Lissu: "Mimi huwa nachelewa kuamka asubuhi, naamka saa 4 asubuhi au zaidi." Je, akikabidhiwa nchi si italala kimaendeleo?

Lissu: "Mimi huwa nachelewa kuamka asubuhi, naamka saa 4 asubuhi au zaidi." Je, akikabidhiwa nchi si italala kimaendeleo?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.

Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.

Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza Watanzania waamke mapema wakachape kazi?

Tafakari kabla ya kupiga kura.
 
Umezungumzia maendeleo. Mbona Japan inaruhusiw kulala kazini au ofisini. Kuamka mapema hakumanishi unafanya kaz nzuri. Wako ambao wanaamka mapema na wanaharibu kila siku. .

Nimesema naamka saa nne na nina maendeleo makubwa. .

Sio vita
Hatuhitaji kiongozi wa nchi mvivu
 
Umezungumzia maendeleo. Mbona Japan inaruhusiw kulala kazini au ofisini. Kuamka mapema hakumanishi unafanya kaz nzuri. Wako ambao wanaamka mapema na wanaharibu kila siku. .

Nimesema naamka saa nne na nina maendeleo makubwa. .

Sio vita
Mkuu niliona kuna mtu ameandika leo atahojiwa ITV sijajua ni kweli ama?
 
Tundu Lissu, akihojiwa na kituo Cha online TV kiitwacho Ngasa, alisema huwa anachelewa kuamka asubuhi na kwamba anaweza kuamka saa nne asubuhi au zaidi.

Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.

Atakuwa na mamlaka ya kimaadili kuhimiza watanzania waamke mapema wakachape kazi?

Tafakari kabla ya kupiga kura
Ulevi tub,si akae kimya maana anaongea hadi anajisahau amekuwa chizi sasa

USSR
 
Unajua utaratibu wa tiba kwa kila mgonjwa au anaepitia kipindi cha baada ya ugonjwa, tena zaidi huyo ni ugonjwa uliotokana na jaribio la shambulizi dhidi ya maisha binafsi ya mhusika🤔
 
Unajua utaratibu wa tiba kwa kila mgonjwa au anaepitia kipindi cha baada ya ugonjwa,tena zaidi huyo ni ugonjwa uliotokana na jaribio la shambulizi dhidi ya maisha binafsi ya mhusika🤔
Anasema ndio utaratibu wake, sio sababu ya ugonjwa
 
Back
Top Bottom