Tetesi: Lissu kufukuzwa CHADEMA

Tetesi: Lissu kufukuzwa CHADEMA

Mtoa hoja ulishamuuliza Abduli hilo fuko la hela alilotaka kumpa Lissu alilitoa wapi?
 
Tundu Lissu amekuwa akihusishwa na matukio na matamshi ambayo yamezua mjadala ndani ya CHADEMA.

Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025, jambo ambalo limeleta mgawanyiko na mjadala kuhusu uongozi ndani ya chama.

Pia, alitaka chama kimjibu Mchungaji Peter Msigwa, hatua ambayo ilionyesha kuna mvutano wa ndani kuhusu mwelekeo wa kisiasa na ushawishi wa Lissu.

Hatua yake kulalamika hadharani kwenye mkutano kuwa kuna fedha chafi za uchaguzi ndani ya CHADEMA.

Kulalama hadharani kuwa msafara wake haupewi magari wala wasaidizi wala posho.

Kupokea fedha toka CCM. Matukio haya yamezua shaka kuhusu umoja na uongozi ndani ya CHADEMA na wengine wanasema anajiandalia mazingira ya kujiondoa ama kuondolewa CHADEMA.

Zipo taarifa za ndani kabisa kuwa tayari yuko njiani kujiunga CCM.

Marafiki zake wengi kama Msigwa na leo Albanie Marcosy wameishatangulia.

Anakaribishwa.
Ccm Wana sera na itikadi inayoeleweka??

Au mnadhani mtu mwenye akili anahamia tu.

Bado watz wengi ni wajinga including aliyeandika huu upuuzi
 
Lissu ananishangaza kila akihojiwa anachomekea mambo ya hela aulizwe katibu mkuu, kila mara jumba bovu anadondoshewa katibu mkuu.

Kuna cha ziada ambacho hatujui.
Mnakuwa vichwa ngumu kuelewa. Hoja za fedha zipo kwenye nyaraka ambazo wasemaji wake ni Mwenyekiti na Katibu. Ila aliuliza, kama kuna matumizi mabaya ya fedha, mbona kila mwaka wana hati safi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali?
 
Ndani ya CHADEMA hakuna mwenye Ubavu wa Kumgusa Lissu !

Madhara yake yatakuwa makubwa sana zaidi hata ya kuondoka kwa Slaa

Japo najua hizi ni porojo umeleta, Ila suala la msingi
Lissu Ana Hoja nzuri tu, Zijibiwe!

CCM na SERIKALI inakesha kwa mawazo kisa Lissu , sembuse CHADEMA ambayo hata Msigwa anaitetemesha?


Britanicca
 
Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025, jambo ambalo limeleta mgawanyiko na mjadala kuhusu uongozi ndani ya chama.
Hivi hapa umeandika kitu gani eti......?

Amekusanya fomu za Urais!!??

Hizo fomu za u Rais alizozikusanya ni za watu gani na kwenda wapi halafu ili iweje?

Au Tundu Lissu ndiye mpokea fomu za wagombea Urais huko Tume ya uchaguzi siku hizi? Na kalisema hili lini na wapi...?

Rafiki tafuta namna njema ya kuandika uongo. Huu ni uchuro na utoto uliopitiliza.....

Jifunze kwa chawa wenzio kina Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah ChoiceVariable Huihui2 Samiaagain2025 ambao kidogo hupangilia uongo wao kwa kutumia akili za kishetani na kuzimu kidogo.....

Lakini wewe, kwa hii statement iliyokosa logic inakupa sifa ya ujinga na upumbavu moja kwa moja kama tu ambavyo kila ulichoandika hapa ni utumbo mtupu usiosafishwa kwa maji safi.....!
 
Hivi hapa umeandika kitu gani eti......?

Amekusanya fomu za Urais!!??

Hizo fomu za u Rais alizozikusanya ni za watu gani na kwenda wapi halafu ili iweje?

Au Tundu Lissu ndiye mpokea fomu za wagombea Urais huko Tume ya uchaguzi siku hizi? Na kalisema hili lini na wapi...?

Rafiki tafuta namna njema ya kuandika uongo. Huu ni uchuro na utoto uliopitiliza.....

Jifunze kwa chawa wenzio kina Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah ChoiceVariable Huihui2 Samiaagain2025 ambao kidogo hupangilia uongo wao kwa kutumia akili za kishetani na kuzimu kidogo.....

Lakini wewe, kwa hii statement iliyokosa logic inakupa sifa ya ujinga na upumbavu moja kwa moja kama tu ambavyo kila ulichoandika hapa ni utumbo mtupu usiosafishwa kwa maji safi.....!
You are wrong on me The Palm Beach japo umetumia uhuru wako wa kikatiba kuniita chawa. Mimi siyo chawa wa anybody, I just stand on my convictions only.
 
Hivi hapa umeandika kitu gani eti......?

Amekusanya fomu za Urais!!??

Hizo fomu za u Rais alizozikusanya ni za watu gani na kwenda wapi halafu ili iweje?

Au Tundu Lissu ndiye mpokea fomu za wagombea Urais huko Tume ya uchaguzi siku hizi? Na kalisema hili lini na wapi...?

Rafiki tafuta namna njema ya kuandika uongo. Huu ni uchuro na utoto uliopitiliza.....

