Tetesi: Lissu karibu CCM Upumzike

Tetesi: Lissu karibu CCM Upumzike

Mbowe na genge lake wanamtumia Lissu kama ndoano ya kuvutia pesa CCM

Kwa hali ilivyo,

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe amekuwa akitumia gia ya kuwatisha Viongozi wa CCM kuwa endapo Lissu atakuwa mwenyekiti wa CHADEMA basi mambo kwenye Taifa hili hayatakuwa sawa

Huenda CCM ikatumia nguvu kubwa kumzuia Lissu ikiamini ni kweli Lissu ni hatari kwa Taifa hili kumbe ni mbinu za Bwana Mwenyekiti katika kujipatia chochote toka CCM.

Vita ya team Mbowe ni kuhakikisha Lissu hagombei Urais kwa CHADEMA mwaka 2025 ili Bwana Mwenyekiti Mbowe agombee na aingie kwenye nusu mkate jambo ambalo litaiacha CHADEMA ikiwa vipande vipande.

|Lissu karibu CCM Upumzike huko CHADEMA unapambana na adui unayeishi nae CCM sio adui yako yaliyopita yamepita njoo tujenge Taifa letu |
Akija anapewa na Cheo ambacho sio Cha Kisiasa kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali 🤣🤣🤣🤣
 
Mfumo umefaulu kuwavuruga Chadema, hawana ujanja. Wakae chini wafanye reform kubwa pengine baada ya uchaguzi. Kwa sasa waelekeze nguvu kwenye uchaguzi,wasitolewe kwenye focus. Kama wana taka kuendelea kuwepo. Udhaifu wao umekwisha fahamika,Pesa!

..udhaifu wa Chadema ni pesa.

..majigambo na nguvu ya Ccm ni pesa.
 
Mbowe na genge lake wanamtumia Lissu kama ndoano ya kuvutia pesa CCM

Kwa hali ilivyo,

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe amekuwa akitumia gia ya kuwatisha Viongozi wa CCM kuwa endapo Lissu atakuwa mwenyekiti wa CHADEMA basi mambo kwenye Taifa hili hayatakuwa sawa

Huenda CCM ikatumia nguvu kubwa kumzuia Lissu ikiamini ni kweli Lissu ni hatari kwa Taifa hili kumbe ni mbinu za Bwana Mwenyekiti katika kujipatia chochote toka CCM.

Vita ya team Mbowe ni kuhakikisha Lissu hagombei Urais kwa CHADEMA mwaka 2025 ili Bwana Mwenyekiti Mbowe agombee na aingie kwenye nusu mkate jambo ambalo litaiacha CHADEMA ikiwa vipande vipande.

|Lissu karibu CCM Upumzike huko CHADEMA unapambana na adui unayeishi nae CCM sio adui yako yaliyopita yamepita njoo tujenge Taifa letu |
Lissu akiishaingia CCM anapewa u-DC wa Mafia huko anatulia zake!
 
CCM kuna mapumziko?
F-4REfnXcAAogyA.jpg
 
Mbowe na genge lake wanamtumia Lissu kama ndoano ya kuvutia pesa CCM

Kwa hali ilivyo,

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe amekuwa akitumia gia ya kuwatisha Viongozi wa CCM kuwa endapo Lissu atakuwa mwenyekiti wa CHADEMA basi mambo kwenye Taifa hili hayatakuwa sawa

Huenda CCM ikatumia nguvu kubwa kumzuia Lissu ikiamini ni kweli Lissu ni hatari kwa Taifa hili kumbe ni mbinu za Bwana Mwenyekiti katika kujipatia chochote toka CCM.

Vita ya team Mbowe ni kuhakikisha Lissu hagombei Urais kwa CHADEMA mwaka 2025 ili Bwana Mwenyekiti Mbowe agombee na aingie kwenye nusu mkate jambo ambalo litaiacha CHADEMA ikiwa vipande vipande.

|Lissu karibu CCM Upumzike huko CHADEMA unapambana na adui unayeishi nae CCM sio adui yako yaliyopita yamepita njoo tujenge Taifa letu |
Sikubaliani na Mbowe kabisa kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm, lakini hakuna namna nitaendelea kumuunga mkono Lisu akihamia ccm. Hata hivyo huyo Lisu huko ccm iwapo ni kweli atahamia, sio kufuata siasa, bali atakuwa kafuata mlo.
 
nani wa kumpigia kura mbowe hehehe nakumbuka mambo ya 2005 tatizo tamaa tamaa tamaa
 
Mbowe na genge lake wanamtumia Lissu kama ndoano ya kuvutia pesa CCM

Kwa hali ilivyo,

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe amekuwa akitumia gia ya kuwatisha Viongozi wa CCM kuwa endapo Lissu atakuwa mwenyekiti wa CHADEMA basi mambo kwenye Taifa hili hayatakuwa sawa

Huenda CCM ikatumia nguvu kubwa kumzuia Lissu ikiamini ni kweli Lissu ni hatari kwa Taifa hili kumbe ni mbinu za Bwana Mwenyekiti katika kujipatia chochote toka CCM.

