Pre GE2025 Lissu: Mbowe alivyotoka gerezani alibadilika, akasema hawezi kutuambia kila kitu alichozungumza na Rais

Pre GE2025 Lissu: Mbowe alivyotoka gerezani alibadilika, akasema hawezi kutuambia kila kitu alichozungumza na Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
"Mwenyekiti aliyeenda gerezani sio aliyetoka gerezani miezi nane baadaye, alikuwa tofauti, anaimba maridhiano"

Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema na Mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu amedai chama hicho kimepoteza imani na mvuto kwa wanachama wake na wananchi kwasababu ya kulegea kwa misimamo ya mageuzi ya Mwenyekiti na chama kwa ujumla.

Mwandishi wa BBC, Sammy Awami amezungumza na Tundu Lissu katika mahojiano maalumu.

Pia soma ~ Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe "Mugabe"
 
"Mwenyekiti aliyeenda gerezani sio aliyetoka gerezani miezi nane baadaye, alikuwa tofauti, anaimba maridhiano"

Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema na Mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu amedai chama hicho kimepoteza imani na mvuto kwa wanachama wake na wananchi kwasababu ya kulegea kwa misimamo ya mageuzi ya Mwenyekiti na chama kwa ujumla.

Mwandishi wa BBC, Sammy Awami amezungumza na Tundu Lissu katika mahojiano maalumu.

Pia soma ~ Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe "Mugabe"

..Lissu ameonyesha kiti alichokaa Abduli alipomtembelea, na kujaribu kumhonga.
 
Nimemuelewa Mbowe,baada ya kuona kuwa hana uwezo tena wa kupambana na CCM na umri unamtupa mkono akaamu kufuata kanuni ya if you can't fight them join them. Mbowe ameamua ajilipe kiinua mgongo kimtindo ndiyo haya maagano ya kumfanyia Samia wepesi kwa kuidhoofisha Chadema kimtindo. Siyo kweli kuwa Mbowe hajui kuwa wanachama hawamtaki tena kuwa mwenyekiti na anajua kulazimisha kuwa mwenyekiti ni kitendo kitakacholeta mpasuko mkubwa ndani ya Chadema kwa hiyo kila kinachoendelea ni mpango mahsusi uliopangwa na Mbowe mwenyewe na Samia. Hiyo 12B ambayo ameshapokea kama advance na nyingine atakayolipwa soon ndiyo kiinua mgongo chake. Biashara ni mipango tu.
 
Kuujua ukweli ni hatua ya kutatua tatizo.

Lissu anasema kuna mambo wametukosea wananchi, apewe uenyekiti ayafanyie kazi.

Mbowe anapigia chapuo maridhiano yake na Rais huku hataki maridhiano katika chama chake kwa kuachia ngazi.
 
Hata yule kijana wa Mbeya aliye shinda kesi majuzi hapa,watu wa mwamba wanadai ni matokeo ya maridhiano.

Muda huo Mbowe anaficha dhima ya maridhiano kwa kanuni ya one man show,CCM wao walikuwa wanaambiwa kila kitu by johnthebaptist
 
Nimemuelewa Mbowe,baada ya kuona kuwa hana uwezo tena wa kupambana na CCM na umri unamtupa mkono akaamu kufuata kanuni ya if you can't fight them join them. Mbowe ameamua ajilipe kiinua mgongo kimtindo ndiyo haya maagano ya kumfanyia Samia wepesi kwa kuidhoofisha Chadema kimtindo. Siyo kweli kuwa Mbowe hajui kuwa wanachama hawamtaki tena kuwa mwenyekiti na anajua kulazimisha kuwa mwenyekiti ni kitendo kitakacholeta mpasuko mkubwa ndani ya Chadema kwa hiyo kila kinachoendelea ni mpango mahsusi uliopangwa na Mbowe mwenyewe na Samia. Hiyo 12B ambayo ameshapokea kama advance na nyingine atakayolipwa soon ndiyo kiinua mgongo chake. Biashara ni mipango tu.
Ieleweke MBOWE ni mchagga
 
Back
Top Bottom