Lissu hata kupewa nafasi apeperushe tena bendela hapewiMungu ndo anajua kesho ya mwana damu na sio ww punguani.
Hivi mwaka 2020 kulikuwa na mtu ambaye alikuwa hata anawaza kuwa kufikia 2023 Jiwe atakuwa kaburini analiwa na funza na kuwaacha wafuasi wake wakitapatapa kama vifaranga vilivyo fiwa na mama yao?
Atakaye amuwa hatima ya maisha ya Lisu ni mungu tu na ndo anajua kesho yake na sio ww.
Mcheza porn huyo.Naomba exact name ya huyu mtu hua namuona muona tu humu picha zake Ila simjui, emu naomba jina nikamcheck Google
Hspo ndio unajua unaweza kunyoa kipara ila usiwe na maadiliView attachment 2490422
Akinyoa hivi urais anaupata chapu
Hivi wamachame mnamatatizo gani kichwani,sasa matusi yote ya nini wakati umeulizwa swali moja tu,na kama unasema hakuna anayejua kesho yake mbona ww unamshambulia aliyekaburini wakati wewe upo juu unatembea,wa ushaijua kesho yako?Mungu ndo anajua kesho ya mwana damu na sio ww punguani.
Hivi mwaka 2020 kulikuwa na mtu ambaye alikuwa hata anawaza kuwa kufikia 2023 Jiwe atakuwa kaburini analiwa na funza na kuwaacha wafuasi wake wakitapatapa kama vifaranga vilivyo fiwa na mama yao?
Atakaye amuwa hatima ya maisha ya Lisu ni mungu tu na ndo anajua kesho yake na sio ww.
Jina lake nani, watoto wa Mungu hatumjui huyo jamaa smart kumbe pornographer nikajua ni jamaa fulan public figureMcheza porn huyo.
mtoa mada nasikitika kukwambia kwamba "una matatizo ya Afya ya akili" jitathimini upyaHuyu ni mwanasiasa ambaye kwangu Mimi ana sifa karibu zote za mtu kuwa Rais. Haidhuru ningekuwa mzungu ningesema, He is potentially presidential material.
Ana maono( vision) kiu ya kufanya mambo yatokee. ( Desire to Delivery), ana fikra thabiti (logic), ana ushawishi (influence), Haiba( presentableness), ana uelewa mtambuka ( exposure) na ni msomi.(enlightened)
Jambo Moja tu ambalo akilibadilisha , Kwa macho ya utambuzi, ni aina yake ya unyoaji wa nywele.
View attachment 2490339
Aina ya unyoaji wake wa nywele siyo presidential kabisa.
Madaraka ya urais yanakupa majukumu ya kuwa alama ya nchi. Ebu nambie mnyoo wa pank, Tena pank la Lissu la kuchimba, imekaaje hiyo?
Kwa kuwa Lissu ni potential presidential candidate hapa mbele, aanze kufanyia kazi unyoaji wake.
Je nina shida na mnyoo wa pank, ? Hapana kimsingi. Kwa maana hiyo, nina shida linapokuja tu suala la mtu anayetaka kuwa kiongozi wetu.
Kaptura ya jioni wakati wa kupunga hewa inaweza isiwe shida kwa mtu mwingine yeyote.
Lakini vipi akiivaa shehe au mchungaji na atembee nayo katikakati ya mji? Hiyo itaitwa taboo.
Maana yake ni nini? Everything can be good but not everything is useful.
Kiongozi ni mtu anayetazamwa kwa mengi, a person to look up to, hivyo kuwa represantable ni muhimu. Na kwa yeye anatakiwa kuwa na presidential hair cut.
Tunawezabishana juu ya presidential hair cut ikoje, lakini siyo pank!
Wasalaam