Uchaguzi 2020 Lissu: Mimi sio wa kwanza kuwa na wakili Muingereza

Uchaguzi 2020 Lissu: Mimi sio wa kwanza kuwa na wakili Muingereza

Lissu hawezi kushinda wala kuongoza Tanzania wala Chadema,hana hadhi ya kuwa hata mwenyekiti kwenye kikao cha familia.Lissu atabaki kuwa mmoja wa mawakili wazuri sana kuwahi kutokea Tanzania.Tarehe 28 pigia Magufuli Tanzania njema yaja.
 
Lissu asitake kutufanya kuwa Watanzania wote anatuzidi akili hivyo kutaka tumuamini kila anachokiongea Ni sahihi.
Hivi tukirudi Nyuma wakati wa vita ya MAUMAU Ni mkenya yupi alikuwa amepata access ya kusomea sheria?
Wakati wa kupigania Uhuru Tanzania Ni Mtanzania yupi alikuwa ashapata access ya kusomea sheria mbele ya shule na vyuo vya mkoloni?

Nikweli lissu hajui kuwa wakati huo elimu, Afya na huduma zingine zilitolewa kwa upendeleo wa rangi.
Ni mkoloni yupi alikuwa tayari kumufunza muafrika Sheria ili adai haki yake?

Kwanini TL kashindwa kutolea mifano ya maisha ya kisasa ambayo Kenya na Tanzania imejaa mawakili wasoni akiwemo na yeye?.

Hoja ya TL ningeiona Ina mashiko zaidi Kama mifano yake ingejikita kwenye kipindi Cha Leo na Wala siyo hicho Cha Vita vya MAUMAU.

Mwisho; Ni dhahili kuwa Kuna kila dalili za tundu lissu kutumika na watu wanaosadikika Ni mabeberu kutoka ughaibuni, hii nikutokana na style aliyorudi nayo nchini mwake pamoja na kupenda kuandika kingereza Sana katika account zake za kijamii(twiter) huku Akitag Majina ya watu wa nje angali yeye kwa kinywa chake alisema Watanzania wengi hawajui kingereza.

Zimebaki siku5 tu Watanzania tunaojielewa tutenganishe ngano na magugu.
Hushangai katika tasnia ya sheria hukumu hadi za karne mbili zilizopita hufanyiwa rejea katika kufikia maamuzi. Mbona hilo hupingi kwamba mazingira ya wakati huo sio sawa na ya sasa? Na ni mawakili gani wazawa wana uwezo wa kupambana na mfumo ulioimeza mifumo mingine yote ya utoaji haki wakiwamo hao hao mawakili wazawa? Mna macho hamuoni; mna masikio wala hamsikii?
 
Nadhani Jomo Kenyatta kwenye kesi yake ya maumau maarufu kama The Kapenguria 6.
walitetewa na wakili wa kwanza raia wa Kenya mjaluo aliyesomea sheria huko uingereza anaitwa Argwings Kodhek.
But it was a panel of counsels and the late Dr. Argwings Kodhek was the only Kenyan among the British counsels.

Remember during those early days the pre independence Kenya had no worthy lawyers and Dr. Kodhek was the first Kenyan graduate lawyer.

When Uhuru Kenyatta was indicted by the ICC he also sought the services of the renowned British lawyer to represent him.
 
..kwani Mwalimu Nyerere alichukua Mawakili wa Kizungu kwasababu hakukuwa na Mawakili wa Kiafrika / Kitanganyika?

..Au, Mwalimu Nyerere alijali competence ya wakili ktk kumtetea kutokana na shauri lililokuwa mbele yake?

..Badala ya kumlaumu Tundu Lissu, tunapaswa tujiulize hapa Tanzania kuna tatizo gani mpaka alazimike kuchukua wakili toka nje ya nchi?

..Siasa zetu zimekuwa mbaya, za kikatili, na kuumizana, na ndiyo maana leo hii Tundu Lissu ni mlemavu na amelazimika kutafuta mawakili wa kumtetea toka nje ya nchi.
Wanataka achukue hawa wa Bongo kina Kibatala,Jebra na wengine ili wawavue uwakili.

Wakamvue uwakili Robert kama walivyomfanyia Fatuma.
 
Aliotutajia wote walitafuta mawakili wazungu baada ya kuwa na kesi mahakamani tena dhidi ya wazungu.

Uhuru Kenyatta pia alimtafuta Steven Kay juzi tu hapa (Muingereza mzoefu na ICC) amtetetee kwenye kesi yake ya ICC.

Je yeye anatetewa kwenye kesi ipi na huyo Copenhagen?
 
Lissu asitake kutufanya kuwa Watanzania wote anatuzidi akili hivyo kutaka tumuamini kila anachokiongea Ni sahihi.
Hivi tukirudi Nyuma wakati wa vita ya MAUMAU Ni mkenya yupi alikuwa amepata access ya kusomea sheria?
Wakati wa kupigania Uhuru Tanzania Ni Mtanzania yupi alikuwa ashapata access ya kusomea sheria mbele ya shule na vyuo vya mkoloni?

