Uchaguzi 2020 Lissu, kujaza watu wakati huu usifurahie maana ndivyo unavyochuja

Uchaguzi 2020 Lissu, kujaza watu wakati huu usifurahie maana ndivyo unavyochuja

Mteuliwa wa Chadema Ndugu Tundu Lissu asifurahie sana anapoona wingi wa watu wakijitokeza kumuona kwani endapo atapitishwa na tume ya uchaguzi kuwa mgombea kamili wa kiti cha Urais akipita tena katika maeneo hayo wingi wa watu utakuwa ni mdogo sana kwa sababu walishamuona mwanzo na hakuwa na hoja ya msingi kwa ajili ya maendeleo ya taifa.
Wasalimie ccm dom wanapotoana manundu kukatwa wagombea wao
IMG_20200818_133241.jpeg
 
Back
Top Bottom