Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Lissu anasema Mbowe alivyokuwa anaongea kwenye hutuba yake inaonekana bado anataka maridhiano. Anasema toka amerudi hakukuwa na mabadiliko yoyote kisera. Yote yaliyofanywa kwa upande wake yalikuwa ni masharti ambayo CCM walitakiwa kufanya kabla ya kuingia kwenye maridhiano.
Pia soma: Pre GE2025 - Mbowe: Wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea
Anasema alimwambia Samia haiwezekani kuingia kwenye maridhiano wakati viongozi wamefungwa na mikutano ya kisiasa imezuiwa.
Mbowe alivyotoka gerezani akaenda kuongea na Samia na kusema kuna maridhiano, chadema wakabaki na machaguo mawili ama wampasue Mbowe au wamstahi, waliamua kumstahi maana Mbowe hakuongea na yoyote uamuzi wake wa kwenda kuongea na Samia.
Lissu anasema mariadhiano yamefeli vibaya, maana hakuna chochote walichokubaliana kimefanyika.
Pia soma: Pre GE2025 - Mbowe: Wanaosema maridhiano hayakuwa na faida wanakosea
Anasema alimwambia Samia haiwezekani kuingia kwenye maridhiano wakati viongozi wamefungwa na mikutano ya kisiasa imezuiwa.
Mbowe alivyotoka gerezani akaenda kuongea na Samia na kusema kuna maridhiano, chadema wakabaki na machaguo mawili ama wampasue Mbowe au wamstahi, waliamua kumstahi maana Mbowe hakuongea na yoyote uamuzi wake wa kwenda kuongea na Samia.
Lissu anasema mariadhiano yamefeli vibaya, maana hakuna chochote walichokubaliana kimefanyika.