Magnesium Transient
Member
- Sep 6, 2024
- 11
- 7
Yetu macho na masikio kuelekea 21 January .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaamini Lissu hasemi uongo? Hakuna mwanasiasa asiyesema uongo. Siasa ni utapeli.Dah Mbowe kaamua kujivua nguo. Naaamini Lisu hasemi uongo.
Mbowe tatizo hujifanya mtoto wa mjini ,sasa amekutana na watoto wa mjini tena dam mpyaAmesema Leo, mbowe alikua anamzunguka akaona ngoja akambili. Kuthibitisha hayo mbowe alifanya umafia mkubwa sana kupitisha wenyeviti wa Kanda ambao anawataka yeye na kuondoa wote waliokua karibu na lissu. Kamshughulikia heche Kanda ya Victoria, kamshughulikia lema Kanda ya kaskazini, kamshughulikia msigwa Kanda ya nyanda za juu, n.k
Upo sahii mkuu ,hakuna cha kulalamika , acha box la kura liongeeKumbe naye Lissu kabadilika kama alivyobadilika Mwenyekiti wake! Mabadiliko yaendelee CHADEMA wapate Mwenyekiti mpya
Hapa kuna siri gani ,kukaa na kusuruhishwa nayo ni siri tena katika kugombea nafasi ya urais au uwenyekiti ?Taaisi yoyote Duniani ina kitu kinaitwa Siri - sasa kama ni mkutano wa siri wewe unaanza kubwabwaja hadharani ili tukujuie wewe ni mkweli sana ama? Upo wapi uugwana wako?
Je unabakizaje sifa za kuwa kiongozi bora, Leo umetoa siri za mkutano wako na Mbowe na viongozi wa dini kesho utatoa za kamati kuu CDM na kesho kutwa utatoa za nchi.
Hata Serikali ina mambo ya siri ambayo hata ukifukuzwa hutakiwi kuita press na kuanza kubwabwaja, yanabakia yako ili kuilinda taasisi.
Usifikiri unamshambulia Mbowe, unaishambukia Taasisi mzima, yaani nyumba unayotegemea kuishi unaipopoa mawe.
CDM angalieni sana hii kitu.