Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinywe gongo leo kanunue.Sina peni, wala kijitabu cha kuandikia hayo.
Kwa kuwa una smartphone download app kama EVERNOTE Kila siku fanya ku_create page mpya.Sina peni, wala kijitabu cha kuandikia hayo.
STD seven utawajuaSina peni, wala kijitabu cha kuandikia hayo.
Jana sijapata JF, twita what was wrong? Waliifungià?kwa hiyo waliozima mitandao haijawasaidia?
walifunga kupisha hotuba ya LisuJana sijapata JF, twita what was wrong? Waliifungià?
TL the Beloved Coming PresidentView attachment 2064639
Kila Mtanzania: Kila mkulima, kila mfugaji, kila mfanya biashara, kila mfanya kazi, kila machinga, kila kiongozi wa dini, kila kiongozi wa siasa, kesho ratehe 1/1/2022, aanze kuandika ukurasa wa kwanza kwenye kitabu chenye kurasa 365!
The speech was very comprehensive and compulsoryView attachment 2064639
Kila Mtanzania: Kila mkulima, kila mfugaji, kila mfanya biashara, kila mfanya kazi, kila machinga, kila kiongozi wa dini, kila kiongozi wa siasa, kesho ratehe 1/1/2022, aanze kuandika ukurasa wa kwanza kwenye kitabu chenye kurasa 365!
Sasa walipozima mitandao walitarajia Hotuba Ya Rais Samia itatufikia vipi?kwa hiyo waliozima mitandao haijawasaidia?
Wamefeli [emoji817]%kwa hiyo waliozima mitandao haijawasaidia?
Hakika !TL the Beloved Coming President
Kama wewe ulivyo feki kufikiriKama sio mshabiki na mfuata mkumbo utaona hii mnayoita hotuba ni ya kichochezi na inahitaji kupuuzwa.
Anatafuta uungwaji mkono na watu waliovunja sheria za nchi ili nini, huyujamaa nimtu hatarisana kwenye hili taifa.
Yani nikama amewahutubia wahalifu na walewanao tuhumu serikali.
Walio chomewa nyavu:
Hao wengi wao walikuwa ni wavuvi haramu ambao walikiuka sheria walizo pangiwa kwa kuvua samaki wadogo n.k
Wafugaji:
Hao pia wanasheria zinazo waongoza kuchunga katika maeneo ambayo hayawezi kusababisha usumbufu kwa wanyama pori ama kwa wakulima, na sijamsikia kuwataja wakulima ambao mazaoyao yaliharibiwa na wafugaji.
Wamachinga:
Vitambulisho feki sijui anaongelea kitugani,wenyewe walikuwa wanafanya biashara kwa uhuru na hichohicho anachoita kitambulisho feki.
Hao wanao lalamika kuonewa kama akina mwingira nituhumatu ambazo wahusika wangetakiwa kupeleka taarifa zao sehemu husika ili uchunguzi ufanyike otherwise nikutafuta viishu vya kujazia nyama hotuba feki.
Hotuba hii ni feki na haina kichwa wala miguu.
Just a dreamTL the Beloved Coming President