CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Huna hoja aibu yako hiiMheshimiwa Tundu Lissu sijui kwa uumbaji, malezi, usomi, au ujuaji amekuwa akiwaita wananchi wetu walioajiriwa jeshi la polisi kwa jina la MAPOLISI badala ya polisi au askari wa jeshi la polisi- hii siyo staha hata kidogo. Kwa kuwakosea staha anategemea nini kutoka kwao?
Lissu ataka pangua zaidi jeshi la polisi
Kwa muda mrefu wananchi wamekuwa wakitaka jeshi la polisi lifumuliwe ili utendaji kazi wake uimarike na wasiofuata maadili wawajibishwe.www.mwananchi.co.tz
MambuziMaCCM
Kwamba yapo mengi, limoja ni li ccm!.MaCCM
Lissu anapewa uhuru na nafasi kubwa ya kuongea na ndipo anapomalizwa kisiasa.Mheshimiwa Tundu Lissu sijui kwa uumbaji, malezi, usomi, au ujuaji amekuwa akiwaita wananchi wetu walioajiriwa jeshi la polisi kwa jina la MAPOLISI badala ya polisi au askari wa jeshi la polisi- hii siyo staha hata kidogo. Kwa kuwakosea staha anategemea nini kutoka kwao?
Lissu ataka pangua zaidi jeshi la polisi
Kwa muda mrefu wananchi wamekuwa wakitaka jeshi la polisi lifumuliwe ili utendaji kazi wake uimarike na wasiofuata maadili wawajibishwe.www.mwananchi.co.tz
Matendo yao ya kinyama, kifedhuli ndio picha wanayojitambulisha nayo. Lissue mwacheni aseme chochote masahibu mliomfanyia labda akisema machungu yatampungua na wala hastahili kutegemea chochote kutoka kwao kama wamemminia marisasi zaidi ya 15 manake Muumba tu ndio anamlindaMheshimiwa Tundu Lissu sijui kwa uumbaji, malezi, usomi, au ujuaji amekuwa akiwaita wananchi wetu walioajiriwa jeshi la polisi kwa jina la MAPOLISI badala ya polisi au askari wa jeshi la polisi- hii siyo staha hata kidogo. Kwa kuwakosea staha anategemea nini kutoka kwao?
Lissu ataka pangua zaidi jeshi la polisi
Kwa muda mrefu wananchi wamekuwa wakitaka jeshi la polisi lifumuliwe ili utendaji kazi wake uimarike na wasiofuata maadili wawajibishwe.www.mwananchi.co.tz
Vitu vingine havina wingi Mkuu. Kwa mfano PUA, CHUPI, KONDOMU, KENGE, TEMBO, FISI, NGURUWE, KENDE, SHOGA na UCHIMaaskari je, nalo ni dharau?
Maaskofu, mashemasi, mapadre, masista, mabinti, masheikh, makuhani, mawakala, etc.
Jibu mujarab!Maaskari je, nalo ni dharau?
Maaskofu, mashemasi, mapadre, masista, mabinti, masheikh, makuhani, mawakala, etc.
Jibu mujarab!
Polisi wenyewe hawajalalamika ACHA VIHEREHEREMheshimiwa Tundu Lissu sijui kwa uumbaji, malezi, usomi, au ujuaji amekuwa akiwaita wananchi wetu walioajiriwa jeshi la polisi kwa jina la MAPOLISI badala ya polisi au askari wa jeshi la polisi- hii siyo staha hata kidogo. Kwa kuwakosea staha anategemea nini kutoka kwao?
Lissu ataka pangua zaidi jeshi la polisi
Kwa muda mrefu wananchi wamekuwa wakitaka jeshi la polisi lifumuliwe ili utendaji kazi wake uimarike na wasiofuata maadili wawajibishwe.www.mwananchi.co.tz
Mheshimiwa Tundu Lissu sijui kwa uumbaji, malezi, usomi, au ujuaji amekuwa akiwaita wananchi wetu walioajiriwa jeshi la polisi kwa jina la MAPOLISI badala ya polisi au askari wa jeshi la polisi- hii siyo staha hata kidogo. Kwa kuwakosea staha anategemea nini kutoka kwao?
Lissu ataka pangua zaidi jeshi la polisi
Kwa muda mrefu wananchi wamekuwa wakitaka jeshi la polisi lifumuliwe ili utendaji kazi wake uimarike na wasiofuata maadili wawajibishwe.www.mwananchi.co.tz