Pre GE2025 Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe tatizo hujifanya mtoto wa mjini ,sasa amekutana na watoto wa mjini tena dam mpya
 
Hapa kuna siri gani ,kukaa na kusuruhishwa nayo ni siri tena katika kugombea nafasi ya urais au uwenyekiti ?
Neno siri litumike vizuri vinginezo itaonesha akili zimefungiwa kwenye kabati.

Nakubali zipo siri ila sio ujinga ujinga wa namna hii.

Mbowe akatubu alichofanya sio sahii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…