Pre GE2025 Lissu: Mabadiliko yakikubaliwa, Uchaguzi utaahirishwa na Bunge litarudishwa hata kama lilivunjwa

Pre GE2025 Lissu: Mabadiliko yakikubaliwa, Uchaguzi utaahirishwa na Bunge litarudishwa hata kama lilivunjwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
2026 mwaka wa kuanza KAZI Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya.
 
Mabadiliko anayotaka Lissu hayawezi kukubaliwa.

Lissu aache kuongopea wafuasi wake CCM haitilii maanani porojo zake.

CCM lugha pekee wanayoielewa ni mtutu tu wa bunduki kile kinacho endelea Congo kati ya serikali na jeshi dhidi ya M23 ndio lugha pekee CCM wanaielewa hizi porojo za Lissu hazimzuii tembo kunywa maji

Lissu vijana wenu wanakufa, wanatekwa wewe unazungumza porojo tu kama chama hakioneshi reaction kali kushughulika na hali hii watu wa kuwaunga mkono kwa kila hali lazima wajitenge na chama chenu watabaki tu wasaka fursa kupitia mgongo wa upinzani.
 
2026 mwaka wa kuanza KAZI Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya.
WILDLIFE_2015-09-09_HwangeNP-Zimbabwe_RudiVanAarde_CANON-1DX_RVA_7080_reduced.jpg
 
Watanzania wazalendo kwa nchi yao wanajiuliza kwa jinsi jua lilivyokali mwaka huu hivi ingekuwaje mgao wa umeme kama Hayati Magufuli asingejenga bwawa la umeme la mwl Nyerere?.
Ni majenereta mangapi yangeingizwa? Zingezaliwa Richmond ngapi?
Mwaka huu mvua ni chache nchi nzima na jua linatandika kwelikweli kiasi kwamba wakulima wamekosa mazao yao kwa kukauka shambani, lakini bado mafisadi yanaona aibu kutangaza mgao wa umeme kwa sababu wanaogopa watawaambia nini Watanzania kwa sababu wanajua bwawa lao la umeme walilojengewa na Rais wa wanyonge limekamilika na linauwezo wa kutoa megawati 2115.
Mafisadi kwa vikao vyao yanajiuliza sasa tutakula wapi? Na yanapofikia hiyo hatua humlaani Hayati Magufuli kwa kuanzisha ujenzi wa bwawa hilo na yakimaliza yanamlaani pia Rais Samia kwa kukubali kumalizia miradi yote iliyoachwa na Magufuli ikiwemo hilo bwawa la umeme.
Matarajio ya mafisadi ilikuwa ni kwamba pale tu Magufuli alipofariki na ujenzi wa bwawa ungeishia hapo.
 
Hatujasema bila Reforms tutasusia, tumesema bila reforms tutahakikisha Uchaguzi haufanyiki kabisa.
 
Hatujasema bila Reforms tutasusia, tumesema bila reforms tutahakikisha Uchaguzi haufanyiki kabisa.
Uchaguzi utayeyuka ikiwa Katiba haitafanikiwa kupata Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya.
 
Lissu ana nia njema sana na taifa letu shida machawa na mafisadi ndo ambayo yanasauti sana kwenye huu utawala
 
Lissu ana nia njema sana na taifa letu shida machawa na mafisadi ndo ambayo yanasauti sana kwenye huu utawala
Lissu hajawahi kuwa na nia njema na Taifa hili kwa kujua au kutokujua. Kiufupi hana hela ya kuendesha uchaguzi watanzania wameshawastukia kwa kutembeza bakuli kila siku. Tone tone imebuma anatafuta njia ya kukwepa aibu. Kama ana uwezo wa kuzuia uchaguzi anashindwaje kusimamia kura zake?
 
Lissu hajawahi kuwa na nia njema na Taifa hili kwa kujua au kutokujua. Kiufupi hana hela ya kuendesha uchaguzi watanzania wameshawastukia kwa kutembeza bakuli kila siku. Tone tone imebuma anatafuta njia ya kukwepa aibu. Kama ana uwezo wa kuzuia uchaguzi anashindwaje kusimamia kura zake?
Kwanini hamtaki tume huru ya uchaguz? Je mnaogopa nini?
 
Lissu hajawahi kuwa na nia njema na Taifa hili kwa kujua au kutokujua. Kiufupi hana hela ya kuendesha uchaguzi watanzania wameshawastukia kwa kutembeza bakuli kila siku. Tone tone imebuma anatafuta njia ya kukwepa aibu. Kama ana uwezo wa kuzuia uchaguzi anashindwaje kusimamia kura zake?
Hats Samia mlimchangia fomu japo mnaibia wananchi hela zao za kodi.
 
Back
Top Bottom