Trimmer
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 2,443
- 4,007
Wanasiasa wanajuana.......
Tunachokiona ni maigizo t
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasiasa wanajuana.......
Tunachokiona ni maigizo t
Hana thamani ya Usd 500k huyo, ni Tshs 500kChief, USD 500,000?! Huu ni utajiri wa athletes US! Ukiibadilisha hii kwenda TZS ni balaa, 1,355,500,000! Huyu kiazi ni wa kulipwa hii chapaa
Wamegundua kuwa hana thamani hiyo baada ya kuwa tayari wameshampa na hajaleta watu wala hajawapa vital information kama walivyodhani ndiyo maana anatumia nguvu kubwa kumshambulia Mbowe na kurudia mambo ambayo siyo mageni tena . Ilikuwa kamari . Na hiyo hela haikutoka CCM.Hana thamani ya Usd 500k huyo, ni Tshs 500k
Nilivyosikia ni kwamba walikuta hela nyingi Chato Magufuli amezificha uvunguni: hizo ndizo hela wanazogawa.Kumfanyia kama yule binti wa yombo
Kuliwa jicho.Kumvua ubingwa maana yake nini?