Jifunze kwa chawa wenzio kina Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah ChoiceVariable Huihui2 Samiaagain2025 ambao kidogo hupangilia uongo wao kwa kutumia akili za kishetani na kuzimu kidogo.....

Lakini wewe, kwa hii statement iliyokosa logic inakupa sifa ya ujinga na upumbavu moja kwa moja kama tu ambavyo kila ulichoandika hapa ni utumbo mtupu usiosafishwa kwa maji safi.....!
Chawa ndio nini wewe nyumbu
 
Hivi hapa umeandika kitu gani eti......?

Amekusanya fomu za Urais!!??

Hizo fomu za u Rais alizozikusanya ni za watu gani na kwenda wapi halafu ili iweje?

Au Tundu Lissu ndiye mpokea fomu za wagombea Urais huko Tume ya uchaguzi siku hizi? Na kalisema hili lini na wapi...?

Rafiki tafuta namna njema ya kuandika uongo. Huu ni uchuro na utoto uliopitiliza.....

Jifunze kwa chawa wenzio kina Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah ChoiceVariable Huihui2 Samiaagain2025 ambao kidogo hupangilia uongo wao kwa kutumia akili za kishetani na kuzimu kidogo.....

Lakini wewe, kwa hii statement iliyokosa logic inakupa sifa ya ujinga na upumbavu moja kwa moja kama tu ambavyo kila ulichoandika hapa ni utumbo mtupu usiosafishwa kwa maji safi.....!
kua na heshima kidogo gentleman,
na uache upotoshaji na ushirikina ambao ni utumwa wa kujifedhehesha sana angali ya kua umesoma mpaka vyuo vikuu, sasa sijui umesoma ili uwe mshirikina na mpotoshaji namna hii. hii si sawa,

unataja tajataja majina tu kwa mistari isiyo na vina, badala ya kujikita kwenye tetesi muhimu sana kisiasa aliyoibua muungwana... Joseph Ludovick ?

binafsi siwezi kusema uongo hata siku mojo,
ati nidanganye familia hii kubwa, muhimu sanaJF, na yenye heshima na maana ya kipekee mno kwangu..
ili iweje kwanza hata niseme uongo?
au ni kwasababu ya kulemewa na umuhimu au uzito wa hoja tunazoshirikisha familia hii ndio unaonaga ni uongo?

mimi ni mtumishi mwaminifu nyonge, muadilifu, mwamimufu, mchapa kazi hodari asiechoka, wala kukata tamaa, daima nasema kweli tupu, kwasababu ni wajibu muhimu sana kwangu mwenyewe, kwa wananchi wangu na taifa langu kwa ujumla...

uongo na uzushi ni chukizo kwa Mungu. uongo ni uhalifu unaoweza kusababisha taharuki na kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi maeneo mbalimbali usipokemewa mapema....

ni jambo la maana zaidi kujadiliana kiungwana na staha kwa hoja, na kuepuka kushambulia utu wa mwingine kwa fedheha na dhihaka kwakua tu mmetofautiana mawazo, au kwakua umefikia kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya na fikra mbadala...

ni muhimu sana kupumzika ukihisi umefikia hatua hiyo, sawa gentleman? The Palm Beach :pulpTRAVOLTA:
 
Ac
Tundu Lissu amekuwa akihusishwa na matukio na matamshi ambayo yamezua mjadala ndani ya CHADEMA.

Miongoni mwao ni kauli yake kwamba tayari amekusanya fomu za urais kwa uchaguzi wa 2025, jambo ambalo limeleta mgawanyiko na mjadala kuhusu uongozi ndani ya chama.

Pia, alitaka chama kimjibu Mchungaji Peter Msigwa, hatua ambayo ilionyesha kuna mvutano wa ndani kuhusu mwelekeo wa kisiasa na ushawishi wa Lissu.

Hatua yake kulalamika hadharani kwenye mkutano kuwa kuna fedha chafi za uchaguzi ndani ya CHADEMA.

Kulalama hadharani kuwa msafara wake haupewi magari wala wasaidizi wala posho.

Kupokea fedha toka CCM. Matukio haya yamezua shaka kuhusu umoja na uongozi ndani ya CHADEMA na wengine wanasema anajiandalia mazingira ya kujiondoa ama kuondolewa CHADEMA.

Zipo taarifa za ndani kabisa kuwa tayari yuko njiani kujiunga CCM.

Marafiki zake wengi kama Msigwa na leo Albanie Marcosy wameishatangulia.

Anakaribishwa.
Acha ramli chonganishi.
 
Lissu kuwa ndani ya CHADEMA ni HAZINA kubwa. Yeye ndo anafaa kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA.
 
Ndani ya CHADEMA hakuna mwenye Ubavu wa Kumgusa Lissu !

Madhara yake yatakuwa makubwa sana zaidi hata ya kuondoka kwa Slaa

Japo najua hizi ni porojo umeleta, Ila suala la msingi
Lissu Ana Hoja nzuri tu, Zijibiwe!

CCM na SERIKALI inakesha kwa mawazo kisa Lissu , sembuse CHADEMA ambayo hata Msigwa anaitetemesha?


Britanicca
Mkuu britanicca vipi Makamu Mwenyekiti wa CCM anaenda kuwa nani?
 
Back
Top Bottom