Tetesi: Lissu kufukuzwa CHADEMA

Tetesi: Lissu kufukuzwa CHADEMA

Joseph Ludovick

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
364
Reaction score
468
Tundu Lissu amekuwa akihusishwa na matukio na matamshi ambayo yamezua mjadala ndani ya CHADEMA.

Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025, jambo ambalo limeleta mgawanyiko na mjadala kuhusu uongozi ndani ya chama.

Pia, alitaka chama kimjibu Mchungaji Peter Msigwa, hatua ambayo ilionyesha kuna mvutano wa ndani kuhusu mwelekeo wa kisiasa na ushawishi wa Lissu.

Hatua yake kulalamika hadharani kwenye mkutano kuwa kuna fedha chafi za uchaguzi ndani ya CHADEMA.

Kulalama hadharani kuwa msafara wake haupewi magari wala wasaidizi wala posho.

Kupokea fedha toka CCM. Matukio haya yamezua shaka kuhusu umoja na uongozi ndani ya CHADEMA na wengine wanasema anajiandalia mazingira ya kujiondoa ama kuondolewa CHADEMA.

Zipo taarifa za ndani kabisa kuwa tayari yuko njiani kujiunga CCM.

Marafiki zake wengi kama Msigwa na leo Albanie Marcosy wameishatangulia.

Anakaribishwa.
 
Tundu Lissu amekuwa akihusishwa na matukio na matamshi ambayo yamezua mjadala ndani ya CHADEMA.

Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025, jambo ambalo limeleta mgawanyiko na mjadala kuhusu uongozi ndani ya chama.

Pia, alitaka chama kimjibu Mchungaji Peter Msigwa, hatua ambayo ilionyesha kuna mvutano wa ndani kuhusu mwelekeo wa kisiasa na ushawishi wa Lissu.

Hatua yake kulalamika hadharani kwenye mkutano kuwa kuna fedha chafi za uchaguzi ndani ya CHADEMA.

Kulalama hadharani kuwa msafara wake haupewi magari wala wasaidizi wala posho.

Kupokea fedha toka CCM. Matukio haya yamezua shaka kuhusu umoja na uongozi ndani ya CHADEMA na wengine wanasema anajiandalia mazingira ya kujiondoa ama kuondolewa CHADEMA.

Zipo taarifa za ndani kabisa kuwa tayari yuko njiani kujiunga CCM.

Marafiki zake wengi kama Msigwa na leo Albanie Marcosy wameishatangulia.

Anakaribishwa.
[emoji2956][emoji2956][emoji1787]
 
Tundu Lissu amekuwa akihusishwa na matukio na matamshi ambayo yamezua mjadala ndani ya CHADEMA.

Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025, jambo ambalo limeleta mgawanyiko na mjadala kuhusu uongozi ndani ya chama.

Pia, alitaka chama kimjibu Mchungaji Peter Msigwa, hatua ambayo ilionyesha kuna mvutano wa ndani kuhusu mwelekeo wa kisiasa na ushawishi wa Lissu.

Hatua yake kulalamika hadharani kwenye mkutano kuwa kuna fedha chafi za uchaguzi ndani ya CHADEMA.

Kulalama hadharani kuwa msafara wake haupewi magari wala wasaidizi wala posho.

Kupokea fedha toka CCM. Matukio haya yamezua shaka kuhusu umoja na uongozi ndani ya CHADEMA na wengine wanasema anajiandalia mazingira ya kujiondoa ama kuondolewa CHADEMA.

Zipo taarifa za ndani kabisa kuwa tayari yuko njiani kujiunga CCM.

Marafiki zake wengi kama Msigwa na leo Albanie Marcosy wameishatangulia.

Anakaribishwa.
Ana point lakin chaka hakito mfukuza
 
Tundu Lissu amekuwa akihusishwa na matukio na matamshi ambayo yamezua mjadala ndani ya CHADEMA.

Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025, jambo ambalo limeleta mgawanyiko na mjadala kuhusu uongozi ndani ya chama.

Pia, alitaka chama kimjibu Mchungaji Peter Msigwa, hatua ambayo ilionyesha kuna mvutano wa ndani kuhusu mwelekeo wa kisiasa na ushawishi wa Lissu.

Hatua yake kulalamika hadharani kwenye mkutano kuwa kuna fedha chafi za uchaguzi ndani ya CHADEMA.

Kulalama hadharani kuwa msafara wake haupewi magari wala wasaidizi wala posho.

Kupokea fedha toka CCM. Matukio haya yamezua shaka kuhusu umoja na uongozi ndani ya CHADEMA na wengine wanasema anajiandalia mazingira ya kujiondoa ama kuondolewa CHADEMA.

Zipo taarifa za ndani kabisa kuwa tayari yuko njiani kujiunga CCM.

Marafiki zake wengi kama Msigwa na leo Albanie Marcosy wameishatangulia.

Anakaribishwa.
Kama hizo ndizo sababu basi wamfukuze...
Huyu ndiye shujaa wa kweli
 
Tundu Lissu amekuwa akihusishwa na matukio na matamshi ambayo yamezua mjadala ndani ya CHADEMA.

Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025, jambo ambalo limeleta mgawanyiko na mjadala kuhusu uongozi ndani ya chama.

Pia, alitaka chama kimjibu Mchungaji Peter Msigwa, hatua ambayo ilionyesha kuna mvutano wa ndani kuhusu mwelekeo wa kisiasa na ushawishi wa Lissu.

Hatua yake kulalamika hadharani kwenye mkutano kuwa kuna fedha chafi za uchaguzi ndani ya CHADEMA.

Kulalama hadharani kuwa msafara wake haupewi magari wala wasaidizi wala posho.

