Uchaguzi 2020 Lissu kuzungumzia tozo kwa wajawazito Sumbawanga, ni kweli zipo ndugu zangu CCM au anadanganya?

Pale Amana wajawazito wanalipishwa elfu 75 kujifungua kwa njia ya kawaida na hapo ndo mjini jiuluze huko vijijini kunakuwaje,kwahiyo usilete siasa kwenye mambo ya msingi dogo.
 

Maiti tu inatozwa Unashangaa mimba?
 
Magufuli amelegea leo amefuta tozo ya mimba ya sh. 50,000/= wakati akiomba kura Tunduma.
 
Agizo la Mheshimiwa Tundu Lissu limetekelezwa leo. Mwaka mtajua tu kuwa hamjui kitu
 
Huko uliko una hali gani?
 
🤣 🤣 🤣 Mimi ningeshauri wapime kwa kilo!!!
Hii ni moja ya maneno uongo tu kusogeza muda kabla ya kuanza kusema ule uongo mkuu wa "tumeibiwa kura".
Kwa kampeni za aina hii chama tawala hata kikiweka mbuzi agombee atashida tu.
Kwamba ni uongo?Sijui huko uliko una hali gani baada ya Magufuli kutangaza kuzifuta hizo tozo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…