Uchaguzi 2020 Lissu kuzungumzia tozo kwa wajawazito Sumbawanga, ni kweli zipo ndugu zangu CCM au anadanganya?

Uchaguzi 2020 Lissu kuzungumzia tozo kwa wajawazito Sumbawanga, ni kweli zipo ndugu zangu CCM au anadanganya?

Acha uongo kwa sasa kujifungua sio bure
Tozo hizo anazosema zinatozwa wapi na Nani? Hawa jamaa wameshaishiwa hoja kabisa sasa hili la tozo kalitoa wapi wakati wizara ya afya inatoa huduma bure kwa mama zetu wajawazito Kati ya wizara ambazo Magufuli kaongezea budget kubwa ni wizara ya fedha sasa nawashauri Chadema kwamba Kama wameushiwa hoja si lazima waendelee Hadi mwisho wanaweza kuishia tu hapa manake mbeleni wanakwenda kudhalilika zaidi
 
Lissu akiwa Sumbawanga kadai kuwa wakina mama wajawazito wanatozwa tozo mahospitalini pindi wanapojifungua.

Kuwa mama akijifungua mtoto wakiume anatozwa tozo kubwa kuliko aliejifungua mtoto wa kike. Je, nikweli juu yahaya ndugu zangu CCM, au Lissu anadanganya?

Je, kama nikweli, kwanini tozo zitofautiane juu ya mtoto wakiume na kike? Je, hii ipo kisheria? Au Kuna baadhi ya hospital zinamuhujumu raisi wetu mpendwa JPM?

Kama muheshimiwa raisi anatoa elimu bure, kwa nini asiruhusu wajawazito waachwe kutozwa tozo mara wanapojifungua? Maana anahimiza tufyatue watoto kwa wingi zaidi.

Nataka nifahamu ukweki juu yahili, kama nikweli Serikali imeweka tozo mpaka kwa wajawazito, na kama tozo hizo zinatozwa tofauti kwa mtoto wakike na kiume, kama kuna ukweli wowote.

Bima ya afya kwa kila mwananchi za bei nafuu ndio suluhisho, itaondoa ukilitimba wote wa tozo za hospitalini.
Strange!! Huwa wanazingatia uchama au ni mwanamke yeyote anayejifungua anatozwa hiyo tozo?
 
Ni kweli kabisa Mzazi akijifungua mtoto wa kiume anatozwa Tsh. 50,000

Na akijifungua mtoto wa kike anatozwa Tsh. 30,000
Kwa sababu zipi?
Kwamba wakiume ana nini na wa kike ana nini,?
Acheni uzushi ninyi
 
Enzi za JK mama.na mtoto walikua angles ambao walikua hawaguswi..

Sweden mama akijifungua ni bure na anapewa hadi nguo za mtoto (starter pack)
 
Kwa sababu zipi?
Kwamba wakiume ana nini na wa kike ana nini,?
Acheni uzushi ninyi
Sio uzushi huo ndio ukweli,wakiume elfu50, wakike elfu 30 hii niliiona KALIUA na URAMBO wakazi wamaeneo hayo wanaweza kuwa mashahidi.
 
Strange!! Huwa wanazingatia uchama au ni mwanamke yeyote anayejifungua anatozwa hiyo tozo?

Wana CCM wanadai hawatozwi, wengine wanadai wanatozwa itakua wenye kadi za ccm hili haliwahusu, waliosalia wote inawahusu.
 
Alisikika anasema "barabara ya lami kutoka Tunduma mpaka Sumbawanga wamejenga Wamarekani (msaada) ambao JPM anawaita mabeberu" akauliza hiyo ni akili au matope? bila shaka utakuwa na jibu walilojibu wananchi.
Ndio sera ya chadema hiyo??!
 
Huu uzi unawaacha vibaya watu wazima. Wababa fatilien clinic za wake zenu mjue mengi badala ya kuja kuumbuka humu kwa ushabiki.
 
Huu uzi unawaacha vibaya watu wazima. Wababa fatilien clinic za wake zenu mjue mengi badala ya kuja kuumbuka humu kwa ushabiki.
Nimeshuhudia URAMBO na KALIUA waliojifungua wanatozwa tozo ya TZSH 50,000 kwa mtoto wakiume, na TZSH 30,000 kwa mtoto kike. Hizi ndio tozo zinazozungumziwa hapa.
 
Ndio sera ya chadema iyo comrade?
Hiyo nisera ya JPM akiwambja wananchi kuwa LISSU kasema hatokusany kodi, Membe anawambia eti watakula bata, Rugwe anasema eti atagawa ubwabwa huku kwake tu haumtoshi. Hayo aliyazungumza JPM ndio sera zake.
 
🤣 🤣 🤣 Mimi ningeshauri wapime kwa kilo!!!
Hii ni moja ya maneno uongo tu kusogeza muda kabla ya kuanza kusema ule uongo mkuu wa "tumeibiwa kura".
Kwa kampeni za aina hii chama tawala hata kikiweka mbuzi agombee atashida tu.
Ningeshangaa sana kumuona Uvccm anaongea point.
 
Back
Top Bottom