Kuna Wengine wanaishi kwa Machale. Huyu Jamaa anayoyaongea angekuwa anayaishi naona Chadema kingekuwa na Ofisi Kila Wilaya. Kwani Ukipiga Hesabu za Kuirusha Chopa ili kutengeneza Mafuriko ya Washamba wa Chopa. Angeanza kurekebisha Mipigo wanayoipiga huko na Mwenyekiti wake naona ajenda zingine zinatatulika kwa Kushauri kwa adabu.
NB: Tundu Lissu anataka Hifadhi ya Kisiasa nasikia Wanatoaga Mpunga Mrefu na Watoto unasomeshewa bureee ndiyo Mpaka sasa anawadharau waliosoma Shule za Kata.
Notes: Stop Believing in Politician Speach, Suspect it and put ur Believe on there Outcome✅✅
View attachment 2744903