digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Lissu kamwe hawezi kuwa rais wa jmt labda rais wa waropokaji na wahuni !!!!,urais ni taasisi na sio nafasi ya kila mtanzania!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wa mabaga fresh Sawa!!Rais Tundu Lissu 😆🤣😂
Hawa ndo wanaotizama mionekano, na sio uwezo.Lissu anamzidi pank yule raisi wa korea???
Nchi yetu inahitaji mtu mwenye smart mind sio smart look.
Ameiga? Kwa hiyo wewe ikitokea ukapata kitambi utakuwa umemuiga PETER MSECHU??Anamuiga yule wa kule kaskazini Korea
Sio Lisu tu hata ww unaweza kuwa rais maana anaye jua kesho ni mungu tu,ww hujui hata dakika kumi mbele ni kipi kitakutokea kwa hivyo acha kejeri.Hivi watu tuko serious kweli? Lissu awe rais tena rais wa nchi, acheni masihara nyie
Mungu ndo anajua kesho ya mwana damu na sio ww punguani.Lissu kamwe hawezi kuwa rais wa jmt labda rais wa waropokaji na wahuni !!!!,urais ni taasisi na sio nafasi ya kila mtanzania!!
Huyo hawezi kuwa rais, labda awe rais wa getto!!Mungu ndo anajua kesho ya mwana damu na sio ww punguani.
Hivi mwaka 2020 kulikuwa na mtu ambaye alikuwa hata anawaza kuwa kufikia 2023 Jiwe atakuwa kaburini analiwa na funza na kuwaacha wafuasi wake wakitapatapa kama vifaranga vilivyo fiwa na mama yao?
Atakaye amuwa hatima ya maisha ya Lisu ni mungu tu na ndo anajua kesho yake na sio ww.
Nimesha kwambia huna uwezo wa kujua lisu atakuwa nani siku za usoni kwa sababu hata ww mwenyewe hujui utakuwa wapi na katika mazingira gani siku za mbeleni.Huyo hawezi kuwa rais, labda awe rais wa getto!!
Lisu hata kwa utabiri tu HAWEZI KUWA RAIS NANI ATAMCHAGUA YULE LABDA WEWE NA WAJINGA WENZAKONimesha kwambia huna uwezo wa kujua lisu atakuwa nani siku za usoni kwa sababu hata ww mwenyewe hujui utakuwa wapi na katika mazingira gani siku za mbeleni.
Siasa za uchawa zinawafanya kuwa wapumbavu mpaka mnajipa umungu ,ww utaijuaje hatima ya lisu hali ya kuwa hatima yako mwenyewe hujui?
Anaye jua Lisu atakuwa rais au hawezi kuwa rais ni Mungu tu na si takataka kama ww.
Hata huyo mama yako uliye muweka kwenye avatar yako hakuwahi hata kuwaza kuwa rais lakini mungu kamfanya kuwa rais katika mazingira ya kushangaza.
nimesha kwambia anaye jua hatima ya mtu ni mungu.Lisu hata kwa utabiri tu HAWEZI KUWA RAIS NANI ATAMCHAGUA YULE LABDA WEWE NA WAJINGA WENZAKO
Hii ipo waz yule Mlopokaji hawez kuwa Rais kamwe hataishia kuwa mwanaharaki wa kupinga maendeleo ya Tanzania ndio mabeberu yanavyomtumaSawa mungu mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watz ni wapumbavu Sana yaani mnafatilia Mambo ya kisenge mno.
Je akinyoa vizuri ndo ataongoza vizuri ujinga mtupu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maswali mengine yanachekesha aiseeAmeiga? Kwa hiyo wewe ikitokea ukapata kitambi utakuwa umemuiga PETER MSECHU??
😂 Duuuuh watu wana manenoHivi watu tuko serious kweli? Lissu awe rais tena rais wa nchi, acheni masihara nyie
Naomba exact name ya huyu mtu hua namuona muona tu humu picha zake Ila simjui, emu naomba jina nikamcheck GoogleView attachment 2490422
Akinyoa hivi urais anaupata chapu