Sina popote ninapokuzuia kumsema maana najua siasa. Nilichosema siasa za mawe sio siasa bali ni uhalifu. Unakwama wapi?
Mpaka sasa lissu anaongoza kutajwa na vyama vyote.
are you trying kusema ccm ndo wanahusika., uliona lakin watu walikua wangap? kwa kifupi tokea mbowe awe hapo kilimanjaro kila mtu alikua amemchoka, vitu vingine tunawaacha tu maaana mnakua kama wendawazimu sasa, ivi unadhan hatujui mnayofanya? si huyu apa jamaa alikua chadema mpaka ameapa na biblia , sasa nkiwaambia mna siasa chafu muwe mnakua waelewa
angalieni chama chenu kinapoelekea, madudu yote mnafanya mnacheka wenyewe!
Jambo lakusikitisha ni huwa mnaongea bila kuwa na prove buddy mradi wa maji ni mkopo from bank of africa 514 billion sio ufadhil wa world bank... Hospitali ya wilajaya inajengwa njiro na mpaka sasa hv kuna majengo bado yanamaliziwa hyo hospitali ya lema ni ya mama na mtoto ambayo ilifadhiliwa na maternity africa na kiwanja alitoa mawala... Bro ongea ukiwa na uhakika na unachosema sio kupayuka kimandazi tuu.. Arusha kuna barabara za lami mfano katikati ya mji maeneo ya makao mapya, barabara ya ngusero.. barabara ya uswailini....EAC road imejengwa na EAC, Mradi wa maji umegharimiwa na World Bank, Hspt ya wilaya ilijengwa na wafadhiri waliletwa na Lema Ghambo akaubeba ju kwa juu wana Ars wanajua!!
Hivyo huna lolote!!
Kuna viwanda zaidi ya vinne vimefungwa vya maua.
Watu zaidi elfu kumi hawana ajira, wana watoto pamoja na familia zinawategemea wapo vijiweni hawana kazi.
Bureu de Change zaidi ya kumi zimefungwa watu wamedhulumiwa fedha zao dola wamefilisika!!
Majirani zetu Kenya, Sudani na Uganda hawanunui bidhaa kwetu hata wakulima mazao hakuna bei!!
Serikali imekua controler wa maisha ya watu imeuwa uchumi, watu wamesinyaa wako hoi!!
Hiyo ni Ars umeelewa mbulula wa Lumumba??
Kama walifanya hayo mbele ya polisi unategemea nini? Hao polisi kuna mara nyingine walikwenda kwenye mkutano wa Mbowe na mawe yakarushwa, kisha polisi wakawa wanasema Mbowe awajibu hao wahuni. Inakuwaje mara zote iwe ni huko huko Hai? Na hizo ni tabia za DC wa Hai.
Huyu uliyemleta hapa sina tatizo na maelezo yake maana hiyo ndiyo siasa. Na kwa taarifa yako hivi juzi kakutwa akiwa ametekwa na kupigwa vibaya sana. Huyu aligombea ccm kwenye kura za maoni, na alishindwa. Lakini amekuwa akimtuhumu sana Gambo kuwa katoa rushwa. Hizo ndio siasa zenu za kutekana, na wote mmemuiga boss wenu.
Huna hoja mkuu,nenda jukwaa la maseleb,huku umevamia.Kama watu wanashinda kwa kujaza watu basi Lisu na Diamond wakishindana, Lisu anapigwa asubuhi na mapema kabisa
Hakuna hospital ya Lema wala ya Magufuli.Vyote ni kodi zetu mimi na wewe.Kama unakusanya kodi una wajibu wa kuwaletea wanachi maendeleo.Hakuna mbunge awe wa CCM au chama kingine chochote mwenye fedha.Kama eneo fulani halina maendeleo wakulaumiwa ni Serikali.Jambo lakusikitisha ni huwa mnaongea bila kuwa na prove buddy mradi wa maji ni mkopo from bank of africa 514 billion sio ufadhil wa world bank... Hospitali ya wilajaya inajengwa njiro na mpaka sasa hv kuna majengo bado yanamaliziwa hyo hospitali ya lema ni ya mama na mtoto ambayo ilifadhiliwa na maternity africa na kiwanja alitoa mawala... Bro ongea ukiwa na uhakika na unachosema sio kupayuka kimandazi tuu.. Arusha kuna barabara za lami mfano katikati ya mji maeneo ya makao mapya, barabara ya ngusero.. barabara ya uswailini....
Mzee usiwe bendera fata upepo, ongeza ukiwa na prove
TL ana domo kuoza. Anachoweza tu ni lugha chafu. Hivi karibuni tutamkaribisha kwa malkia wa Tandale akafanye utunzi wa nyimbo za singeli.Kama T. L hana uungwaji mkono kama unavyodai, ni kwanini SIRIkali haitaki kabisa kuona habari zake zinasikika/kuonekana?!
kama yeye sio chochote tuonesheni basi hayo mapokezi kiduchu tuone!