Uchaguzi 2020 Lissu: Mimi sio wa kwanza kuwa na wakili Muingereza

Uchaguzi 2020 Lissu: Mimi sio wa kwanza kuwa na wakili Muingereza

Lissu asitake kutufanya kuwa Watanzania wote anatuzidi akili hivyo kutaka tumuamini kila anachokiongea Ni sahihi.
Hivi tukirudi Nyuma wakati wa vita ya MAUMAU Ni mkenya yupi alikuwa amepata access ya kusomea sheria?
Wakati wa kupigania Uhuru Tanzania Ni Mtanzania yupi alikuwa ashapata access ya kusomea sheria mbele ya shule na vyuo vya mkoloni?

Nikweli lissu hajui kuwa wakati huo elimu, Afya na huduma zingine zilitolewa kwa upendeleo wa rangi.
Ni mkoloni yupi alikuwa tayari kumufunza muafrika Sheria ili adai haki yake?

Kwanini TL kashindwa kutolea mifano ya maisha ya kisasa ambayo Kenya na Tanzania imejaa mawakili wasoni akiwemo na yeye?.

Hoja ya TL ningeiona Ina mashiko zaidi Kama mifano yake ingejikita kwenye kipindi Cha Leo na Wala siyo hicho Cha Vita vya MAUMAU.

Mwisho; Ni dhahili kuwa Kuna kila dalili za tundu lissu kutumika na watu wanaosadikika Ni mabeberu kutoka ughaibuni, hii nikutokana na style aliyorudi nayo nchini mwake pamoja na kupenda kuandika kingereza Sana katika account zake za kijamii(twiter) huku Akitag Majina ya watu wa nje angali yeye kwa kinywa chake alisema Watanzania wengi hawajui kingereza.

Zimebaki siku5 tu Watanzania tunaojielewa tutenganishe ngano na magugu.
Hoja si nani kasoma sheria hoja nikutumia wakili wanje kwisha mengine simlia watoto
 
Wakati wa Nyerere nchi ya Tanzania ilikuwa na wasomi wangapi?
Na Nyerere au Kenya walishitakiwa na nani kama siyo hao mabeberu?
Kwa Sasa nchi ina wasomi wengi, ni ujinga na ni kejeri kwa wasomi wa Tanzania
 
Aliotutajia wote walitafuta mawakili wazungu baada ya kuwa na kesi mahakamani tena dhidi ya wazungu.

Uhuru Kenyatta pia alimtafuta Steven Kay juzi tu hapa (Muingereza mzoefu na ICC) amtetetee kwenye kesi yake ya ICC.

Je yeye anatetewa kwenye kesi ipi na huyo Copenhagen?

Swali la msingi sana hili anatetewa kwa kesi ipi hasa? Lisu jiamini unakubalika na watanzania bila huyo madrid wako
 
... hushangai katika tasnia ya sheria hukumu hadi za karne mbili zilizopita hufanyiwa rejea katika kufikia maamuzi. Mbona hilo hupingi kwamba mazingira ya wakati huo sio sawa na ya sasa? Na ni mawakili gani wazawa wana uwezo wa kupambana na mfumo ulioimeza mifumo mingine yote ya utoaji haki wakiwamo hao hao mawakili wazawa? Mna macho hamuoni; mna masikio wala hamsikii?
Mwaka 2012 Uhuru Kenyatta, William Ruto na wenzao wakishatakiwa ICC. Pamoja na kwamba Kenya kuna mawakili nguli lakini waliwakilishwa na mawakili kutoka nchi za nje. Nakumbuka mmoja wa mawakili wa Uhuru alikuwa Steven Kay. Hivyo si ajabu Tundu Lissu kuwakilishwa na wakili kutoka nje.
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
 
Huyo hana akiri, nyerere alitumia hao kwa kuwa hatukuwa na mawakili wenye uwezo,
Sasa leo anamaanisha akina kibatara hawana uwezo?
Kwani Christopher alipoishtaki tz gvt ktk mahakama ya kule Durban South Africa kuhusu mgombea binafsi na akashinda unadhani tz hakukua na mawakili?

Kwa hiyo mnakandamiza haki za watu halafu mnataka muwatafutie njia ya kutafuta haki zao? Mbona Ndugai alikwenda kutibiwa India na akatumia billions kwani tz madaktari hawakuwepo? Je, hospital hazikuwepo?

Yaani jinsi mlivyombana Lissu hadi kutaka kumtoa uhai bado hamjaridhika? Mtu wa watu uhai wake kapona anatetea haki zake hamtaki mawakili wa nje mnataka mawakili wa TISS?

Lissu ni akili kubwa niyeye atakaetuongoza kuwaondoa wanyang'anyi wa ikulu warudi Burigi kuchunga Ng'ombe.
 
Maswali mengine yanaonyesha ujinga wako. Wapi katika sheria za nchi zinakatazwa kuwa na wakili toka nchi za kigeni? Kule Zanzibar kuna wakati majaji walilkuwa Wanigeria. Kule Namibia kulikuwa na Jaji Mkuu Tanzania wakati fulani. Mkuu wa mamlaka ya mapato ya Sudan ya Kusini ni Mtanzania. Wakati mwingine ni vizuri kunyamaza na kuficha ujinga wako.
..pia kuna Andrew Chenge mwana ccm aliwahi kuwachukua mawakili wa nje wazungu kumtetea kwenye yale makesi yake ya ufisadi...
 
Wakati wa Nyerere nchi ya Tanzania ilikuwa na wasomi wangapi?
Na Nyerere au Kenya walishitakiwa na nani kama siyo hao mabeberu?
Kwa Sasa nchi ina wasomi wengi, ni ujinga na ni kejeri kwa wasomi wa Tanzania

..kama kwa kufanya hivyo amevunja sheria za nchi mnaweza kumshitaki mahakamani.
 
Tatizo leni njie mnatumia mabomu na kuvua uwakili, achana na kupambikka kesi tena zisizo na dhamana badala ya kujibu hoja kwa hoja.
Sielewi unachotaka KUANDIKA! Tafadhali andika vizuri kwa utulivu baada ya kusom na kuelewa nilichoandika ndugu.
 
Msaliti wa Nchi amekata tiketi ya kurudi kwao ubeligiji
 
Nyerere alichangiwa na kanisa kuchukua mwanasheria...atueleze anapata wapi billion 20 kumlipa mwanasheria wa Canada nchi ambayo ndo walikamata ndege zetu na barick gold ilipo....

Amsterdam & Partners Eyes $4M Fee from Venezuela​

Fri., Mar. 27, 2020​

By Kevin McCauley

Amsterdam
Amsterdam & Partners will receive a $4M flat fee to push for the removal of US sanctions on Venezuela. The US does not recognize the government of Venezuela.
A&P assumed the work of Foley & Lardner, which resigned the account last month after Florida Senator Rick Scott blasted it for representing the "brutal regime" of Nicolas Maduro.
F&L was in line for a $12.5M flat fee for devising a "narrative and strategy" to help Venezuela remove the sanctions.
 
Back
Top Bottom