Kuna siku nilienda pawaga Jimbo la isimani iringa nikamkuta mmasai mmoja amefua condom kaianika kwaajili ya matumizi TenaHivi Zitto huwa hachoki kutumika?
Anadhani watanzania ni wajinga, akiongezea na ule msemo wa kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu basi ndio anajiamulia atakavyo kwa maslahi yake, hajui anazidi kujichimbia kaburi la kutoaminika.Hivi Zitto huwa hachoki kutumika?
Tumbocracy (neno jipya kutoka kwa member wa jf, Id yake nimeisahau)Hivi Zitto huwa hachoki kutumika?
Kwa Akili yako ndogo ulitaka awe Upande ganiKwani Tundu Lisu yuko upande gani?
Zzk ni KIBARAKAZZK ana kazi maalum katika kuisaidia serikali ya CCM,sidhani kama ni npinzani wa kweli,huwa namuona kama mtumikaji tu.
Aliopo!Kwa Akili yako ndogo ulitaka awe Upande gani
Zitto anasema ni kikosi cha TCD, Samia anasema ni kikosi chake amekipa ajira.Mapaka🐒🐒🐒
View attachment 2163207
Ni kwamba TCD ulikuwa ni mpango wa serikali kuvi contain vyama vilivyoonekana kuwa na nguvu nchini.Zitto anasema ni kikosi cha TCD, Samia anasema ni kikosi chake amekipa ajira. Tangu lini wameanza kugombea vikosi? 🤣🤣🤣
Imenilazimu nitoke Kihesa kuja Mwangata nilogin JF ili nicheke vizuri hii post🤣Kuna siku nilienda pawaga Jimbo la isimani iringa nikamkuta mmasai mmoja amefua condom kaianika kwaajili ya matumizi Tena