Pre GE2025 Lissu komaa wewe ndiye mgombea Urais. Anza kufanya kazi ambazo mwenye wajibu na mfariji mkuu hazifanyi kwa kuanza na Muhimbili

Pre GE2025 Lissu komaa wewe ndiye mgombea Urais. Anza kufanya kazi ambazo mwenye wajibu na mfariji mkuu hazifanyi kwa kuanza na Muhimbili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mohamed Abubakar

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2014
Posts
984
Reaction score
1,179
1733811487844.jpeg

Mh. Lissu wewe mwenyewe unaelewa kuwa ukiwa mwenyekiti wa chama inakunyima nafasi ya kuwa mgombea nafasi ya Urais. Wafuasi wengi hawaelewi hilo. Ombi langu kwako, badili upepo wa kisiasa ndani ya chama na nje.

Mkakati uwe ni kufanya mambo ya ustawi zaidi za jamii. Watanzania ni werevu sana na kwa hali ya sasa wamekata tamaa ni uchaguzi.

Tunaweza irejesha hali hiyo nawe ukiwa dereva. Kwa kuwaonyesha watanzania vipaumbele vyako ni mini ukiwa Rais. Kwa maana vipaumbele vyako katika matumizi ya kodi ni kugawa pesa katika mambo ya anasa au zitakwenda kuboresha huduma za kijamii kama Afya.

Pia soma: Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Hivyo ushauri wangu kwako, Badili upepo wa kisiasa.

Tembelea maeneo au taasisi tunazotoa huduma za kijamii na kwa kuanzia Hospitali ya Taifa Muhimbili. Kuwa na taratibu za kuwatembelea wagonjwa. Anza na wodi ya magonjwa ya saratani. Pitia vitanda kadhaa na uwahoji kupatikana wa huduma. Kutaja wa ndugu za wagonjwa. Tembelea idara ya Ustawi wa jamii. Waulize ni wagonjwa gani wanastahili kupata msamaha. Na kwanini hawapati hata baada ya kuhitimiza taratibu.

Kuwa mfariji wa Watanzania, weka program maalum ya kuhamasisha watanzania kuchangia damu. Kuna kundi kubwa litakuelewa na kukufata yakiwemo viongozi wa dini vijana Tanzania nzima. Nakupa ushauri huu kwa kuwa mfariji mkuu si katika vipaumbele vyake.

Onyesha utofauti. Wakati yeye kipaumbele chake ni matumizi ya anasa kwa serikali yake, wewe jikite katika kuhamasisha na kuboreswa huduma za kijamii.

Kuna bibi ambaye pamoja na madaktari kumruhusu arudi nyumbani, lakini waliendelea kuzuiliwa wodini kwa kuwa alikuwa anadaiwa. Fikiria Lissu, senior citizen kama huyu ambaye katika umri wake wote alikuwa ni mlipa kodi katika mfariji mkuu amemzuia na kumdai.

Mh Lissu hawa ndio wanaohitaji faraja kutoka kwako na watanzania watakuunga mkono kama kweli lengo lako ni kubeba dhima ya kuinua ustawi wa jamii.

Shukria.
 
Mh Lissu. Wewe mwenyewe unaelewa kuwa ukiwa mwenyekiti wa chama inakunyima nafasi ya kuwa mgombea nafasi ya Urais.


Wafuasi wengi hawaelewi hilo.

Ombi langu kwako, badili upepo wa kisiasa ndani ya chama na nje.

Mkakati uwe ni kufanya mambo ya ustawi zaidi za jamii.

Watz ni werevu sana na kwa hali ya sasa wamekata tamaa ni uchaguzi.

Tunaweza irejesha hali hiyo. Nawe ukiwa dereva. Kwa kuwaonyesha watz vipaumbele vyako ni mini ukiwa Rais. Kwa maana vipaumbele vyako ktk matumizi ya kodi ni kugawa pesa ktk mambo ya anasa au zitakwenda kuboresha huduma za kijamii kama Afya.


Hivyo ushauri wangu kwako.... Badili upepo wa kisiasa.

