Ukweli ni kwamba Chadema Haina mamlaka ya kuzuia uchaguzi uliopo kikatiba
Endapo wakijaribu vyombo vinavyolinda katiba likiwemo jeshi na mahakama zitakuwa sahihi kuwashughulikia
Wananchi pekee Kwa umoja wao BILA mgawanyiko ndo wanaweza kupinga uchaguzi Tena Kwa utaratibu maalumu wa kubadilisha katiba
Swali je Chadema wamejipanga na Agenda Gani inayogusa wananchi wawaunge mkono Kwa umoja wao ???