Kupokea fedha toka CCM. Matukio haya yamezua shaka kuhusu umoja na uongozi ndani ya CHADEMA na wengine wanasema anajiandalia mazingira ya kujiondoa ama kuondolewa CHADEMA.

Zipo taarifa za ndani kabisa kuwa tayari yuko njiani kujiunga CCM.

Marafiki zake wengi kama Msigwa na leo Albanie Marcosy wameishatangulia.

Anakaribishwa.
Sasa watu wakuamini wewe, au wamwamini yeye, Tundu Lissu. Mbona yote haya kisha yatolea ufafanuzi, tena vizuri kabisa; wewe ulikuwa umejificha wapi kwamba hadi leo unangoja tu mvurugano huko CHADEMA?
Wakivurugana, wewe unafaidika na kitu gani hasa!
 
Ludo ulichomfanyia Lwakatare hatujasahau, Mamluki duni sana wewe jamaa.

Nakuhakikishia kwamba tunaanza rasmi kufukua uchafu wako wote, hao wajinga wanaokushabikia hawakujui, umechokoza nyuki
Yaani CCM imejaa uchafu wa kila aina.
Chama kimekuwa kama mzoga unao oza,; unakaribisha kila aina ya wala mizoga. Watu wabovu kabisa katika jamii sasa ndio wanao kimbilia CCM kwenda kufaidi mzoga!

Huyo hapo sasa anazongea uteuzi kuwa DC au hivi vyeo vya kijinga jinga wanavyo peana huko.
 
Lissu ananishangaza kila akihojiwa anachomekea mambo ya hela aulizwe katibu mkuu, kila mara jumba bovu anadondoshewa katibu mkuu.

Kuna cha ziada ambacho hatujui.
 
Tundu Lissu amekuwa akihusishwa na matukio na matamshi ambayo yamezua mjadala ndani ya CHADEMA.

Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025, jambo ambalo limeleta mgawanyiko na mjadala kuhusu uongozi ndani ya chama.

Pia, alitaka chama kimjibu Mchungaji Peter Msigwa, hatua ambayo ilionyesha kuna mvutano wa ndani kuhusu mwelekeo wa kisiasa na ushawishi wa Lissu.

Hatua yake kulalamika hadharani kwenye mkutano kuwa kuna fedha chafi za uchaguzi ndani ya CHADEMA.

Kulalama hadharani kuwa msafara wake haupewi magari wala wasaidizi wala posho.

Kupokea fedha toka CCM. Matukio haya yamezua shaka kuhusu umoja na uongozi ndani ya CHADEMA na wengine wanasema anajiandalia mazingira ya kujiondoa ama kuondolewa CHADEMA.

Zipo taarifa za ndani kabisa kuwa tayari yuko njiani kujiunga CCM.

Marafiki zake wengi kama Msigwa na leo Albanie Marcosy wameishatangulia.

Anakaribishwa.
"Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025"! Haya aliyasema wapi? Na lini! Pia, hizo fomu kazikusanya toka CCM au kwa Msajili wa Vyama vya Siasa? Nijuavyo vyama vya siasa ukifika wakati hutoa fomu moja kwa kila anayetaka kugombea, sasa hilo lundo la fomu alizokusanya ni kwa akina nani! Hebu jaribu kutunga upya ili taarifa yako angalau isogelee ukweli.
 
Lissu ananishangaza kila akihojiwa anachomekea mambo ya hela aulizwe katibu mkuu, kila mara jumba bovu anadondoshewa katibu mkuu.

Kuna cha ziada ambacho hatujui.
Lissu amesema majibu ya masuala ya hela yanahitahija kujibiwa kikamilifu tena kwa nyaraka na vithibitisho ili kukisafisha Chama na tuhuma hizo na nyaraka hizo ziko kwa Katibu mkuu sasa nini ambacho huelewi hapo? Lissu anataka chama kisafishwe kwa kutoa majibu yanayojitosheleza.
 
Tundu Lissu amekuwa akihusishwa na matukio na matamshi ambayo yamezua mjadala ndani ya CHADEMA.

Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025, jambo ambalo limeleta mgawanyiko na mjadala kuhusu uongozi ndani ya chama.

Pia, alitaka chama kimjibu Mchungaji Peter Msigwa, hatua ambayo ilionyesha kuna mvutano wa ndani kuhusu mwelekeo wa kisiasa na ushawishi wa Lissu.

Hatua yake kulalamika hadharani kwenye mkutano kuwa kuna fedha chafi za uchaguzi ndani ya CHADEMA.

Kulalama hadharani kuwa msafara wake haupewi magari wala wasaidizi wala posho.

Kupokea fedha toka CCM. Matukio haya yamezua shaka kuhusu umoja na uongozi ndani ya CHADEMA na wengine wanasema anajiandalia mazingira ya kujiondoa ama kuondolewa CHADEMA.

Zipo taarifa za ndani kabisa kuwa tayari yuko njiani kujiunga CCM.

Marafiki zake wengi kama Msigwa na leo Albanie Marcosy wameishatangulia.

Anakaribishwa.
BIla shaka uwezo wa kichwa chako kutunza kumbukumbu ni mdogo kupindukia. Au yawezekana pia unatengeneza majungu kwa kutumia akili ndogo ukiamini kuna wenye akili ndogo pia, wanaoweza kuamini habari za kipuuzi kabisa kama hizi unazozitengeneza. Eti, kuna habari za ndani kabisa, za ndani wapi? Chumbani kwako?

"Kuna watu wanasema kuwa nataka kuondoka CHADEMA niende CCM. Wanaosema na kufikiria hivyo, nawaambia kuwa mimi nina akili timamu, siwezi kwenda CCM" - TUNDU LISU. Umeelewa maana ya kauli hiyo ya Lisu?
 
Back
Top Bottom