Gunst
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,995
- 5,664
Mrema nlikua namkuta pale Impala hotel saa 5 usiku na hotpot kubwa limejaa mandazi. Alikua halali usiku...kuna tajiri mmiliki wa hoteli ya ngurdoto yeye alikuwa na tabia ya kulala asubuhi na mchano kazi zote alikuwa akifanya usiku.