Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Baada ya kuuaminisha umma kuwa ni mla rushwa mkubwa, msaliti aliyekiuza chama leo ndio aseme atamlindia heshima yake? Heshima gani itakuwa imebaki ya kulinda. Na kama mpaka sasa amekuwa haaminiki katika chaguzi za chama kwa nini aaminike kuwa ataweza kusimamia chaguzi zijao bila upendeleo?Wanajukwaa!
Leo Lissu amefunguka mengi sana moja wapo ni hili
Tundu Lissu amesema atamlindia heshima yake Freemana Mbowe na atakuwa miongoni mwa wazee wa chama watakaokuwa wanasimamia uchaguzi
Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa
Tundu Lissu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa kwenye jamii, ila amekosa mikakati sahihi ya kampeni. Nina wasiwasi na timu yake ya kampeni si timu yenye watu wenye kujua siasa ya kampeni kama sayansi. Mashambulizi yake kwa mwenyekiti wake yataufanya uongozi wake (iwapo atashinda) kuwa wa changamoto nyingi sana za ndani ya chama.Baada ya kuuaminisha umma kuwa ni mla rushwa mkubwa, msaliti aliyekiuza chama leo ndio aseme atamlindia heshima yake? Heshima gani itakuwa imebaki ya kulinda. Na kama mpaka sasa amekuwa haaminiki katika chaguzi za chama kwa nini aaminike kuwa ataweza kusimamia chaguzi zijao bila upendeleo?
Nadhani ameanza kuhisi kuwa mashambulizi yake yanaanza kuwa kwaza baadhi ya wapiga kura.
Amandla...
Kichaa, umentukana na kumbagaza mara ngapi , halafu leo unasema utamlindia heshima uliyoivunja kwa uongoWanajukwaa!
Leo Lissu amefunguka mengi sana moja wapo ni hili
Tundu Lissu amesema atamlindia heshima yake Freemana Mbowe na atakuwa miongoni mwa wazee wa chama watakaokuwa wanasimamia uchaguzi
Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa
nasema huyu Lisu kichwani kuna funzaBaada ya kuuaminisha umma kuwa ni mla rushwa mkubwa, msaliti aliyekiuza chama leo ndio aseme atamlindia heshima yake? Heshima gani itakuwa imebaki ya kulinda. Na kama mpaka sasa amekuwa haaminiki katika chaguzi za chama kwa nini aaminike kuwa ataweza kusimamia chaguzi zijao bila upendeleo?
Nadhani ameanza kuhisi kuwa mashambulizi yake yanaanza kuwa kwaza baadhi ya wapiga kura.
Amandla...
DuuhBaada ya kuuaminisha umma kuwa ni mla rushwa mkubwa, msaliti aliyekiuza chama leo ndio aseme atamlindia heshima yake? Heshima gani itakuwa imebaki ya kulinda. Na kama mpaka sasa amekuwa haaminiki katika chaguzi za chama kwa nini aaminike kuwa ataweza kusimamia chaguzi zijao bila upendeleo?
Nadhani ameanza kuhisi kuwa mashambulizi yake yanaanza kuwa kwaza baadhi ya wapiga kura.
Amandla...