Pre GE2025 Lissu, kuna baadhi ya mambo busara inakutaka usiyazungumze in Camera mpaka inapokulazimu kufanya hivyo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mara tuambiwe Nyerere aliyasema hayo akiwa nchini Kenya baada ya kuulizwa kama yeye na Tanzania walikuwa wamehusika kwenye mpango wa kuipindua serikali ya Moi mara leo hii wewe unadai aliyasema hayo kwa kuhusishwa na mpango wa kumpindua Mwinyi!
 
Mara tuambiwe Nyerere aliyasema hayo akiwa nchini Kenya baada ya kuulizwa kama yeye na Tanzania walikuwa wamehusika kwenye mpango wa kuipindua serikali ya Moi mara leo hii wewe unadai aliyasema hayo kwa kuhusishwa na mpango wa kumpindua Mwinyi!
umezaliwa lini? tuanzie hapo
 
You want him to use his wisdom because his words threatening Your be loved party?
Tell us if he is right or night?
He is wrong! Kwanini mpaka leo hakuna nayejua kwanini Kinana alijiuzuru? Kuna speculations tu! Wanalinda intergrity ya chama chao mpaka hapo itakapokuwa lazima kusema hadharani.
Kuna tabia zinaweza kuwa zinazuka kwenye familia yenu/yako, huwezi kuzisema kijijini kwenu. You will contain them untill it is no longer possible to contain them! Lisu ilibidi awe na subira kulinda kilicho chake maana bado haijashindikana kukomesha hizo speculations kama zipo kweli
 
You want him to use his wisdom because his words threatening Your be loved party?
Tell us if he is right or night?
make a correction, chadema is not my beloved party, ni kuwa wanasimamia ninachokiamini, wanachukia ninavyovichukia katika siasa za hapa
 
Mtashangaa nae kajiunga na mchungaji
Hela mwanaharamu
Ingawa sina Chama huko acha nichangie tu
Hivi unakochangiwa kununua gari au kulichana V8 kwa hela zako wapi mswahili ataenda
Tuambiane ukweli siasa za Afrika unahama kwa maslahi tu
Hata uwe ns msimamo gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…