Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!! Siasa za bongo ngumu saanaHuyu mme wenu kawalala sana hamchoki kumtajataja.
Ndio hoja ya kumuombea kuraHuyu mme wenu kawalala sana hamchoki kumtajataja.
Gentleman,Kila nikimuona kabla ya vikao vya chama alikuwa maneno mengi.
Siku hizi tangu vikao vianze amekuwa bardiii sana.
AU Anahofu ndio bye bye tena kukaa meza kuu ya CHADEMA? Zaidi ya miaka 20 aliokua anakaa?
View attachment 3201093
Kwani huyu Lissu ndiye alikutoa usichana wako dada halafu akakupiga chini? Mbona una hasira naye sana? Kwani K yako si amekuachia tafuta mwanaume mwingine utibu jeraha lako dada Mariam,sawa sawa?Kila nikimuona kabla ya vikao vya chama alikuwa maneno mengi.
Siku hizi tangu vikao vianze amekuwa bardiii sana.
AU Anahofu ndio bye bye tena kukaa meza kuu ya CHADEMA? Zaidi ya miaka 20 aliokua anakaa?
View attachment 3201093
Vijana wa CCM mnamuogopa sana Mtakatifu baba Askofu Tundu LissuKila nikimuona kabla ya vikao vya chama alikuwa maneno mengi.
Siku hizi tangu vikao vianze amekuwa bardiii sana.
AU Anahofu ndio bye bye tena kukaa meza kuu ya CHADEMA? Zaidi ya miaka 20 aliokua anakaa?
View attachment 3201093
Nyumbu wa Sultan Mbowe ndiyo mumemuingiza chaka huyu mzeeWana harakati uchwara wamemuingiza chaka kamanda wetu.
Ana muda mchache sana wa kujirudi - kupambana na jemedali mzee wa anga ni lazima ukipange mzee - utaishia kusema ooh kahonga wajumbe wote.
Mwamba tuvushe ipo live chief ni suala la tarehe tu...tupo live.
Tatizo la.maropo ndiyo hilo. Muda wote ni roporopo.Nyumbu wa Sultan Mbowe ndiyo mumemuingiza chaka huyu mzee
Unyonge huo unauona wewe tu.Umejaribu kumbong'olea ukaona huo ubaridi?Kila nikimuona kabla ya vikao vya chama alikuwa maneno mengi.
Siku hizi tangu vikao vianze amekuwa bardiii sana.
AU Anahofu ndio bye bye tena kukaa meza kuu ya CHADEMA? Zaidi ya miaka 20 aliokua anakaa?
View attachment 3201093
Nyumbu mna shida sanaTatizo la.maropo ndiyo hilo. Muda wote ni roporopo.
Yaani kwa akili.zako muasisi wa CDM Mh. Mbowe atishwe na kinyago alichokichonga mwenyewe?