Unawaza kama mwanafunzi wa kidato cha kwanza Kwa-Mtogole Sekondari...
Tundu ana zaidi ya kile unachokiona wewe na hakichuji hata kama atatembea Tanzania hii yote kwa mwaka mzima...!!!
Huyu jamaa ni "Orator" mzuri na ndicho ambacho kinawavutia watu kutaka kumuona na kumsikiliza. Anajua kuhutubia na kuwakuna watu na kutamani kumuona na anapohutubia, mtu hatamani amalize, hutamani aendelee tu kuzungumza...!!
Hata wakati wa Bunge LIVE, watu waliokuwa wanafuatilia matangazo ya bunge wakati huo, kama ikitokea siku hiyo baadhi ya wabunge hawakuongea, hakuna furaha siku hiyo....
Miongoni mwa wabunge hao wenye mvuto kuwatazama na kuwasikiliza alikuwa Tundu Lissu....
By the way, Magufuli katembea na kutangazwa kwa miaka mitano yote. Kwa maana hiyo NEC ikimteua kuwa mgombea na kuanza kutembea kwenye kampeni zake hatapata watu kwa sababu amechuja siyo?