Pre GE2025 Lissu: Mbowe alivyotoka gerezani alibadilika, akasema hawezi kutuambia kila kitu alichozungumza na Rais

Pre GE2025 Lissu: Mbowe alivyotoka gerezani alibadilika, akasema hawezi kutuambia kila kitu alichozungumza na Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hilo la mbowe kubadilika baada ya kutoka sero mtu yeyote mwenye akili timamu na anayefuatilia siasa nchini atakuwa ameligundua!.
Nashangazwa sana na hao watu wachache wanaotaka mbowe aendelee kuwa mwenyekiti!
 
"Mwenyekiti aliyeenda gerezani sio aliyetoka gerezani miezi nane baadaye, alikuwa tofauti, anaimba maridhiano"

Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema na Mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu amedai chama hicho kimepoteza imani na mvuto kwa wanachama wake na wananchi kwasababu ya kulegea kwa misimamo ya mageuzi ya Mwenyekiti na chama kwa ujumla.

Mwandishi wa BBC, Sammy Awami amezungumza na Tundu Lissu katika mahojiano maalumu.

Pia soma ~ Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe "Mugabe"
Mpaka hapa mwishoni alituaminisha kuwa hana mpango wa kugombea Uenyekiti kwa sababu ana imani na Mbowe. Kumbe wakati wote huo alikuwa anajua kuwa hafai? Na hivi karibuni amesema kuwa aliamua kugombea kwa sababu Mbowe alimtuma Wenje kum challenge kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti. Hata Heche alisema Wenje ndie aliyewafikisha walipo. Lissu haaminiki.

Amandla...
 
Tulichelewa sana kuufahamu ukweli kumhusu tapeli mbowe. Tulipoambiwa kaanzisha gazeti binafsi kwa pesa ya chama hakuna mwanachama aliyeamini.
Unadhani CAG asingeona pesa za chama zinatumika kuanzisha gazeti la Mbowe? Lijualikali alisema amejinunulia shamba Kilombero kwa pesa za chama. Takukuru wakaahidi kukagua lakini mpaka leo kimya. Kuna mchezo mchafu unaoendelea. Mwisho wake ni majuto.

Amandla...
 
"Mwenyekiti aliyeenda gerezani sio aliyetoka gerezani miezi nane baadaye, alikuwa tofauti, anaimba maridhiano"

Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema na Mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu amedai chama hicho kimepoteza imani na mvuto kwa wanachama wake na wananchi kwasababu ya kulegea kwa misimamo ya mageuzi ya Mwenyekiti na chama kwa ujumla.

Mwandishi wa BBC, Sammy Awami amezungumza na Tundu Lissu katika mahojiano maalumu.

Pia soma ~ Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe "Mugabe"
Katika hali ya kisiasa ya Tanzania, Mbowe alikumbana na changamoto kubwa alipotoka gerezani. Alijua vizuri kuwa anaweza kuathiriwa na mazungumzo aliyokuwa nayo na Rais, na hivyo aliamua kuwa na busara katika kushiriki taarifa hizo. Mbowe alikuwa na maarifa ya kisiasa na alijua kwamba kila neno alilosema linaweza kuwa na athari kubwa kwa mustakabali wa siasa za nchi hiyo.

Lissu, ambaye ni mwanasiasa maarufu wa upinzani, alikuwa na uwezo wa kueneza habari kwa haraka mitaani. Mbowe alijua kuwa kama angempatia taarifa za mazungumzo yake na Rais, Lissu angeweza kuzitumia bila kufikiri mara mbili, na hivyo kuleta machafuko zaidi katika siasa za nchi. Kila kitu alichozungumza Mbowe na Rais kilikuwa na uzito mkubwa, na alijua kuwa lazima ahakikishe siri hizo zinaendelea kuwa siri.

Kila alichofanya Mbowe kilikuwa na lengo la kuhakikisha kwamba Lissu hawezi kutunga hadithi au kuleta uvumi usio wa kweli. Hali hiyo ilimfanya Mbowe kuwa na wasiwasi, lakini pia ilimfanya kuwa na nguvu. Aliamua kutofanya makosa ya kuwapa wapinzani wake silaha za kisiasa ambazo wangeweza kuzitumia dhidi yake. Kwa hiyo, aliweka mikakati ya kujilinda na kuzuia uvumi usiofaa.

Mbowe alijua kuwa dunia ya siasa ni ngumu, na kuhifadhi habari muhimu ni jambo la msingi. Aliweza kutambua kuwa kila mwanasiasa anahitaji kuwa na ujuzi wa kudhibiti mawasiliano yake. Hivyo basi, alichukua hatua za makusudi kuhakikisha kwamba kile alichokizungumza na Rais kinabaki kuwa faragha.

