Lissu: Msigwa alienda kumsubiria Mwenyekiti Mahakama ya Kisutu alipoachiwa huru lakini hakumkuta, akashangaa kumuona kwenye TV yupo Ikulu

Lissu: Msigwa alienda kumsubiria Mwenyekiti Mahakama ya Kisutu alipoachiwa huru lakini hakumkuta, akashangaa kumuona kwenye TV yupo Ikulu

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
1000020447.jpg


Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anasema siku ambayo Freeman Mbowe anaachiwa huru Mchungaji Peter Msigwa alienda na wanachama wa CHADEMA kumsubiria katika Mahakama ya Kisutu lakini cha kushangaza hawakumuona na baadaye walishituka kumuona akiwa ikulu na Rais Samia. Tundu Lissu anasema baada ya Msigwa kuhoji imekuaje ameenda Ikulu bila kuwafahamisha viongozi wengine na nini walichozungumza Mbowe aliaanza kumuona Msigwa kama adui na kushughulika naye hali iliyompelekea kuondoka CHADEMA.

Amesema hayo alipokuwa anahojiwa na Clouds TV
 
hahahahaahahahahahahajaja...
nakumbuka ilikua ukimsema mbowe unakoga matusi hadi ushangae.mbowe ana chawawengi sana.mtaongea wee mwisho ndio anaendelea kua mwenyekiti wenu.
waongeaji waweke akiba ya maneno.
 
Kwa hiyo ilikuwa ni kosa kwa Mbowe kuitikia wito wa Rais wa nchi.

Hakuna hoja hapo. Wajumbe kazi yenu ni moja tu kuyaondoa mazombi ndani ya chama chenu tarehe 21.
Sasa wewe kilamba mavi wa Mama tuambie huyo Mbowe alifuata nini Ikulu ?
 
Kwa hiyo ilikuwa ni kosa kwa Mbowe kuitikia wito wa Rais wa nchi.

Hakuna hoja hapo. Wajumbe kazi yenu ni moja tu kuyaondoa mazombi ndani ya chama chenu tarehe 21.
Nani kasema ni kosa Mbowe kuitikia wito wa rais we nyumbu?
Hapa lissu ànaeleza sababu za Mbowe kumshughulikia msigwa hadi akakimbilià kwa mafisadi CCM.
 
Wewe upate fursa ya kutoka gerezani,huna simu wala mawasiliano,umeitwa na aliyekuweka gerezani na kaamua kukutoa ili na wengine watoke,ungempigia Msingwa na namba ipi!!?Pamoja na siasa chafu,wekeni ubinadamu mbele.
 
View attachment 3203344
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anasema siku ambayo Freeman Mbowe anaachiwa huru Mchungaji Peter Msigwa alienda na wanachama wa CHADEMA kumsubiria katika Mahakama ya Kisutu lakini cha kushangaza hawakumuona na baadaye walishituka kumuona akiwa ikulu na Rais Samia. Tundu Lissu anasema baada ya Msigwa kuhoji imekuaje ameenda ikulu bila kuwafahamisha viongozi wengine na nini walichozungumza Mbowe aliaanza kumuona Msigwa kama adui na kushughulika naye hali iliyompelekea kuondoka CHADEMA.

Amesema hayo alipokuwa anahojiwa na Clouds TV
Jela hakufai jamani, jela labda kwa mtu jasiri kwelikweli. Mbowe alionja madhila yakukaa jela akaone bora tu asalimu amri
 
View attachment 3203344
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anasema siku ambayo Freeman Mbowe anaachiwa huru Mchungaji Peter Msigwa alienda na wanachama wa CHADEMA kumsubiria katika Mahakama ya Kisutu lakini cha kushangaza hawakumuona na baadaye walishituka kumuona akiwa ikulu na Rais Samia. Tundu Lissu anasema baada ya Msigwa kuhoji imekuaje ameenda ikulu bila kuwafahamisha viongozi wengine na nini walichozungumza Mbowe aliaanza kumuona Msigwa kama adui na kushughulika naye hali iliyompelekea kuondoka CHADEMA.

Amesema hayo alipokuwa anahojiwa na Clouds TV
Jaman hivi ata kama ni wewe deal ya hela na washikaji unaanza na lipi hapo?
Acheni kumpa lawama bure mzee wa watu.
 
View attachment 3203344
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anasema siku ambayo Freeman Mbowe anaachiwa huru Mchungaji Peter Msigwa alienda na wanachama wa CHADEMA kumsubiria katika Mahakama ya Kisutu lakini cha kushangaza hawakumuona na baadaye walishituka kumuona akiwa ikulu na Rais Samia. Tundu Lissu anasema baada ya Msigwa kuhoji imekuaje ameenda ikulu bila kuwafahamisha viongozi wengine na nini walichozungumza Mbowe aliaanza kumuona Msigwa kama adui na kushughulika naye hali iliyompelekea kuondoka CHADEMA.

Amesema hayo alipokuwa anahojiwa na Clouds TV
Hatari kweli kweli ...
 
View attachment 3203344
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anasema siku ambayo Freeman Mbowe anaachiwa huru Mchungaji Peter Msigwa alienda na wanachama wa CHADEMA kumsubiria katika Mahakama ya Kisutu lakini cha kushangaza hawakumuona na baadaye walishituka kumuona akiwa ikulu na Rais Samia. Tundu Lissu anasema baada ya Msigwa kuhoji imekuaje ameenda ikulu bila kuwafahamisha viongozi wengine na nini walichozungumza Mbowe aliaanza kumuona Msigwa kama adui na kushughulika naye hali iliyompelekea kuondoka CHADEMA.

Amesema hayo alipokuwa anahojiwa na Clouds TV
Kwa nini huyo Msigwa na hao viherehere wengine walienda Kisutu tu siku huyo Mbowe anaachiwa huru na sio siku za nyuma wakati Mbowe bado hajaachiwa huru miezi yote 8 huko jela. Huo ni unafiki pasee. Halafu ni nani alishawahi kuitwa ikulu akakataa kwenda? Acheni nongwa za kijinga
 
Back
Top Bottom