Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anasema siku ambayo Freeman Mbowe anaachiwa huru Mchungaji Peter Msigwa alienda na wanachama wa CHADEMA kumsubiria katika Mahakama ya Kisutu lakini cha kushangaza hawakumuona na baadaye walishituka kumuona akiwa ikulu na Rais Samia. Tundu Lissu anasema baada ya Msigwa kuhoji imekuaje ameenda Ikulu bila kuwafahamisha viongozi wengine na nini walichozungumza Mbowe aliaanza kumuona Msigwa kama adui na kushughulika naye hali iliyompelekea kuondoka CHADEMA.
Amesema hayo alipokuwa anahojiwa na Clouds TV