Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

Hayo kamfundishe Jiwe wenu atokwe na ushamba aongoze nchi kistaraabu.

TL hahitaji tuition yako ya kilevi. Kawaambie TISS wajiandae kupambana na wenzao wanaojua kazi. Mbona wajuzi wameingia na kutapakaa nchi nzima bika wao kujua?

Hawaendeshi mambo kijinga na kizamani kama wao. Wako mbele yao miaka 100. Wajaribu waone mechi zinavyochezwa.

Au wanafikiri watu wamekurupuka kww haya wanayoyaona? Hatuendi kwa kufuata upepo. Hatupangi kwa kutegemea wingi wa watu unaowaona. Hiyo ni akili ya chekechea.

Fuatilia utajionea. Time out!
Ni kweli mtafanya kitu bila serikali kujua?
 
Narudia tena maana sioni hata kama unajua unaloongea, kama mtu hatakiwi, kupigwa mawe tena mbele ya polisi ndio namna ya kumkataa mtu? Na ni kwanini huo mchezo wa kupiga mawe iwe Hai tu, tena hayo yawe mbele ya polisi? Hivyo vijimaneno vya kiingereza sijui infact mara sense, vinakufanya uonekane juha fulani unayedhani uhalifu ndio siasa.

kuna mtu anaongoza kwa siasa chafu kama sio tundu lissu? infact hafanyi ata siasa ni mipasho tu, hilo hujaliona, na ni muongo wa kupitiliza, ivi unavosema jpm hayafanya chochote huo ni uongo ama siasa, yeye kila sehem anaongelea tu magufuli na jamaa hampi kiki sasa, kama hizi ndo siasa kwenu basi muache kulalamika mkitwangwa mawe
 
Ni kweli kwake ni jipya maana wakati mwenzie anajenga nchi ukiwemo huo uwanja, yeye kamaliza matibabu anazunguka Kwa mabeberu kumchafua JPM na nchi Kwa ujumla halafu bila soni anarudi kuomba urais kwa walewale aliowachafua na wenye akili za kushikiwa wanamshangilia
Bila shaka aliyechafuka ni wewe muuaji usiyejulikana! Endelea kupanga mauaji mengine.
 
Wanachama na wakereketwa wa Chama cha Chadema, najua mnajua kuwa hamuwezi kushinda, na Jambo lingine ambalo mnajua Ila hamlitaki kuliskia, ni kwamba hata Mh Lisu akija kwetu na Mimi nitakwenda kwenda kumpokea hasa kushangaa jinsi Mungu alivyomshindia,ingawa ukweli ni kwamba Kura yangu haipati

Kwa tarifa yenu ni kwamba miongoni pia mwa wanao hudhuria mikutano yake ni kidogo tu watakao mpa Kura, wengi Wao wanaokwenda kumpokea ni hao wanaokwenda kushangaa muujiza wa Mungu Kwa ndugu na damu yetu mh Lisu,

Tofauti yake ni kwamba, ninyi Chadema, hamtakwenda kabisa kwenye mikutano ya Mh Magufuli, mbali na Hilo, mikutano yake itakuwa inatapika watu kuliko miaka yote na makusanyiko yote ya Magufuli muwe na uhakika ndio watakaompa kura tofauti na makusanyiko ya Lisu ambapo wengi Wao watakwenda kushangaa matendo makuu ya Mungu pekee kama nitakavyokuwa nafanya mimi na Kura wasimpe

Mimi enyewe nitaenda mshangaa Mungu mtu ila kura yangu lissu....
 
sasa kimandolu hapo imepakana na ng'aronumbe, kijenge juu, moshono. kwangulelo. sekei.

Kwa hiyo unataja vituo tukuone ati unajua😁 umenyimwa akili tu na makalio yako pia si makubwa kama tuzaniavyo
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Mtanyooka tu mwaka huu
 
Arusha hawana taimu na mpiga kelele na mropokaji. Wana Arusha wako bize kutumia fursa ya kusafirisha mizigo yao kwa gharama nafuu kwa kutumia treni!

TUKUTANE OKTOBA 28!

Arusha sio makalio yako acha kuisemea ama kuna kitu unauza
 
Mkuu tuwe wakweli,!

Mimi binafsi sikutegemea mapokezi Lisu kwa jiji kama Arusha yawe ya kupooza kiasi kile.

Upo Arusha ...au umehadithiwa na mwenzio anaependa tuendelee tawaliwa
 
Mleta mada ni kenge tu anafikiri kwakua wamezuia redio na tv kutangaza habari za lisu basi na sisi tumekaa kimya bila kufuatilia mitandaon...

Sisi tunayaona mafuriko ya mapokezi ya lisu nyi ccm endeleeni kukalia akili zenu ivyo ivyo.

Karibia watatufungia hizi mitandao...tunaweza tusifike nazo uchaguzi
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!

Pamoja na mawazo yako, ya wengine pia nayaheshimu, ila siyakubali. Kamwe.
MUSTAKABALI wa nchi yetu unatuhusu SOTE. NASEMA tena, MAMBO YA KIPUMBAVU hayasaidii popote. Bado watu wetu ni MASKINI na WAJINGA, tena huenda ni kupita kiasi. UONGOZI BORA ni hitaji letu sote. Kamwe sote hatuwezi kufanana, never. Ni katika DIVERSITY yetu kwa pamoja na KISHERIA ... katiba.... ndipo tutaweza kuvuka. Hatutavuka kwa kuendeleza UPUMBAVU. Hstoria ya jana imesheheni facts tele nini kimetokea kwenye UDIKTETA. Sio hitaji letu.
 
Umepig
Sasa kama kampeni hazijaanza Rallies za nini anafanya? Eti tusubur kampeni, ko kwenye kampeni atabadilisha KICHWA hiki alichonacho akiache?

Ama kweli #NIYEYE YULEYULE. Hana lolote tu kama zamani. Kuropoka tu! Swain....
Umepigika kisawasawa jombaa,siyo kwa kuweweseka uko.
 
kuna mtu anaongoza kwa siasa chafu kama sio tundu lissu? infact hafanyi ata siasa ni mipasho tu, hilo hujaliona, na ni muongo wa kupitiliza, ivi unavosema jpm hayafanya chochote huo ni uongo ama siasa, yeye kila sehem anaongelea tu magufuli na jamaa hampi kiki sasa, kama hizi ndo siasa kwenu basi muache kulalamika mkitwangwa mawe

Siasa chafu tunaziona wala hatuhadithiwi, chaguzi zote toka awamu hii iingie zimenajisiwa, labda kama hujui siasa chafu ni nini. Hata washabiki wa Yanga wanasema Simba haijui kucheza, je washabiki wa simba wanaowapiga mawe wa Tanga? Sio wajibu wa Lisu kusema Magufuli kafanya kitu, nyie ndio washabiki wa Magufuli ni wajibu wenu kusema alichofanya, kisha box la kura litaamua. Labda kama mko kwenye siasa bila kujua namna ya kucheza mchezo wa siasa. Hata wazungu wanasema sisi ni masikini sana, umewahi kuona tunawapiga mawe? Hatulalamiki kupigwa mawe, bali tunasema tukianza siasa za kupigana mawe hatutoboi. Na sisi hatuna muda wa siasa za mabavu, maana tunaujua vyema mchezo wa siasa.
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!

Ungeweka picha ungethibitisha unayoyasema; umetumwa kazi na waliokutuma hawakujua kuwa uwezo wako si stahiki! Pole sana!
 
Back
Top Bottom