stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Sina popote ninapokuzuia kumsema maana najua siasa. Nilichosema siasa za mawe sio siasa bali ni uhalifu. Unakwama wapi?
are you trying kusema ccm ndo wanahusika., uliona lakin watu walikua wangap? kwa kifupi tokea mbowe awe hapo kilimanjaro kila mtu alikua amemchoka, vitu vingine tunawaacha tu maaana mnakua kama wendawazimu sasa, ivi unadhan hatujui mnayofanya? si huyu apa jamaa alikua chadema mpaka ameapa na biblia , sasa nkiwaambia mna siasa chafu muwe mnakua waelewa
angalieni chama chenu kinapoelekea, madudu yote mnafanya mnacheka wenyewe!