Tembelea maeneo au taasisi tunazotoa huduma za kijamii. Na kwa kuanzia Hospitali ya Taifa Muhimbili. Kuwa na taratibu za kuwatembelea wagonjwa. Anza na wodi ya magonjwa ya saratani. Pitia vitanda kadhaa na uwahoji kupatikana wa huduma. Kutaja wa ndugu za wagonjwa. Tembelea idara ya Ustawi wa jamii. Waulize ni wagonjwa gani wanastahili kupata msamaha. Na kwanini hawapati hata baada ya kuhitimiza taratibu.

Kuwa mfariji wa watz, weka program maalum ya kuhamasisha watz kuchangia damu.


Kuna kundi kubwa litakuelewa na kukufata. Yakiwemo viongozi wa dini vijana Tanzania nzima.

Nakupa ushauri huu kwa kuwa mfariji mkuu si ktk vipaumbele vyake.

Onyesha utofauti. Wakati yeye kipaumbele chake ni matumizi ya anasa kwa serikali yake, wewe jikite ktk kuhamasisha na kuboreswa huduma za kijamii.

Hii picha ni bibi ambae pamoja na madaktari kumruhusu arudi nyumbani, lkn waliendelea kuzuiliwa wodini kwa kuwa alikuwa anadaiwa.

Fikiria Lissu, senior citizen kama huyu ambae ktk umri wake wote alikuwa ni mlipa kodi. Lkn mfariji mkuu amemzuia na kumdai.

Mh Lissu hawa ndio wanaohitaji faraja kutoka kwako.

Na watz watakuunga mkono kama kweli lengo lako ni kubeba dhima ya kuinua ustawi wa jamii.


Shukria
New job descriptions za makamu mwenyekiti wa CHADEMA.
 
Mh Lissu. Wewe mwenyewe unaelewa kuwa ukiwa mwenyekiti wa chama inakunyima nafasi ya kuwa mgombea nafasi ya Urais.


Wafuasi wengi hawaelewi hilo.

Ombi langu kwako, badili upepo wa kisiasa ndani ya chama na nje.

Mkakati uwe ni kufanya mambo ya ustawi zaidi za jamii.

Watz ni werevu sana na kwa hali ya sasa wamekata tamaa ni uchaguzi.

Tunaweza irejesha hali hiyo. Nawe ukiwa dereva. Kwa kuwaonyesha watz vipaumbele vyako ni mini ukiwa Rais. Kwa maana vipaumbele vyako ktk matumizi ya kodi ni kugawa pesa ktk mambo ya anasa au zitakwenda kuboresha huduma za kijamii kama Afya.


Hivyo ushauri wangu kwako.... Badili upepo wa kisiasa.

Tembelea maeneo au taasisi tunazotoa huduma za kijamii. Na kwa kuanzia Hospitali ya Taifa Muhimbili. Kuwa na taratibu za kuwatembelea wagonjwa. Anza na wodi ya magonjwa ya saratani. Pitia vitanda kadhaa na uwahoji kupatikana wa huduma. Kutaja wa ndugu za wagonjwa. Tembelea idara ya Ustawi wa jamii. Waulize ni wagonjwa gani wanastahili kupata msamaha. Na kwanini hawapati hata baada ya kuhitimiza taratibu.

Kuwa mfariji wa watz, weka program maalum ya kuhamasisha watz kuchangia damu.


Kuna kundi kubwa litakuelewa na kukufata. Yakiwemo viongozi wa dini vijana Tanzania nzima.

Nakupa ushauri huu kwa kuwa mfariji mkuu si ktk vipaumbele vyake.

Onyesha utofauti. Wakati yeye kipaumbele chake ni matumizi ya anasa kwa serikali yake, wewe jikite ktk kuhamasisha na kuboreswa huduma za kijamii.

Hii picha ni bibi ambae pamoja na madaktari kumruhusu arudi nyumbani, lkn waliendelea kuzuiliwa wodini kwa kuwa alikuwa anadaiwa.

Fikiria Lissu, senior citizen kama huyu ambae ktk umri wake wote alikuwa ni mlipa kodi. Lkn mfariji mkuu amemzuia na kumdai.

Mh Lissu hawa ndio wanaohitaji faraja kutoka kwako.

Na watz watakuunga mkono kama kweli lengo lako ni kubeba dhima ya kuinua ustawi wa jamii.


Shukria
Tatizo ni moja tu.
Ndani na nje ya chama chake wana mashaka na kiwango cha utii na nidhamu kwa chama na viongozi wake wakuu, lakini pia na uzalendo wake kwa Taifa unatia shaka. Ana sura ya kuivuruga tu Chadema huku akiwa amejiandaa vizur sana kwenda kuishi ng'ambo...

