Mhujumu Uchumi
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,541
- 3,521
Wakatoze na ile maiti ya kada wao, shana.Sio wajawazito tu , wanatoza kodi mpaka maiti wa mochwari! CCm hii ni hatari! Twende na Lissu tu utapeli huu tuukatae octoba 28!
Tozo hizo anazosema zinatozwa wapi na Nani? Hawa jamaa wameshaishiwa hoja kabisa sasa hili la tozo kalitoa wapi wakati wizara ya afya inatoa huduma bure kwa mama zetu wajawazito Kati ya wizara ambazo Magufuli kaongezea budget kubwa ni wizara ya fedha sasa nawashauri Chadema kwamba Kama wameushiwa hoja si lazima waendelee Hadi mwisho wanaweza kuishia tu hapa manake mbeleni wanakwenda kudhalilika zaidi
Nyuma ya keyboard na kwa kutumia utambulisho bandia tunaweza kuandika chochoteLissu hana cha kuahidi, Magu kashafanya vyote! Ana bwabwaja tu hana sela
Strange!! Huwa wanazingatia uchama au ni mwanamke yeyote anayejifungua anatozwa hiyo tozo?Lissu akiwa Sumbawanga kadai kuwa wakina mama wajawazito wanatozwa tozo mahospitalini pindi wanapojifungua.
Kuwa mama akijifungua mtoto wakiume anatozwa tozo kubwa kuliko aliejifungua mtoto wa kike. Je, nikweli juu yahaya ndugu zangu CCM, au Lissu anadanganya?
Je, kama nikweli, kwanini tozo zitofautiane juu ya mtoto wakiume na kike? Je, hii ipo kisheria? Au Kuna baadhi ya hospital zinamuhujumu raisi wetu mpendwa JPM?
Kama muheshimiwa raisi anatoa elimu bure, kwa nini asiruhusu wajawazito waachwe kutozwa tozo mara wanapojifungua? Maana anahimiza tufyatue watoto kwa wingi zaidi.
Nataka nifahamu ukweki juu yahili, kama nikweli Serikali imeweka tozo mpaka kwa wajawazito, na kama tozo hizo zinatozwa tofauti kwa mtoto wakike na kiume, kama kuna ukweli wowote.
Bima ya afya kwa kila mwananchi za bei nafuu ndio suluhisho, itaondoa ukilitimba wote wa tozo za hospitalini.
Kwa sababu zipi?Ni kweli kabisa Mzazi akijifungua mtoto wa kiume anatozwa Tsh. 50,000
Na akijifungua mtoto wa kike anatozwa Tsh. 30,000
Ndio maana JPM anatoza kodi mimba? Kisa Lissu hatufai?
Haha kwahiyo Lisu akafikiri akidanganya watu huko sumbawanga hatutajua.
Kwahiyo akawaambia TRA wanakusanya tozo za mimba??
Sio uzushi huo ndio ukweli,wakiume elfu50, wakike elfu 30 hii niliiona KALIUA na URAMBO wakazi wamaeneo hayo wanaweza kuwa mashahidi.Kwa sababu zipi?
Kwamba wakiume ana nini na wa kike ana nini,?
Acheni uzushi ninyi
Strange!! Huwa wanazingatia uchama au ni mwanamke yeyote anayejifungua anatozwa hiyo tozo?
Hahahaa....... Wanakujua ulaya kwenyewe basi? 😄😄Ulaya ya wapi hujifungui bure?
Ndio sera ya chadema hiyo??!Alisikika anasema "barabara ya lami kutoka Tunduma mpaka Sumbawanga wamejenga Wamarekani (msaada) ambao JPM anawaita mabeberu" akauliza hiyo ni akili au matope? bila shaka utakuwa na jibu walilojibu wananchi.
Hapana sera ya CDM nikusema yule mwingine anasema hatokusanya kodi, yule mwingine anasema mnapenda BATA.eti nani aliwambia mnapenda bata nyie.Ndio sera ya chadema hiyo??!
Ndio sera ya chadema iyo comrade?Hapana sera ya CDM nikusema yule mwingine anasema hatokusanya kodi, yule mwingine anasema mnapenda BATA.eti nani aliwambia mnapenda bata nyie.
Nimeshuhudia URAMBO na KALIUA waliojifungua wanatozwa tozo ya TZSH 50,000 kwa mtoto wakiume, na TZSH 30,000 kwa mtoto kike. Hizi ndio tozo zinazozungumziwa hapa.Huu uzi unawaacha vibaya watu wazima. Wababa fatilien clinic za wake zenu mjue mengi badala ya kuja kuumbuka humu kwa ushabiki.
Hiyo nisera ya JPM akiwambja wananchi kuwa LISSU kasema hatokusany kodi, Membe anawambia eti watakula bata, Rugwe anasema eti atagawa ubwabwa huku kwake tu haumtoshi. Hayo aliyazungumza JPM ndio sera zake.Ndio sera ya chadema iyo comrade?
Ningeshangaa sana kumuona Uvccm anaongea point.🤣 🤣 🤣 Mimi ningeshauri wapime kwa kilo!!!
Hii ni moja ya maneno uongo tu kusogeza muda kabla ya kuanza kusema ule uongo mkuu wa "tumeibiwa kura".
Kwa kampeni za aina hii chama tawala hata kikiweka mbuzi agombee atashida tu.
Kwa sheria ipi ya Afya?Sio uzushi huo ndio ukweli,wakiume elfu50, wakike elfu 30 hii niliiona KALIUA na URAMBO wakazi wamaeneo hayo wanaweza kuwa mashahidi.