Lissu: "Mimi huwa nachelewa kuamka asubuhi, naamka saa 4 asubuhi au zaidi." Je, akikabidhiwa nchi si italala kimaendeleo?

..kuna tajiri mmiliki wa hoteli ya ngurdoto yeye alikuwa na tabia ya kulala asubuhi na mchano kazi zote alikuwa akifanya usiku.
Mrema nlikua namkuta pale Impala hotel saa 5 usiku na hotpot kubwa limejaa mandazi. Alikua halali usiku.
 
Kwani Rais anatakiwa kuamka saa ngap?
 
Magufuli alikua halali anakesha ameiachia nini nchi cha maana? Hivi seriosly Nyie ndo hazina ya CCM ya kuwajibu wapinzani? Seriously hisi ndo analysis ilizoandaa CCM kuelekea kwenye siasa za hoja?
 
Kule usukumani tunapiga jembe saa 8 usiku s
Kule usukumani tunapiga Jembe saa 8 usiku....12 kasoro watu tupo kitandani tunapiga miruzi....
 
Magufuli alikua halali anakesha ameiachia nini nchi cha maana? Hivi seriosly Nyie ndo hazina ya CCM ya kuwajibu wapinzani? Seriously hisi ndo analysis ilizoandaa CCM kuelekea kwenye siasa za hoja?
Unasubiri analysis za darasani? Huku ni saiti mazee
 
Kule usukumani tunapiga jembe saa 8 usiku s

Kule usukumani tunapiga Jembe saa 8 usiku....12 kasoro watu tupo kitandani tunapiga miruzi....
Tatizo usukumani uchawi mwingi, unaweza kwenda saa nane usiku, halafu wale ma master wakakutembeza usiku kucha na shambani hufiki, au unawalimia mashamba yao
 
MI uwa naamka sa sita lakini Nina maendeleo ya hatari kivyangu vyangu kabla ya kulala na acha kabisa kila kitu kiendelee Kuanzia sa moja na uwa nalala sa 8 usiku au sa kumi alfajiri
 
MI uwa naamka sa sita lakini Nina maendeleo ya hatari kivyangu vyangu kabla ya kulala na acha kabisa kila kitu kiendelee Kuanzia sa moja na uwa nalala sa 8 usiku au sa kumi alfajiri
JF Kila mtu ni bilionea, na wewe umo, hongera
 
Hivi kama tukiwa na Rais wa aina hii, wa kuamka saa nne saa tano asubuhi, ataongozaje nchi? Maana muda wa kazi yeye ndio bado anavuta shuka akiutwanga usingizi na kuota ndoto za mambo mbali mbali ya kuvutia na ya kutisha.
Ametoa sababu gani
 
Hv nayo hii ni hoja kweli??? Au kwa kuwa mnajiandikia tu ilimradi mkono uende kinywani?!

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Hatuhitaji kiongozi wa nchi mvivu
Kwani yule mwendazake pamoja na kujifanya anakesha na mafaili kitandani alileta maendeleo gani ya maana? Kuamka mapema hakuna uhusiano na maendeleo! Tafuta hoja nyinginehii ya kichawi achana nayo!
 
ikiwa analala saa.10 usiku?
 
Tutavuka mto tukiufikia
Nyie hamviki mto ila mmezoea kuvushwa mto,ila sasa mjipange hiyo dezo imefikia ukomo ni mwendo wa kula vya kuchinja kwa jasho lenu wenyewe, šŸ¤”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…