Vita ya team Mbowe ni kuhakikisha Lissu hagombei Urais kwa CHADEMA mwaka 2025 ili Bwana Mwenyekiti Mbowe agombee na aingie kwenye nusu mkate jambo ambalo litaiacha CHADEMA ikiwa vipande vipande.

|Lissu karibu CCM Upumzike huko CHADEMA unapambana na adui unayeishi nae CCM sio adui yako yaliyopita yamepita njoo tujenge Taifa letu |
Acha upoyoyo. Elewa maneno ya Lissu Yana msingi mmoja.
 
Waliompiga risasi Lissu ni akina nani?
Waliotoa camera kwenye makazi ya viongozi ni akina nani?
Ina maana wewe mtoa mada una akili nyingi kuliko wana CCM wenzako wote?
Acha hizo hata kama una njaa sio kwa kuandika mashudu kiasi hiki.
Umemuuliza swali zuri sana.

Hivi mtu aliyeponea chupuchupu kuuawa na hao watesi wake, ndiyo aweze kushawishika ajiunge nao??😚
 
Umemuuliza swali zuri sana.

Hivi mtu aliyeponea chupuchupu kuuawa na hao watesi wake, ndiyo aweze kushawishika ajiunge nao??😚
Kwenye Siasa hakuna Úadui wa kudumu Wala Urafiki wa Kudumu
 
Mbowe na genge lake wanamtumia Lissu kama ndoano ya kuvutia pesa CCM

Kwa hali ilivyo,

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe amekuwa akitumia gia ya kuwatisha Viongozi wa CCM kuwa endapo Lissu atakuwa mwenyekiti wa CHADEMA basi mambo kwenye Taifa hili hayatakuwa sawa

Huenda CCM ikatumia nguvu kubwa kumzuia Lissu ikiamini ni kweli Lissu ni hatari kwa Taifa hili kumbe ni mbinu za Bwana Mwenyekiti katika kujipatia chochote toka CCM.

Vita ya team Mbowe ni kuhakikisha Lissu hagombei Urais kwa CHADEMA mwaka 2025 ili Bwana Mwenyekiti Mbowe agombee na aingie kwenye nusu mkate jambo ambalo litaiacha CHADEMA ikiwa vipande vipande.

|Lissu karibu CCM Upumzike huko CHADEMA unapambana na adui unayeishi nae CCM sio adui yako yaliyopita yamepita njoo tujenge Taifa letu |
Duuuh
 
Mnataka mumpe pumziko Kama la Makonda sio ?
 
vile vikazi vidogo alivyo ahidiwa safari hii atavikubali?
 
Mbowe na genge lake wanamtumia Lissu kama ndoano ya kuvutia pesa CCM

Kwa hali ilivyo,

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe amekuwa akitumia gia ya kuwatisha Viongozi wa CCM kuwa endapo Lissu atakuwa mwenyekiti wa CHADEMA basi mambo kwenye Taifa hili hayatakuwa sawa

Huenda CCM ikatumia nguvu kubwa kumzuia Lissu ikiamini ni kweli Lissu ni hatari kwa Taifa hili kumbe ni mbinu za Bwana Mwenyekiti katika kujipatia chochote toka CCM.
Vita ya team Mbowe ni kuhakikisha Lissu hagombei Urais kwa CHADEMA mwaka 2025 ili Bwana Mwenyekiti Mbowe agombee na aingie kwenye nusu mkate jambo ambalo litaiacha CHADEMA ikiwa vipande vipande.

|Lissu karibu CCM Upumzike huko CHADEMA unapambana na adui unayeishi nae CCM sio adui yako yaliyopita yamepita njoo tujenge Taifa letu |
Kwa bandiko lako hili unamaanisha viongozi wako wa CCM na Serikali ni wapumbavu kiasi Mbowe anawatekenya kisha wanamwagia mamilioni? Basi CCM ina viongozi wa hovyo kwa kuingizwa mkenge na Mbowekisha wanampa mamilioni ya kodi zetu.
 
Back
Top Bottom