Pre GE2025 Lissu na CHADEMA wasikubali kejeli, dhihaka na dharau za kuchangiwa na CCM

Pre GE2025 Lissu na CHADEMA wasikubali kejeli, dhihaka na dharau za kuchangiwa na CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,409
Reaction score
13,262
Katibu mkuu wa CCM na anayejiita mchungaji ambaye amehama CHADEMA na kujiunga na CCM kisha kuanza kuishambulia CHADEMA wameanza kumfanyia LIssu na CHADEMA dhihaka, dharau na kejeli kwa kujifanya wanamchangia Lissu kile walichokiita kutwngeneza gari lake.

Mimi namshauri Lissu na CHADEMA wasikubali kejeli, dhihaka na dharau hii. Haiwezekani waliokuumiza ndio wajifanye wema kwako leo baada ya kukunyanyasa na kukunyima hali zao. Michango yao waachie wao wenyewe kama inachangwa na kuja kwa jina la chama chao. Wewe pokea michango ya wanachadema, wapenzi na watu binafsi na taasisi nyingine lakini usikubali ionekane eti CCM wamekuchangia tena wakiwa na Msigwa msaliti mkubwa.

PIA SOMA

- Kuelekea 2025 - CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
 
Katibu mkuu wa CCM na anayejiita mchungaji ambaye amehama CHADEMA na kujiunga na CCM kisha kuanza kuishambulia CHADEMA wameanza kumfanyia LIssu na CHADEMA....
Msigwa amechanganyikiwa baada ya habari kuvuja kuwa kumbe alipata shinikizo la aibu hadi akakubali kuhamia huko CCM licha ya viapo vingi alivyotoa awali kuwa akihamia CCM watu wakachome nyumba na magari yake.

Wahuni wa uvccm walimvua ubingwa huku wanamrekodi kisha akawekewa $ 500,000 akaambiwe achakue hela na kuingia CCM au akatae video ziende hewani. Ndiyo maana yupo huko na hela anazo lakini hana amani kabisa

dac25c6b-05ab-4329-af3b-0497d13d1c20~2.jpeg
 
Lissu akipokea pesa za CCM nitamdharau.

Anatakatisha kununuliwa na CCM kupitia kisingizio cha kuchangiwa gari?.

Akianza kulambishwa asali na CCM ya milioni tano akaipokea, kesho atapewa na CCM milioni 100 atapokea na keshokuwa atanunuliwa kwa bilioni.

It seems Abduli keshamaliza kazi. Hakuna mkate laini mbele ya chai!
 
Msigwa amechanganyikiwa baada ya habari kuvuja kuwa kumbe alipata shinikizo la aibu hadi akakubali kuhamia huko CCM licha ya viapo vingi alivyotoa awali kuwa akihamia CCM watu wakachome nyumba na magari yake. Wahuni wa uvccm walimvua ubingwa huku wanamrekodi kisha akawekewa $ 500,000 akaambiwe achakue hela na kuingia CCM au akatae video ziende hewani. Ndiyo maana yupo huko na hela anazo lakini hana amani kabisa
Chief, USD 500,000?! Huu ni utajiri wa athletes US! Ukiibadilisha hii kwenda TZS ni balaa, 1,355,500,000! Huyu kiazi ni wa kulipwa hii chapaa
 
Ndio keshasema atazipokea. Ata zile za abduli itakuwa dau lilikuwa dogo.
 
Lissu bhana eti kapokea 5M, duh Abdul akija na 1B atakataa kweli?

Kuna haja ya kufanya reformation ya siasa za upinzani nchini sababu nadhan kizazi cha Wakina Lissu kimefikia ukomo.
 
Katibu mkuu wa CCM na anayejiita mchungaji ambaye amehama CHADEMA na kujiunga na CCM kisha kuanza kuishambulia CHADEMA wameanza kumfanyia LIssu na CHADEMA dhihaka, dharau na kejeli kwa kujifanya wanamchangia Lissu kile walichokiita kutwngeneza gari lake.

Mimi namshauri Lissu na CHADEMA wasikubali kejeli, dhihaka na dharau hii. Haiwezekani waliokuumiza ndio wajifanye wema kwako leo baada ya kukunyanyasa na kukunyima hali zao. Michango yao waachie wao wenyewe kama inachangwa na kuja kwa jina la chama chao. Wewe pokea michango ya wanachadema, wapenzi na watu binafsi na taasisi nyingine lakini usikubali ionekane eti CCM wamekuchangia tena wakiwa na Msigwa msaliti mkubwa
Pesa hizo hazijatoka kwenye mfuko wa CCM na hazihusiki na CCM kama zilivyo sadaka zetu makanisani na misikitini, ni ujinga kuona ni pesa za CCM, Lissu alipoipgwa risasi kuna wanaccm walikwenda kumjulia hali hosipitali na hatukusema CCM ilikwenda kumjulia hali.
 
Lissu unamshauri akatae hela?
We vipi blaza?
Kazi ya Kanisani ndiyo unachagua hela .
Kazi za madhabahu ndiyo mtu akikuletea kama ukipata taarifa kwamba mtu kabakwa,kauawa ndiyo hiyo hela imepatikana,basi unazikataa hizo hela.
Kumbuka ule Upinzani unaitwa ,"His Majesty's Opposition Party"
 
Pesa hizo hazijatoka kwenye mfuko wa CCM na hazihusiki na CCM kama zilivyo sadaka zetu makanisani na misikitini, ni ujinga kuona ni pesa za CCM, Lissu alipoipgwa risasi kuna wanaccm walikwenda kumjulia hali hosipitali na hatukusema CCM ilikwenda kumjulia hali.
Aliyekodi chopa kumkimbiza LISU ni mwanaccm ,na alikufa kifo Cha ghafla kisicho na majibu baada ya tukio hilo

Tatizo wabongo wasahaulifu
 
Pesa hizo hazijatoka kwenye mfuko wa CCM na hazihusiki na CCM kama zilivyo sadaka zetu makanisani na misikitini, ni ujinga kuona ni pesa za CCM, Lissu alipoipgwa risasi kuna wanaccm walikwenda kumjulia hali hosipitali na hatukusema CCM ilikwenda kumjulia hali.

Alivyopigwa risasi umewahi kusikia CCM wanachangishana mkutanoni?- Tumia akili wewe!

Tofautisha kuchangiwa na mtu mmojammoja na kuchangiwa kupitia harambee ya mkutano wa CCM
 
Alivyopigwa risasi umewahi kusikia CCM wanachangishana mkutanoni?- Tumia akili wewe!

Tofautisha kuchangiwa na mtu mmojammoja na kuchangiwa kupitia harambee ya mkutano wa CCM
Kwani hiyo harambe wote walichanga! Mbona hausemi kuhusu ndege iliyompeleka Nairobi.
 
Chief, USD 500,000?! Huu ni utajiri wa athletes US! Ukiibadilisha hii kwenda TZS ni balaa, 1,355,500,000! Huyu kiazi ni wa kulipwa hii chapaa
Hiyo mbona cha mtoto huku Kanda ya Ziwa kuna mwamba kadaka mzigo wa kutisha si unajua huku kuna hazina kubwa ya kura na bado watu kama hawaelewi vile kuhusu 2025. There is plenty from where it came.
 
Back
Top Bottom