Alipokuwa akichambua hali hiyo, Mbowe alikumbuka nyakati zilizopita ambapo taarifa za siri zilivuja na kuleta machafuko. Aliangalia mfano wa viongozi wengine ambao walishindwa kudhibiti mawasiliano yao na matokeo yake yalikuwa mabaya sana. Hivyo, alijitahidi kuwa makini na kuzingatia mazungumzo yake, akijua kuwa Lissu angeliweza kuleta mabadiliko makubwa katika siasa za Tanzania kwa kutumia taarifa hizo.

Kwa Mtazamo wa Mbowe, ilikuwa muhimu sana kuzuia Lissu asijue kile kilichozungumzwa. Hata kama alijua kwamba Lissu alikuwa na haki ya kujua, alihisi kuwa ni bora zaidi kulinda maslahi ya chama chake na ya nchi kwa ujumla. Alijenga uhusiano mzuri na Rais, lakini hakutaka uhusiano huo uwe na athari mbaya kwa siasa za upinzani.

Mbowe pia alijua kwamba siasa ni mchezo wa mikakati. Alijitahidi kuwa na mazungumzo ya busara na Rais bila kuingiza masuala ya kisiasa yanayoweza kuleta mgawanyiko. Alifanya hivyo kwa sababu alitaka kuhakikisha kwamba anabaki kuwa kiongozi mwenye maono, ambaye anaweza kuongoza chama chake bila kuathiriwa na matukio ya nje.

Katika hali hii, Mbowe alionyesha ujasiri na hekima. Aliweza kuhamasisha wafuasi wake, huku akihakikisha kwamba taarifa muhimu zinasalia kuwa za siri. Alifunga milango ya mawasiliano na Lissu, akijua kuwa kila taarifa aliyopewa inaweza kutumiwa kama silaha dhidi yake. Mbowe alitambua kwamba katika siasa, ni muhimu kuwa na mbinu za kudhibiti mawasiliano na kujenga mikakati sahihi.

Kwa kumalizia, Mbowe alikabiliana na hali hiyo kwa busara na uelewa wa hali halisi. Aliweza kuweka mipango ya kudhibiti mawasiliano yake na Lissu, huku akijua kwamba ni muhimu kuendelea kuwa na uhusiano mzuri na Rais. Hali hiyo ilimfanya kuwa kiongozi thabiti katika nyakati ngumu, akijua kuwa siasa ni mchezo wa mikakati na hekima.
 
Nimemuelewa Mbowe,baada ya kuona kuwa hana uwezo tena wa kupambana na CCM na umri unamtupa mkono akaamu kufuata kanuni ya if you can't fight them join them. Mbowe ameamua ajilipe kiinua mgongo kimtindo ndiyo haya maagano ya kumfanyia Samia wepesi kwa kuidhoofisha Chadema kimtindo. Siyo kweli kuwa Mbowe hajui kuwa wanachama hawamtaki tena kuwa mwenyekiti na anajua kulazimisha kuwa mwenyekiti ni kitendo kitakacholeta mpasuko mkubwa ndani ya Chadema kwa hiyo kila kinachoendelea ni mpango mahsusi uliopangwa na Mbowe mwenyewe na Samia. Hiyo 12B ambayo ameshapokea kama advance na nyingine atakayolipwa soon ndiyo kiinua mgongo chake. Biashara ni mipango tu.
Mkuu umetufungia mada.

Atakayebishi uliyoyasema tumchangie gharama za matibabu Milembe.
 
Unadhani CAG asingeona pesa za chama zinatumika kuanzisha gazeti la Mbowe?

Amandla...
Kuna madeni hewa mengi huyu tapeli anadai kukikopesha chama, mojawapo ndilo hilo alijilipa kuanzisha gazeti lake.

CAG kugundua utapeli kama huo itategemea strength ya financial control system ya chama.
 
Kwenye kichwa chake Lissu utawakusanya watanzania waje kusikiliza unavyomtukana Magufuli.

Yeye pia ni sehemu kubwa ya responsible kwenye kuwavunja wananchi imani na CDM.

Asilimia kubwa ya watanzania uwaambi kitu kuhusu JPM halafu wewe unataka waje wakusikilize unavyomtukana.

Wenzako CCM wanakusanyiwa watu wa kumtukana wahudhuriaji hawana namna. Lakini kwa nauli zao waje kukusukiliza unawatukania shujaa wao, inabidi kwanza atoke njozini.

Wangefanya ata naked observation mbona Makonda alivyokuwa mwenyezi tofauti na ziara ya Nchimbi na Makalla.

Kama una akili timamu JPM sio wa kumtukana mbele ya watanzania.
 
Kuna madeni hewa mengi huyu tapeli anadai kukikopesha chama, mojawapo ndilo hilo alijilipa kuanzisha gazeti lake.

CAG kugundua utapeli kama huo itategemea strength ya financial control system ya chama.
Wizi wa aina hiyo haufichiki. Kama alilipwa deni hewa angepatikana mapema tu.

Amandla...
 
Tapeli anawaambia viongozi wasaidizi wake eti hawezi kuwaambia kila alichoongea na rais, hayo asiyotaka wengine wayajue hayana uhusiano na chama?
 
Back
Top Bottom