Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

Uchaguzi 2020 Lissu majibu umeanza kuyapata, unaonaje mahudhurio hapa Kanda ya Kaskazini?

Kumbusho ndio mumeo au baba watoto wako?? Hacha kusifia mwanaume mwenzio we .shoga
watu wasome coment huko istagram kwa post za kumbusho za Lissu ndio utajua watu wameshanza kumchoka
 
Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara. Unadhani hatuna macho nini? Hongera kwa kwenda Arusha kuchoma ofisi yao.

lissu hakua na msafara mkubwa infact wamepigwa mawe leo na ni yale yale nliokua nakwambia juzi juzi, mbowe alipigwa mawe pia! kwa kifupi hakuna mtu ana ham na nyie
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Nadhani amekuelewa kwa hiki mlichokifanya kuchoma Ofisi za cdma Arusha atawalekeza wanachama wajikite katika kufanya mnayoyafanya...
 
Subirini siku yenu inakuja, cdm ikiingia madarakani wahamiaji haramu wote mnarudishwa kwenu Burundi

laiti ungejua saaahv unatakiwa kushkuru Mungu mgombea wenu kachezea mawe leo, bahati nzuri hana alieumia ila magari yameiva kwa mawe, yale yale ya mbowe alichezea mawe kabla!
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!
Akili za kushikizwa ni ovyo sana
 
Lisu hana hoja hoja zake personal ugomvi wake na magu hauwez kutatu ma kero za bibi yako wa misungwi
Sawa vipaumbele vyake ndio vina bifu na JPW au siyo?

-Kushusha paye kuwa single digit
-Kushusha VAT hadi 10%
-Kurudisha fao la kujitoa.
-Kulipa arrears za wafanyakazi wa umma kwa miaka mi5
-Elimu bure hadi form iv
-Mikopo ya chuo ni 3% na unaanza kulipa mpaka upate kazi na unalipa kwa miaka 25
-Katiba mpya

AH VITU NI VINGI.
 
laiti ungejua saaahv unatakiwa kushkuru Mungu mgombea wenu kachezea mawe leo, bahati nzuri hana alieumia ila magari yameiva kwa mawe, yale yale ya mbowe alichezea mawe kabla!
Usisahau na kibaka mwenzenu mmoja nasikia yupo icu baada ya kupata kibano kutoka kwa wananchi wenye hasira kali
 
Sawa vipaumbele vyake ndio vina bifu na JPW au siyo?

-Kushusha paye kuwa single digit
-Kushusha VAT hadi 10%
-Kurudisha fao la kujitoa.
-Kulipa arrears za wafanyakazi wa umma kwa miaka mi5
-Elimu bure hadi form iv
-Mikopo ya chuo ni 3% na unaanza kulipa mpaka upate kazi na unalipa kwa miaka 25
-Katiba mpya

AH VITU NI VINGI.
Mkuu huyo uliye mujibu hawezi kukuelewa kwa jinsi ulivyo andika kwa akili kubwa
 
Wanachama na wakereketwa wa Chama cha Chadema, najua mnajua kuwa hamuwezi kushinda, na Jambo lingine ambalo mnajua Ila hamlitaki kuliskia, ni kwamba hata Mh Lisu akija kwetu na Mimi nitakwenda kwenda kumpokea hasa kushangaa jinsi Mungu alivyomshindia,ingawa ukweli ni kwamba Kura yangu haipati

Kwa tarifa yenu ni kwamba miongoni pia mwa wanao hudhuria mikutano yake ni kidogo tu watakao mpa Kura, wengi Wao wanaokwenda kumpokea ni hao wanaokwenda kushangaa muujiza wa Mungu Kwa ndugu na damu yetu mh Lisu,

