Lissu kama unawaita wenzako MAPOLISI badala ya Polisi usitegemee wakuheshimu

Lissu kama unawaita wenzako MAPOLISI badala ya Polisi usitegemee wakuheshimu

Mheshimiwa Tundu Lissu sijui kwa uumbaji, malezi, usomi, au ujuaji amekuwa akiwaita wananchi wetu walioajiriwa jeshi la polisi kwa jina la MAPOLISI badala ya polisi au askari wa jeshi la polisi- hii siyo staha hata kidogo. Kwa kuwakosea staha anategemea nini kutoka kwao?

Huna hoja aibu yako hii
 
Mheshimiwa Tundu Lissu sijui kwa uumbaji, malezi, usomi, au ujuaji amekuwa akiwaita wananchi wetu walioajiriwa jeshi la polisi kwa jina la MAPOLISI badala ya polisi au askari wa jeshi la polisi- hii siyo staha hata kidogo. Kwa kuwakosea staha anategemea nini kutoka kwao?

Lissu anapewa uhuru na nafasi kubwa ya kuongea na ndipo anapomalizwa kisiasa.

Anapoongea kwa muda mrefu anachokwa na wasikilizaji, huo ni ujanja wa kisiasa wa hali ya juu.

Udhaifu wake wote anauanika wakati wa mahojiano mengi anayofanya na vyombo vya habari. Siasa ni kuona mbali.

SSH anakubaliana na uhuru wa Lissu na wa kisiasa kwa ujumla akitekeleza maagizo ya wakubwa lakini pia ni mbinu ya kummaliza muongeaji kwa kumpa uhuru mpana.
 
Mheshimiwa Tundu Lissu sijui kwa uumbaji, malezi, usomi, au ujuaji amekuwa akiwaita wananchi wetu walioajiriwa jeshi la polisi kwa jina la MAPOLISI badala ya polisi au askari wa jeshi la polisi- hii siyo staha hata kidogo. Kwa kuwakosea staha anategemea nini kutoka kwao?

Matendo yao ya kinyama, kifedhuli ndio picha wanayojitambulisha nayo. Lissue mwacheni aseme chochote masahibu mliomfanyia labda akisema machungu yatampungua na wala hastahili kutegemea chochote kutoka kwao kama wamemminia marisasi zaidi ya 15 manake Muumba tu ndio anamlinda
 
Maaskari je, nalo ni dharau?
Maaskofu, mashemasi, mapadre, masista, mabinti, masheikh, makuhani, mawakala, etc.
Vitu vingine havina wingi Mkuu. Kwa mfano PUA, CHUPI, KONDOMU, KENGE, TEMBO, FISI, NGURUWE, KENDE, SHOGA na UCHI
 
Jibu mujarab!
  • Maaskari je, nalo ni dharau?
    Maaskofu, mashemasi, mapadre, masista, mabinti, masheikh, makuhani, mawakala, etc.
Vitu vingine havina wingi Mkuu. Kwa mfano PUA, CHUPI, KONDOMU, KENGE, TEMBO, FISI, NGURUWE, KENDE, SHOGA na UCHI
 
Mheshimiwa Tundu Lissu sijui kwa uumbaji, malezi, usomi, au ujuaji amekuwa akiwaita wananchi wetu walioajiriwa jeshi la polisi kwa jina la MAPOLISI badala ya polisi au askari wa jeshi la polisi- hii siyo staha hata kidogo. Kwa kuwakosea staha anategemea nini kutoka kwao?

Polisi wenyewe hawajalalamika ACHA VIHEREHERE
 
🐒🐒🐒
16751459386415.jpg
 
Lissu hana haja ya kuheshimiwa na Mapaka.
 
Mheshimiwa Tundu Lissu sijui kwa uumbaji, malezi, usomi, au ujuaji amekuwa akiwaita wananchi wetu walioajiriwa jeshi la polisi kwa jina la MAPOLISI badala ya polisi au askari wa jeshi la polisi- hii siyo staha hata kidogo. Kwa kuwakosea staha anategemea nini kutoka kwao?


Hata angewaita manabii, polisi wetu hawana utamaduni wa kuheshimu wapinzani. Wao huheshimu tu chama kilichoko madarakani, kwani ndio chenye viongozi wanaoweza kuwapa vyeo.
 
Back
Top Bottom