Tetesi: Lissu kuhama CHADEMA muda wowote kuanzia sasa

acha upotoshaji,
umeme wa sh.elfu2 umeisha chumbani kwako unasema nchi nzima hakuna umeme?πŸ’

kwamba kwa uongo na upotoshaji huo kuna mtu anaweza kukuskiza kweli πŸ’
Tulia we nguruwe
 
Kilichomkosesha huo uteuzi ni kuwa mzaliwa wa maporini wakati alitakiwa mtoto wa mjini.

Hata kama CCM hufanya teuzi za ajabu na mara nyingi huwapa low minds, lakini hakika siyo kwa kiwango cha Mwashambwa. Huyu hiyo elfu kumi kumi kwa siku, anayopewa kwa kupiga kelele humu JF, inamtosha. Kama ni lazima sana, labda utendaji kata au utendaji wa mtaa, maana hao hakuna mwenye muda nao.
 
Mtu mwenye akili awe CCM?
CCM hiihii ambayo ilikuwa ya Magufuli tena akitamka "CCM ya Magufuli" ambayo Bashiru wa kuja alimzidi mamlaka Samuel Malechela?

'CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga'. - TWAWEZA.

Hata hapa JF, tafuta mchangiaji mpambe wa CCM hata mmoja anayeashiria kuwa na akili kubwa kama utampata!!
 
'CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga'. - TWAWEZA.

Hata hapa JF, tafuta mchangiaji mpambe wa CCM hata mmoja anayeashiria kuwa na akili kubwa kama utampata!!
Mfano hai ni huyu kilaza Lucas mwashambwa.
 
Mtabaki manyumbu matupu na mavuta bangi aina ya Mdude ndani ya CHADEMA, ili muendelee kukokotwa kama mahayawani.
Tafuta baba yako kwanza kabla ya kutujazia server kwa mapambio yako humu. Usikute hao unaowakashifu humu mmoja wao ndiye baba yako halisi.
 
Sasa unajisikiaje ukijitekenya mwenyewe?
 
'CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga'. - TWAWEZA.

Hata hapa JF, tafuta mchangiaji mpambe wa CCM hata mmoja anayeashiria kuwa na akili kubwa kama utampata!!
maskini aiseee.....

ndio siasa ilivyo ukikataliwa na wanainchi unakubali tu maana hakuna namna ingine sasa πŸ’
 
Akihama Chadema atakwenda wapi
 
Kijana unajua kufanya propaganda, kazi unaiweza, soon utapata uteuzi kwenye chama chako unachokitumikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…