Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

mm niache utoto kwan nko kwenye hilo saccos lenu? kila mda mnalalamika sabaya utadhan sabaya ndo hai nzima, jiandaeni kisaikolojia

Hatulalamiki bali tunaweka rekodi sawa. Huyo Sabaya ndio anayeagiza hayo, wilaya ziko nyingi nchi hii, kwanini huo mchezo wa mawe uwe Hai tu? Halafu unaleta hapa kwa sifa, bila kujua hiyo siasa siasa bali unajivunia uhalifu.
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Watanzania walio wengi washamchoka hata kabla kipenga hakijalia.
 
Naona Shetani anatamani chuki baina yetu Watanzania izidi kushika kasi. Historia haijawahi kuwadanganya wanadamu. Ni mkweli sana. Hata sisi tunaojibainisha kuwa "kisiwa cha amani" kwa miongo taktibani sita sasa tangu uhuru, tutaja shangaa, tukikataa kujifunza ukweli wa historia. Wakati mwingine nimesikia watu wakisema "Julius Kambarage Nyerere alikuwa nabii." Hapana! Hakuwa nabii, bali alijifunza barabara somo la Historia, na kuwa mwalimu mahiri wa somo la Historia.

Sulemani anayetajwa katika Biblia kuwa na hekima nyingi kuliko wanadamu wote waliowahi kuishi alisema: "Moto hufa kwa kukosa kuni; Na bila mchongezi fitina hukoma. Kama makaa juu ya makaa yanavyowaka, Na kama kuni juu ya moto; ndivyo mtu mgomvi achocheavyo uadui" Mithali 26:20-21).
 
Hatulalamiki bali tunaweka rekodi sawa. Huyo Sabaya ndio anayeagiza hayo, wilaya ziko nyingi nchi hii, kwanini huo mchezo wa mawe uwe Hai tu? Halafu unaleta hapa kwa sifa, bila kujua hiyo siasa siasa bali unajivunia uhalifu.


hata ingekua in sense kwamba watu wametumwa haiwezi kua hai nzima, ulikuepo eneo la tukio? kama hukuepo uliza yoyote aliekuepo atakwambia , infact sio mara ya kwanza! mbowe yalishamkuta na wananchi wakahojiwa wakasema wamechoka siasa za cdm! kwanza mnasifia msafara wakati ulikua wa kitoto kabisa, yaani ukiachana na hao boda mliowapa 5000 ya mafuta hakuna msafara pale, infact hata boda walikua hawana vibe ni basi tu nan hataki ela
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Back up your story by images. Propaganda
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Ungeweka Picha tuone, otherwise ni uzushi tu kama uzushi mwengine wowote ule
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Uko sahihi wengi walikuja kushangaa vyuma mwilini Lakini si kusikiliza sera kwa Kuwa Ni kichaa
 
Aisee nayachukia haya magamba!!!
Wewe chukia tu, ukitaka upasuke kabisa Mkuu!!Mtu badala ujikite kwenye sera zinazolenga watu unaishia kusema Mara kwà kifungu na ibara kadhaa Rais anatoa rushwa hayo yanatuhusu nini Sisi!!!

Jamaa anapotea mnamuangalia tu mbaya zaidi hata hamumstui kuwa anapotea kabisa!!!
 
Back
Top Bottom