Tofauti yake ni kwamba, ninyi Chadema, hamtakwenda kabisa kwenye mikutano ya Mh Magufuli, mbali na Hilo, mikutano yake itakuwa inatapika watu kuliko miaka yote na makusanyiko yote ya Magufuli muwe na uhakika ndio watakaompa kura tofauti na makusanyiko ya Lisu ambapo wengi Wao watakwenda kushangaa matendo makuu ya Mungu pekee kama nitakavyokuwa nafanya mimi na Kura wasimpe

mkuu, izi achana na hawa chadema queens! apa kila sku wanafungua thread mpya wanaongea wenyewe thread nzima, taarifa ya uhakika ni kwamba! alikuja na watu walikua wa kawaida sana msafara ulikua wa kitoto, na hivo nnavoongea na wewe wamepigwa mawe, hakuna alieumia ila gari kama 3 zmeisha hazifai, na tulikuja apa tukaawaambia wananchi hawana ham nao wakaja juu, mbowe alienda jimbon kwake mawe yakamhusu saaahv uyo mgonjwa wao kaponea mawe
 
lissu hakua na msafara mkubwa infact wamepigwa mawe leo na ni yale yale nliokua nakwambia juzi juzi, mbowe alipigwa mawe pia! kwa kifupi hakuna mtu ana ham na nyie

Kama watu hawana hamu na sisi hiyo ndiyo ya kutukataa? Box la kura lipo na ndio njia halali. Huu upuuzi wa kurusha mawe unapangwa na DC Sabaya, na hakuanza jana wala juzi. Kwa bahati mbaya huo uhalifu unaleta hapa na kuona ni njia sahihi ya kumkataa mtu hata kama ni kweli hatakiwi. Huu ulevi wa madaraka huwa una mwisho , japo unadhani ndio siasa. Nilikuambia acha utoto, lakini umerudia utoto ule ule ukidhani umeleta proof ya cdm kukataliwa, badala ya kujua kuwa huo ni uhalifu.
 
Kama watu hawana hamu na sisi hiyo ndiyo ya kutukataa? Box la kura lipo na ndio njia halali. Huu upuuzi wa kurusha mawe unapangwa na DC Sabaya, na hakuanza jana wala juzi. Kwa bahati mbaya huo uhalifu unaleta hapa na kuona ni njia sahihi ya kumkataa mtu hata kama ni kweli hatakiwi. Huu ulevi wa madaraka huwa una mwisho , japo unadhani ndio siasa. Nilikuambia acha utoto, lakini umerudia utoto ule ule ukidhani umeleta proof ya cdm kukataliwa, badala ya kujua kuwa huo ni uhalifu.

mm niache utoto kwan nko kwenye hilo saccos lenu? kila mda mnalalamika sabaya utadhan sabaya ndo hai nzima, jiandaeni kisaikolojia
 
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo.

Ulichaguliwa na chama chako kupeperusha bendera ya chama chako katika kuwania urais wa Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania .

Ulipoenda Dodoma kuchukua form ofisi za tume uliona jinsi mapokezi yalivyokua hafifu. Ulitegemea bodaboda zijaze msafara lakini ilishindikana.

Kadhalika Mwanza, na sasa Arusha umejionea mwenendo halisi wewe mwenyewe.

Hiki ni kiashiria tosha umechokwa kwa maneno yako ya hovyohovyo ya kila mara .

Jielekeze kwenye utatuzi wa kero za wananchi kwa ujumla utakapopewa ridhaa maana umekwisha anza kampeni kabla ya muda, na si personal attacks kwa Magufuli, hazitakusaidia hata kidogo kupata angalau ya asilimia 10% ya kura zote za urais nchini .

Mpaka sasa unaasilimia ndogo sana ya kura za huruma tu. Leo Arusha jibu umelipata, viti havina watu, kazi kwako!

Screenshot_20200814-213859_Opera%20News.jpeg
 
Hao hao waliokuja kumshangaa jinsi alivyopona kuuawa ndio watakaompigia kura!
 
Back
Top Bottom