Hii lini ?.Ya kwamba Lissu yuko korokoroni, kwa makosa gani sasa Ya-Rabi?
Lissu si ndiye huyu?
View attachment 2744876
Tutupie video zake kama kumbukumbu za mwana wa nchi hii aliye mzalendo kweli kweli.
Lissu hapaswi kuwa kifungoni bali kuwepo kwenye safu za uongozi kwenye ujenzi wa Taifa letu lililo Bora zaidi.
Leo mida ya saa nne asubuhi kule ngorongoro, ndani ya karatu hotelHii lini ?.
MsemakweliYa kwamba Lissu yuko korokoroni, kwa makosa gani sasa Ya-Rabi?
Lissu si ndiye huyu?
View attachment 2744876
Tutupie video zake kama kumbukumbu za mwana wa nchi hii aliye mzalendo kweli kweli.
Lissu hapaswi kuwa kifungoni bali kuwepo kwenye safu za uongozi kwenye ujenzi wa Taifa letu lililo Bora zaidi.
Chama kuwa na jengo kila wilaya inasaidia nini na kutokuwa na hayo majengo kila wilaya inakwamisha nini pia??Kuna Wengine wanaishi kwa Machale. Huyu Jamaa anayoyaongea angekuwa anayaishi naona Chadema kingekuwa na Ofisi Kila Wilaya. Kwani Ukipiga Hesabu za Kuirusha Chopa ili kutengeneza Mafuriko ya Washamba wa Chopa. Angeanza kurekebisha Mipigo wanayoipiga huko na Mwenyekiti wake naona ajenda zingine zinatatulika kwa Kushauri kwa adabu.
NB: Tundu Lissu anataka Hifadhi ya Kisiasa nasikia Wanatoaga Mpunga Mrefu na Watoto unasomeshewa bureee ndiyo Mpaka sasa anawadharau waliosoma Shule za Kata.
Notes: Stop Believing in Politician Speach, Suspect it and put ur Believe on there Outcome[emoji736][emoji736]View attachment 2744903
Ofisi CCM wanazo nchi nzima na bado wa Tanzania mna uhaba wa Matundu ya VyooKuna Wengine wanaishi kwa Machale. Huyu Jamaa anayoyaongea angekuwa anayaishi naona Chadema kingekuwa na Ofisi Kila Wilaya. Kwani Ukipiga Hesabu za Kuirusha Chopa ili kutengeneza Mafuriko ya Washamba wa Chopa. Angeanza kurekebisha Mipigo wanayoipiga huko na Mwenyekiti wake naona ajenda zingine zinatatulika kwa Kushauri kwa adabu.
NB: Tundu Lissu anataka Hifadhi ya Kisiasa nasikia Wanatoaga Mpunga Mrefu na Watoto unasomeshewa bureee ndiyo Mpaka sasa anawadharau waliosoma Shule za Kata.
Notes: Stop Believing in Politician Speach, Suspect it and put ur Believe on there Outcome[emoji736][emoji736]View attachment 2744903
Kiukwel kbs wanaomchukia LISSU wanasabab zao binafsi lkn sio kuhusu kulipambania Taifa!!Ya kwamba Lissu yuko korokoroni, kwa makosa gani sasa Ya-Rabi?
Lissu si ndiye huyu?
View attachment 2744876
Tutupie video zake kama kumbukumbu za mwana wa nchi hii aliye mzalendo kweli kweli.
Lissu hapaswi kuwa kifungoni bali kuwepo kwenye safu za uongozi kwenye ujenzi wa Taifa letu lililo Bora zaidi.
Kuna Wengine wanaishi kwa Machale. Huyu Jamaa anayoyaongea angekuwa anayaishi naona Chadema kingekuwa na Ofisi Kila Wilaya. Kwani Ukipiga Hesabu za Kuirusha Chopa ili kutengeneza Mafuriko ya Washamba wa Chopa. Angeanza kurekebisha Mipigo wanayoipiga huko na Mwenyekiti wake naona ajenda zingine zinatatulika kwa Kushauri kwa adabu.
NB: Tundu Lissu anataka Hifadhi ya Kisiasa nasikia Wanatoaga Mpunga Mrefu na Watoto unasomeshewa bureee ndiyo Mpaka sasa anawadharau waliosoma Shule za Kata.
Notes: Stop Believing in Politician Speach, Suspect it and put ur Believe on there Outcome✅✅View attachment 2744903
Hapo awali nilikuwa namuona ni mpiga kelele tu, kumbe nilikuwa brainwashed na viwanda vya uongo vya CCM.Ya kwamba Lissu yuko korokoroni, kwa makosa gani sasa Ya-Rabi?
Lissu si ndiye huyu?
View attachment 2744876
Tutupie video zake kama kumbukumbu za mwana wa nchi hii aliye mzalendo kweli kweli.
Lissu hapaswi kuwa kifungoni bali kuwepo kwenye safu za uongozi kwenye ujenzi wa Taifa letu lililo Bora zaidi.
Lissu hapaswi kuwa kifungoni bali kuwepo kwenye safu za uongozi kwenye ujenzi wa Taifa letu lililo Bora zaidi.Ya kwamba Lissu yuko korokoroni, kwa makosa gani sasa Ya-Rabi?
Lissu si ndiye huyu?
View attachment 2744876
Tutupie video zake kama kumbukumbu za mwana wa nchi hii aliye mzalendo kweli kweli.
Lissu hapaswi kuwa kifungoni bali kuwepo kwenye safu za uongozi kwenye ujenzi wa Taifa letu lililo Bora zaidi.
Hata sioni kesi yoyote ya maana atakayofunguliwa Lissu, naona polisi ndio wanatakiwa kufunguliwa kesi kwa kumzuia Lissu kwenda kufanya mkutano Ngorongoro kinyume cha sheria za nchi.
Ngoja wamfungulie kesi uchwara awaambie walmzuia kwenda kufanya utalii wa ndani kama wanavyosisitiza kila mara Wa Tanzania wafanye utalii wa ndani ili kuongeza pato la Taifa wanajisahaulisha sana hawa viumbe bora wangemuacha tu Mjuba
Labda tunu kwenye kizazi chakoHapo awali nilikuwa namuona ni mpiga kelele tu, kumbe nilikuwa brainwashed na viwanda vya uongo vya CCM.
Lissu ni tunu kwa kizazi hiki na vijavyo
Amezidi kukaidi mamlaka
Chama chetu kina ofisi kila mahali ??? Msikiseme cha upinzani tuuChama kuwa na jengo kila wilaya inasaidia nini na kutokuwa na hayo majengo kila wilaya inakwamisha nini pia??
Una uwezo wa kuteremka mpaka wapi?Kuna Wengine wanaishi kwa Machale. Huyu Jamaa anayoyaongea angekuwa anayaishi naona Chadema kingekuwa na Ofisi Kila Wilaya. Kwani Ukipiga Hesabu za Kuirusha Chopa ili kutengeneza Mafuriko ya Washamba wa Chopa. Angeanza kurekebisha Mipigo wanayoipiga huko na Mwenyekiti wake naona ajenda zingine zinatatulika kwa Kushauri kwa adabu.
NB: Tundu Lissu anataka Hifadhi ya Kisiasa nasikia Wanatoaga Mpunga Mrefu na Watoto unasomeshewa bureee ndiyo Mpaka sasa anawadharau waliosoma Shule za Kata.
Notes: Stop Believing in Politician Speach, Suspect it and put ur Believe on there Outcome✅✅View attachment 2744903