Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA amesema yeye sio wa kwanza kumtumia mwanasheria au wakili ambaye ni raia wa Uingereza.
Amejibu hivyo alipoulizwa kuhusu kutumia watu wa nje kwa masuala ya ndani. Suala hilo amesema kuwa hata mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliposhitakiwa na wakoloni alitafuta wakili wa Kiingereza.
Pia amesema hata aliyekuwa Rais wa Kenya, Jomo Kenyatta aliposhtakiwa kwa kesi ya MAUMAU pia alitafuta wakili wa kiingereza.
Alijieleza hivyo alipoulizwa na muandishi wa BBC Swahili kuhusu kuonekana kwake anajihusisha na ‘mabeberu’ kwa kuwa na hata wakili wake ni wa kutoka nchi ya kigeni.
Amejibu hivyo alipoulizwa kuhusu kutumia watu wa nje kwa masuala ya ndani. Suala hilo amesema kuwa hata mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliposhitakiwa na wakoloni alitafuta wakili wa Kiingereza.
Pia amesema hata aliyekuwa Rais wa Kenya, Jomo Kenyatta aliposhtakiwa kwa kesi ya MAUMAU pia alitafuta wakili wa kiingereza.
Alijieleza hivyo alipoulizwa na muandishi wa BBC Swahili kuhusu kuonekana kwake anajihusisha na ‘mabeberu’ kwa kuwa na hata wakili wake ni wa kutoka nchi ya kigeni.