Ni wazi wanachadema wanamuona huyo muungwana, kama kibaraka wa wa kimkakati wa mabwenyenye wa magharibi, na anaweza kuharibu kabisaa taswira ya Chadema kwenye kuaminika tena kwa wanachi kwenye siasa za Tanzania, endapo atapewa nafasi.

Niwahakukishie wanaChadema popote mlipo kwamba,
kwa sababu hizo hapo juu, huyo muungwana hawezi kamwe kua makamu mwenyekiti Chadema taifa, na kamwe abadani hawezi kuwahi kua mwenyekiti taifa wa Chadema na wala mgombea urasi kupitia Chadema2025.

Take it from me 🐒
 
Mh Lissu. Wewe mwenyewe unaelewa kuwa ukiwa mwenyekiti wa chama inakunyima nafasi ya kuwa mgombea nafasi ya Urais.


Wafuasi wengi hawaelewi hilo.

Ombi langu kwako, badili upepo wa kisiasa ndani ya chama na nje.

Mkakati uwe ni kufanya mambo ya ustawi zaidi za jamii.

Watz ni werevu sana na kwa hali ya sasa wamekata tamaa ni uchaguzi.

Tunaweza irejesha hali hiyo. Nawe ukiwa dereva. Kwa kuwaonyesha watz vipaumbele vyako ni mini ukiwa Rais. Kwa maana vipaumbele vyako ktk matumizi ya kodi ni kugawa pesa ktk mambo ya anasa au zitakwenda kuboresha huduma za kijamii kama Afya.


Hivyo ushauri wangu kwako.... Badili upepo wa kisiasa.

Tembelea maeneo au taasisi tunazotoa huduma za kijamii. Na kwa kuanzia Hospitali ya Taifa Muhimbili. Kuwa na taratibu za kuwatembelea wagonjwa. Anza na wodi ya magonjwa ya saratani. Pitia vitanda kadhaa na uwahoji kupatikana wa huduma. Kutaja wa ndugu za wagonjwa. Tembelea idara ya Ustawi wa jamii. Waulize ni wagonjwa gani wanastahili kupata msamaha. Na kwanini hawapati hata baada ya kuhitimiza taratibu.

Kuwa mfariji wa watz, weka program maalum ya kuhamasisha watz kuchangia damu.


Kuna kundi kubwa litakuelewa na kukufata. Yakiwemo viongozi wa dini vijana Tanzania nzima.

Nakupa ushauri huu kwa kuwa mfariji mkuu si ktk vipaumbele vyake.

Onyesha utofauti. Wakati yeye kipaumbele chake ni matumizi ya anasa kwa serikali yake, wewe jikite ktk kuhamasisha na kuboreswa huduma za kijamii.

Hii picha ni bibi ambae pamoja na madaktari kumruhusu arudi nyumbani, lkn waliendelea kuzuiliwa wodini kwa kuwa alikuwa anadaiwa.

Fikiria Lissu, senior citizen kama huyu ambae ktk umri wake wote alikuwa ni mlipa kodi. Lkn mfariji mkuu amemzuia na kumdai.

Mh Lissu hawa ndio wanaohitaji faraja kutoka kwako.

Na watz watakuunga mkono kama kweli lengo lako ni kubeba dhima ya kuinua ustawi wa jamii.


Shukria
Yeye mwenyewe kutwa kuchangiwa na walala hoi wasiojua watakula nini anunue gari la mil 800 hana tofauti na wachungaji wenye kukamua waumini wao ili waishi maisha ya kifahari!
 
Yeye mwenyewe kutwa kuchangiwa na walala hoi wasiojua watakula nini anunue gari la mil 800 hana tofauti na wachungaji wenye kukamua waumini wao ili waishi maisha ya kifahari!
Pamoja na mapungufu yake lkn kwasasa Lissu ndie mwenye kukubalika zaidi ya wengine.


Kwani alishajitambulisha miaka 5 iliyopita.

Na anajua kuongea kwa namna ambayo makundi yote ya jamii yanashawishika.

Lissu anasikikiza, anachuja na anapenda changamoto, anapenda maswali na hoja ngumu kuzitafutua ufumbuzi.
 
Back
Top Bottom