Nikweli lissu hajui kuwa wakati huo elimu, Afya na huduma zingine zilitolewa kwa upendeleo wa rangi.
Ni mkoloni yupi alikuwa tayari kumufunza muafrika Sheria ili adai haki yake?

Kwanini TL kashindwa kutolea mifano ya maisha ya kisasa ambayo Kenya na Tanzania imejaa mawakili wasoni akiwemo na yeye?.

Hoja ya TL ningeiona Ina mashiko zaidi Kama mifano yake ingejikita kwenye kipindi Cha Leo na Wala siyo hicho Cha Vita vya MAUMAU.

Mwisho; Ni dhahili kuwa Kuna kila dalili za tundu lissu kutumika na watu wanaosadikika Ni mabeberu kutoka ughaibuni, hii nikutokana na style aliyorudi nayo nchini mwake pamoja na kupenda kuandika kingereza Sana katika account zake za kijamii(twiter) huku Akitag Majina ya watu wa nje angali yeye kwa kinywa chake alisema Watanzania wengi hawajui kingereza.

Zimebaki siku5 tu Watanzania tunaojielewa tutenganishe ngano na magugu.
Katika nchi nyingi za Afrika kuonekana unashirikiana na upinzani ni kama adui wa watawala waliopo. Hata mawakili wanaotimiza wajibu wao kutetea watu wanaoonekana kujihusisha na upinzani huwa kama wanahatasha Kazi zao. Nadhani kwa kuliona hilo ndiyo maana Lisu kaamua kumuweka Wakili ambaye hatabanwa na watawala katika kutimiza wajibu wake.
 
Kamanda ina maana kibatala hii kazi haiwezi?
..kwani Mwalimu Nyerere alichukua Mawakili wa Kizungu kwasababu hakukuwa na Mawakili wa Kiafrika / Kitanganyika?

..Au, Mwalimu Nyerere alijali competence ya wakili ktk kumtetea kutokana na shauri lililokuwa mbele yake?

..Badala ya kumlaumu Tundu Lissu, tunapaswa tujiulize hapa Tanzania kuna tatizo gani mpaka alazimike kuchukua wakili toka nje ya nchi?

..Siasa zetu zimekuwa mbaya, za kikatili, na kuumizana, na ndiyo maana leo hii Tundu Lissu ni mlemavu na amelazimika kutafuta mawakili wa kumtetea toka nje ya nchi.
 
Huyo hana akiri, nyerere alitumia hao kwa kuwa hatukuwa na mawakili wenye uwezo,
Sasa leo anamaanisha akina kibatara hawana uwezo?
Wewe una akili za wapi?Unataka mkulima kesi yake ya kuliwa shamba lake la mahindi na Ngedere apeleke kwa Tumbili?
 
... ha ha ha! Gbadolite kule kijijini alikozaliwa dikteta Mobutu Ssesseko Kuku wa Zabanga kuna magofu ya li-international airport fulani ambalo halikuwahi kutumika tangu lijengwe! Kwa hiyo naomba kupingana na wewe; precedence ipo!
Liliwahi kutumika mara moja kwa ndege aina ya Concorde iliyo mleta Rais wa Ufaransa kijijini alikozaliwa Mobutu, basi.
 
Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA amesema yeye sio wa kwanza kumtumia mwanasheria au wakili ambaye ni raia wa Uingereza.

Amejibu hivyo alipoulizwa kuhusu kutumia watu wa nje kwa masuala ya ndani. Suala hilo amesema kuwa hata mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliposhitakiwa na wakoloni alitafuta wakili wa Kiingereza.

Pia amesema hata aliyekuwa Rais wa Kenya, Jomo Kenyatta aliposhtakiwa kwa kesi ya MAUMAU pia alitafuta wakili wa kiingereza.

Alijieleza hivyo alipoulizwa na muandishi wa BBC Swahili kuhusu kuonekana kwake anajihusisha na ‘mabeberu’ kwa kuwa na hata wakili wake ni wa kutoka nchi ya kigeni.
Hayo ni majibu ya KITOTO kwa maswali ya KIKUBWA. Wewe Lissu kama Wakili, unawezaje kulinganisha enzi za Mwalimu Nyerere na Mzee Kenyatta na enzi zenu, ambako mko mawakili wa Kitanzania kibao. Be serious guy! Huyo ni mpambe wako anayelipwa na mabeberu wenzake kwa NIA NA MALENGO MAOVU dhidi ya Tanzania yetu. Lakini hampati kitu hapa, kama huamini siku ukikutana na Idd Amini Dada muulize kilichomkuta enzi hizo.
 
