu la Ccm.
 
Sawa mungu mtu.
Hii ipo waz yule Mlopokaji hawez kuwa Rais kamwe hataishia kuwa mwanaharaki wa kupinga maendeleo ya Tanzania ndio mabeberu yanavyomtuma
 
Oy wanangu siku zinakimbia Sana. Miaka mitano iliyopita Lisu alikuwa kijana w makamo Hana mvi Wala uso wake huu unaokunjamana kwa Kasi. Alikuwa na uso unaomeremeta makunyanzi madogo kwa mbali i'la leo kwa muonekano wa uso wake Ni somo jipya juu ya namna siku za maisha zinavyotembea na kutorudi.
Ni ajabu mwaka ule aliogongwa chuma hata mie nilikuwa kijana mdogo but leo sipo vile Tena. Chini kidogo ya pua Kuna ugeni Aina ya makunyanzi yananitembelea. Eti vijana wa miaka 22 nao wananiita mzee. Sipendi but nifanye Nini? Ohoo sipendi but nikumbushe Tena Jambo..
Wanangu muda unakwenda Ni vyema tufanye ya faida tu.
 
Back
Top Bottom