Lissu mtafute Mbowe haraka iwezekanavyo mjenge what called "The Tanganyika winning team"

Lissu mtafute Mbowe haraka iwezekanavyo mjenge what called "The Tanganyika winning team"

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
34,181
Reaction score
41,563
Lissu,
Wewe ni msomi na unajua uchaguzi hakukuwa na mshindi bali ilikuwa ni pande mbili ambazo wewe ulimpita mwenzako wa 31 votes almost.

Sisi tunaona ni muda sasa wa ushindi, mtafute Mbowe na timu yake mje na kitu kipya ambacho Watanganyika wanataka kukisikia ambacho mkikileta hata kiwete atatembea, kiziwi atasikia hotuba ya Lissu, asiye na kazi atasikia sauti ya jabari Mbowe...

Watanzania hawa hawana haja ya nani mshindi, wao wanataka ukombozi wa Tanganyika yao, wasomi wengi saana watajiunga na nyie katika vuguvugu hilo. Trust me...muda si mrefu Taifa hili mnakwenda kulikomboa.
Ushauri tu, muwe tayari kupokea mtiti toka CCM.

Best wishes.
 
Lissu,
Wewe ni msomi na unajua uchaguzi hakukuwa na mshindi bali ilikuwa ni pande mbili ambazi wewe ulimpita mwenzako wa 31 votes tu.
Sisi tunaona ni muda sasa wa ushindi...mtafute Mbowe na timu yake mje na kitu kipya ambacho watanganyika wanataka kukisikia...ambacho mkikileta hata kiwete atatembea, kiziwi atasikia hotuba ya Lissu, asiye na kazi atasikia sauti ya jabari Mbowe...
Watanzania hawa hawana haja ya nani mshimdi, wao wanataka ukombozi wa Tanganyika yao, wasomi wengi saana watajiunga na nyie katika vuguvugu hilo. Trust me...muda si mrefu Taifa hili mnakwenda kulikomboa.

Best wishes.
Umoja ni nguvu.
 
Lissu,
Wewe ni msomi na unajua uchaguzi hakukuwa na mshindi bali ilikuwa ni pande mbili ambazi wewe ulimpita mwenzako wa 31 votes tu.

Sisi tunaona ni muda sasa wa ushindi mtafute Mbowe na timu yake mje na kitu kipya ambacho Watanganyika wanataka kukisikia ambacho mkikileta hata kiwete atatembea, kiziwi atasikia hotuba ya Lissu, asiye na kazi atasikia sauti ya jabari Mbowe...

Watanzania hawa hawana haja ya nani mshindi, wao wanataka ukombozi wa Tanganyika yao, wasomi wengi saana watajiunga na nyie katika vuguvugu hilo. Trust me...muda si mrefu Taifa hili mnakwenda kulikomboa.

Best wishes.
Ngoja akaombe ushauri kwa Lema kwanza.
 
Umoja ni nguvu.
Yes, hakuna mwana mageuzi yoyote Tanganyika atashangilia ushindi wa Lissu ama kufeki kwa Mbowe...

Watanganyika wanataka kulikombia Taifa lao..ni muda muafaka sasa wa kuja na kitu kipya cha hatari....
Vijana wa Tanganyika wapo tayari kinachosubiliwa ni filimbi tu kupulizwa. Lissu kaka hii kazi ni kweli unaiweza...hakuna shaka
 
Ngoja akaombe ushauri kwa Lema kwanza.
He is the same, Lema hana shida kabisa. Lema alitaka amsha amsha....mbowe kidogo alikuwa ana subira subira..... wote mnajua Mbowe si mwana harakati pasee!!
 
Back
Top Bottom