Guys who would like to see a live on television debate between all the presidential candidates from different parties, on essential matters like our healthcare insurance issue, each candidate could get 2 minutes to give Tanzanians citizen steps and where the funds would come from, no interruptions, and after 2 minutes answers from each candidate, each can get 30 seconds to rebuke on the answers.....what do you think, and also questions can come from selected people on different economic sectors to add more questions, important matters like human rights, changes on our constitution laws (katiba), discussion on how much power does the president have over our nation constitution etc...give me your answers
 
Hivi kuna sheria au dhambi ya Mtanzania kutetewa na mzungu au mchina?

Watu hata hamjali kufuatilia Lissu alikuwa wapi na wakati gani na kibano gani au fursa gani ya kupata wakili.

Yaani mlitaka Lissu anyanyue tu mikono juu au kuinamisha tu chini kichwa chake kusubiri kisu kama tulivyolelewa, kuaminishwa na kulemaa kwa miaka yote hii.

Watu hamtaki raia kuwa na tabia ya kuhoji, kutoa changamoto, kukemea hata kupendekeza lolote kinyume na kikundi cha waliopewa mamlaka.

Ni kweli itapita miaka mia moja maana hata waliokwisha piga hatua za maana haikuwa miaka hamsini.
 
Lissu asitake kutufanya kuwa Watanzania wote anatuzidi akili hivyo kutaka tumuamini kila anachokiongea Ni sahihi.
Hivi tukirudi Nyuma wakati wa vita ya MAUMAU Ni mkenya yupi alikuwa amepata access ya kusomea sheria?
Wakati wa kupigania Uhuru Tanzania Ni Mtanzania yupi alikuwa ashapata access ya kusomea sheria mbele ya shule na vyuo vya mkoloni?

Nikweli lissu hajui kuwa wakati huo elimu, Afya na huduma zingine zilitolewa kwa upendeleo wa rangi.
Ni mkoloni yupi alikuwa tayari kumufunza muafrika Sheria ili adai haki yake?

Kwanini TL kashindwa kutolea mifano ya maisha ya kisasa ambayo Kenya na Tanzania imejaa mawakili wasoni akiwemo na yeye?.

Hoja ya TL ningeiona Ina mashiko zaidi Kama mifano yake ingejikita kwenye kipindi Cha Leo na Wala siyo hicho Cha Vita vya MAUMAU.

Mwisho; Ni dhahili kuwa Kuna kila dalili za tundu lissu kutumika na watu wanaosadikika Ni mabeberu kutoka ughaibuni, hii nikutokana na style aliyorudi nayo nchini mwake pamoja na kupenda kuandika kingereza Sana katika account zake za kijamii(twiter) huku Akitag Majina ya watu wa nje angali yeye kwa kinywa chake alisema Watanzania wengi hawajui kingereza.

Zimebaki siku5 tu Watanzania tunaojielewa tutenganishe ngano na magugu.
jibu ni moja...hajaona wakili wa hapa kwetu aliyemzidi uwezo katika mambo ya kisheria
 
Lissu asitake kutufanya kuwa Watanzania wote anatuzidi akili hivyo kutaka tumuamini kila anachokiongea Ni sahihi.
Hivi tukirudi Nyuma wakati wa vita ya MAUMAU Ni mkenya yupi alikuwa amepata access ya kusomea sheria?
Wakati wa kupigania Uhuru Tanzania Ni Mtanzania yupi alikuwa ashapata access ya kusomea sheria mbele ya shule na vyuo vya mkoloni?

Nikweli lissu hajui kuwa wakati huo elimu, Afya na huduma zingine zilitolewa kwa upendeleo wa rangi.
Ni mkoloni yupi alikuwa tayari kumufunza muafrika Sheria ili adai haki yake?

Kwanini TL kashindwa kutolea mifano ya maisha ya kisasa ambayo Kenya na Tanzania imejaa mawakili wasoni akiwemo na yeye?.

Hoja ya TL ningeiona Ina mashiko zaidi Kama mifano yake ingejikita kwenye kipindi Cha Leo na Wala siyo hicho Cha Vita vya MAUMAU.

Mwisho; Ni dhahili kuwa Kuna kila dalili za tundu lissu kutumika na watu wanaosadikika Ni mabeberu kutoka ughaibuni, hii nikutokana na style aliyorudi nayo nchini mwake pamoja na kupenda kuandika kingereza Sana katika account zake za kijamii(twiter) huku Akitag Majina ya watu wa nje angali yeye kwa kinywa chake alisema Watanzania wengi hawajui kingereza.

Zimebaki siku5 tu Watanzania tunaojielewa tutenganishe ngano na magugu.
Uko sahihi kwamba wapo mawakili mahiri Watanzania, ila kwa ubabe wa serikali ya Tanzania kabla ya leo, hakuna wakili Mtanzania atachukua kesi y Lissu na kuiendesha bila kuathirika vibaya. Usisahau kuwa ofisi ya Fatma Karume, iliyokuwa wakili wa ACASIA, iliwekewa milipuko ya mabomu
 
Back
Top Bottom